Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Changamoto zilizopo katika kuunda mifumo ya elimu

Katika siku za hivi karibuni tumekuwa na mjadala kuhusu mfumo wetu wa elimu. Tumehoji ubora na uwezo wake wa kukidhi mahitaji ya kitaifa. Makala haya yanajaribu kuangalia changamoto zinazoikumba nchi zetu katika kuunda mifumo ya elimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Walimu watakiwa kutumia fursa zao katika Utatuzi Changamoto Za Elimu

Walimu nchini wametakiwa watumie fursa walizonazo kutatua changamoto za elimu kwa kuwa taifa linawategemea kupata wataalam.

Katika mahafali ya chuo kikuu cha DUCE imeelezwa kuwa Serikali inajitahidi kusomesha walimu kwa kutumia kodi za wananchi lengo likiwa ni kuongeza fursa za ajira ya walimu kutokana na uhaba wa walimu hasa katika masomo ya Sayansi.

 Mgeni rasmi katika mahafali hayo Prof.   Martha  Mlau  amewtakaa wahitimu kutumia taaluma waliyoipata chuoni hapo, kwa kuwa taifa...

 

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI YAJIDHATITI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA ELIMU CHINI.

Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wahitimu wa ngazi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yajidhatiti kukabiliana na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu nchini

PIX 1.

Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM.

SERIKALI imekuwa ikifanya jitihada za dhati katika kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wahitimu wa kidato cha Nne na Sita katika kipindi cha miaka miwili...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Changamoto zilizopo Afrika

Ni namna gani mataifa ya Afrika yamejiandaa na mlipuko wa ugonjwa wa corona.

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la Eager latoa elimu kuhusu mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi

PIX 1

Naibu Kiongozi wa Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER) Bw. John Heath akiwaelimisha wadau mbalimbali wa Kampuni inashughulikia Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi. Warsha inayofanyika tarehe 2-4 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.

PIX 8

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji wa Nishati ya...

 

11 years ago

Michuzi

CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA KAMPASI YA DAR CHAENDELEA KUFANYA VIZURI, CHAWEKA MIFUMO YA KISASA YA KUFUATILIA KUDHIBITI UKIUKWAJI WA MAADILI

 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Janet Mbene akiwa ameambatana na viongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) akiangalia vifaa vya kisasa vya kujifunzia wanafunzi katika chuo wakati wa ziara yake jijini Dar es salaam.  Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema (mwenye suti nyeusi) akimwonesha Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene maeneo ya chuo hicho yaliyovamiwa ambayo sasa yamejengwa majengo ya biashara.  Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mhe Anna Kilango Malecela atembelea Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Naibu waziri Anne Kilango Malecela akiongea na wafanyakazi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania(TEA) Jumatatu. Wa pili kutoka kushoto ni  Kaimu Mkurugenzi wa TEA Bw. Joel Laurent, na watatu kutoka kushoto ni Bi, Paulina Mkoma kutoka wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Mhe. Anna Kilango Malecela ametembelea Mamlaka ya Elimu Tanzania katika ziara yake ya kutembelea Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi

 

11 years ago

Mwananchi

Athari kuwekeza katika mifumo ya kifedha isiyo rasmi

Katika makala ya leo kuhusiana na uwekezaji katika mifumo ya fedha isiyo rasmi nitaongelea kuwekeza katika michezo ya piramidi (PYRAMID SCHEMES). Sehemu kubwa imetokana na chanzo kutoka Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana nchini Tanzania (CMSA). Endelea…

 

9 years ago

Michuzi

VETA YASHIRIKI MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI KATIKA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA WATAALAM WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA UNAOFANYIKA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA AFRIKA JIJINI ADDIS ABABA, ETHIOPIA TAREHE 27 HADI 31 OKTOBA,2015

Katibu Mtendaji wa Tume ya Sayansi, Ufundi na Utafiti wa Umoja wa Afrika Dkt. Ahmed Hamdy akimsikiliza kwa makini mwanafunzi Abubakar Masandiko  wakati anaelezea ubunifu huo wa kuwasha na kuzima taa kwa kutumia remote katika maonesho hayo.Naibu Waziri wa Elimu wa nchini Somalia, Bw. Hamud Ally Hassan akimpongeza mwanafunzi Abubakar Masandiko kwa ubunifu wake uliotokana na elimu ya tehama anayoendelea kuipata katika chuo cha VETA Kipawa.Mwanafunzi wa chuo cha VETA Kipawa Bw. Abubakar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani