Serikali isizibe masikio changamoto za elimu
Matokeo ya Kidato cha nne yametoka huku wengi wakisema mengi kama ilivyo kawaida. Duniani hakuna jambo jipya lisilo na ngoma. Kila jambo na nyimbo zake. Hivi sasa zipo nyimbo za ufaulu umeshuka, huku wengine wakisema ufaulu umepanda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Serikali yajidhatiti kukabiliana na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu nchini
Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM.
SERIKALI imekuwa ikifanya jitihada za dhati katika kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wahitimu wa kidato cha Nne na Sita katika kipindi cha miaka miwili...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PniYE6kWMPI/VHHqpCcGnmI/AAAAAAADNzM/6SI7JL8sCpo/s72-c/PIX%2B1..jpg)
SERIKALI YAJIDHATITI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA ELIMU CHINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PniYE6kWMPI/VHHqpCcGnmI/AAAAAAADNzM/6SI7JL8sCpo/s1600/PIX%2B1..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Scob4KFhOaQ/VHHqonwfPNI/AAAAAAADNzI/kEERjqTcxko/s1600/PIX%2B2..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5R3giLBngME/VHHqtfWlyyI/AAAAAAADNzg/yonQqDS1pdA/s1600/PIX%2B3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Serikali ifungue masikio
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na mikutano ya kujiimarisha mikoani chini ya Operesheni M4C Pamoja Daima, huku hoja kubwa ikiwa ni kuishinikiza serikali kuboresha daftari la kudumu la...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Wadau kujadili changamoto za elimu
WADAU wa elimu nchini wameandaa kongamano litakalojadili changamoto katika sekta ya elimu na jinsi gani ya kukabiliana nazo. Kongamano hilo litakalofanyika leo Ubungo Plaza, Dar es Salaam, litajumuisha walimu wa...
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Maonyesho ya elimu kuibua changamoto chanya
KATIKA kutatua baadhi ya changamoto zinazohusu masuala ya elimu kwa vijana nchini, imebainika hali hiyo wakati mwingine inachangiwa na sekta husika kutokuwa na mawasiliano ya karibu. Hata hivyo, baadhi ya...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Elimu ya awali Tunduru na changamoto lukuki
WADAU wa elimu Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) itatolewa katika misingi inayostahiki, itakuwa ni njia mojawapo madhubuti ya kuimarisha ubora wa elimu. Hii ndiyo...
10 years ago
Vijimambo05 Oct
Elimu ya awali Tunduru na changamoto zake
![Mwalimu wa darasa la awali wa Shule ya Msingi Nakayaya, Teckla Milanzi (kulia) akiwa na wanafunzi wake eneo ambalo hutumika kama darasa la wanafunzi hao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Mwalimu-wa-darasa-la-awali-wa-Shule-ya-Msingi-Nakayaya-Teckla-Milanzi-kulia-akiwa-na-wanafunzi-wake-eneo-ambalo-hutumika-kama-darasa-la-wanafunzi-hao..jpg)
WADAU wa elimu nchini Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) nchini Tanzania itatolewa katika misingi inayostahiki itakuwa ni njia moja wapo madhubuti ya kuimarisha ubora wa elimu. Hii ndiyo maana wanaendelea kupaza sauti wakiitaka serikali kupitia vyombo husika kuboresha kwanza elimu ya awali kabla...
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Changamoto zilizopo katika kuunda mifumo ya elimu
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Wizara ya Elimu yashauriwa kutatua changamoto za walimu nchini
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2015/2016 bungeni mjini Dodoma leo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii Bi. Margaret Sitta akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa mwaka wa fedha 2014/2015 leo bungeni mjini Dodoma.
Mhadhiri Msaidizi Idara ya Mimea kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam Bw. Heriel...