SERIKALI YAJIDHATITI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA ELIMU CHINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PniYE6kWMPI/VHHqpCcGnmI/AAAAAAADNzM/6SI7JL8sCpo/s72-c/PIX%2B1..jpg)
Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.
Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wahitimu wa ngazi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Serikali yajidhatiti kukabiliana na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu nchini
Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM.
SERIKALI imekuwa ikifanya jitihada za dhati katika kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wahitimu wa kidato cha Nne na Sita katika kipindi cha miaka miwili...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Je Waziri wa Maliasili na Utalii ataweza kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta?
Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Siku chache zilizopita baada ya Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kutangazwa, Tanzania tunatarajia Dk John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatangaza rasmi baraza lake la Mawaziri. Kila sekta itakuwa imeshikiliwa na Mawaziri ambao Rais ameridhishwa nao katika kukidhi viwango vya kuendesha sekta hizo na katika kurudisha matumaini ya watanzania.
Kati ya Wizara muhimu zinazokuza uchumi wa nchi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Eig7fVUfwCs/XllI-dk79RI/AAAAAAALf9Y/DrYHneH9bo4v_sS6QT56B7DLhXiQJLv8QCLcBGAsYHQ/s72-c/299df1cd-92d7-4ce8-a11b-d451a8103386.jpg)
TANZANIA KUSHIRIKIANA NA UJERUMANI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI SEKTA YA UHIFADHI WA MALIASILIA NCHINI
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Ujerumani katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya uhifadhi wa maliasili hapa nchini kwa lengo la kuiimarisha na kuiendeleza sekta hiyo.
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua miradi ya uhifadhi inayofadhiliwa na serikali ya Ujerumani katika Hifadhi ya Taifa Nyerere - Selous.
Akiwa ameambatana na Mwakilishi wa Kansela wa...
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Serikali na wadau mbalimbali kuendelea kutoa elimu kwa makundi yaliyo katika hatari ya kupata maambukizi ya VVU
Na Aron Msigwa – MAELEZO
SERIKALI imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya kutoa elimu kwa makundi ya watu wanaotumia dawa za kulevya na wale wanaojihusisha na biashara ya ngono katika maeneo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s72-c/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
BENKI YA EXIM YAJIDHATITI KUIUNGA MKONO SERIKALI KATIKA VITA DHIDI YA MALARIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Et_rxpQ9WXo/VUCTccoFRxI/AAAAAAAHT9Q/rhDgM9blaNo/s1600/NET%2BPIX%2B1%2B-%2BARUSHA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdpFTQha9Sc/VUCThiA9OtI/AAAAAAAHT9Y/UQeifz3WzKI/s1600/NET%2BPIX%2B2%2B-%2BMTWARA.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XJ2x5i_xG48/XphnkdQqR_I/AAAAAAAC3MY/pRwoqLUt5qECCX8lS8eqw8w6dm0ZWjwIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI YAINGILIA KATI CHANGAMOTO YA SUKARI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-XJ2x5i_xG48/XphnkdQqR_I/AAAAAAAC3MY/pRwoqLUt5qECCX8lS8eqw8w6dm0ZWjwIgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa ufafanuzi juu ya malalamiko ya wananchi kuhusu kupanda kwa bei ya sukari.
Amesema kuwa kila mwaka serikali imekuwa makini katika kutathmini mahitaji ya sukari kwa wananchi kadhalika uwezo wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6MYiik3sfTg/VSauTow0R6I/AAAAAAABrUI/WzzqYcUJL_0/s72-c/439.jpg)
Balozi Seif: mapungufu sekta ya elimu ni changamoto kwa walimu na wanafunzi maskulini
![](http://4.bp.blogspot.com/-6MYiik3sfTg/VSauTow0R6I/AAAAAAABrUI/WzzqYcUJL_0/s1600/439.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi vikalio 25 Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Fujoni Bibi Jamila Soud Saleh ili kusaidia kuondosha upungufu wa madeski katika skuli hiyo iliyomo ndani ya Mkoa wa Kaskazini Unguja.
![](http://4.bp.blogspot.com/-M0Mt8uy7fnw/VSauTqMXBWI/AAAAAAABrUQ/q82RyTyJ6N4/s1600/440.jpg)
Picha na – OMPR – ZNZ.
Na Othman Khamis Ame, OMPR
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LHPZ7-a_r_8/VV2ZGspLtFI/AAAAAAAAbAM/WYTzcvCs1QQ/s72-c/PIC3%2Bc.jpg)
FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LHPZ7-a_r_8/VV2ZGspLtFI/AAAAAAAAbAM/WYTzcvCs1QQ/s640/PIC3%2Bc.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D8xi4V6BqwI/VV2ZCzkua0I/AAAAAAAAbAE/ahNmZXQRKI4/s640/PIC1%2Ba.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4pmGQ8A0Frc/VV2ZLaOmAEI/AAAAAAAAbAU/6BW2u-i8bUU/s640/PIC4%2Bd.jpg)
9 years ago
StarTV04 Jan
Watanzania waishio China wadhamiria kutoa misaada ili kuboresha Sekta Mbalimbali zikiwemo Afya na Elimu
Ushirika wa Watanzania wanaoishi nchini China umedhamiria kutoa msaada katika sekta mbalimbali zikiwemo za elimu na afya ili kupunguza changamoto ya vifaa katika hospitali, zahanati na vituo vya afya.
Kupitia taasisi hiyo ya Umoja wa marafiki wa Tanzania na China tayari imetoa udhamini wa masomo kwa wanafunzi wanaosoma nchini chini kwa kiwango cha Shahada ya Uzamili ambapo kila mwaka wanafunzi 40 wanapata nafasi za kusoma.
Kwa kupitia Taasisi hiyo na serikali ya china imeamua kutoa vitanda...