Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA KUSHIRIKIANA NA UJERUMANI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI SEKTA YA UHIFADHI WA MALIASILIA NCHINI


Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Ujerumani katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya uhifadhi wa maliasili hapa nchini kwa lengo la kuiimarisha na kuiendeleza sekta hiyo.

Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua miradi ya uhifadhi inayofadhiliwa na serikali ya Ujerumani katika Hifadhi ya Taifa Nyerere - Selous.

Akiwa ameambatana na Mwakilishi wa Kansela wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Je Waziri wa Maliasili na Utalii ataweza kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta?

Untitled

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Siku chache zilizopita baada ya Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kutangazwa, Tanzania tunatarajia Dk John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatangaza rasmi baraza lake la Mawaziri.  Kila sekta itakuwa imeshikiliwa na Mawaziri ambao Rais ameridhishwa nao katika kukidhi viwango vya kuendesha sekta hizo na katika kurudisha matumaini ya watanzania.

Kati ya Wizara muhimu zinazokuza uchumi wa nchi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yajidhatiti kukabiliana na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu nchini

PIX 1.

Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM.

SERIKALI imekuwa ikifanya jitihada za dhati katika kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wahitimu wa kidato cha Nne na Sita katika kipindi cha miaka miwili...

 

11 years ago

Michuzi

UZINDUZI WIKI YA CHANJO YAIBUA CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI SEKTA YA AFYA MAKETE

Ubovu wa miundombinu ya barabara wakati wa masika katika wilaya ya Makete mkoani Njombe umeelezwa kuwa miongoni mwa vitu vinavyochangia huduma ya chanjo kutofika kwa wakati katika zahanati zinazotoa chanjo wilayani hapo.    Hayo yameebainishwa na Mganga mfawidhi hospitali ya wilaya ya Makete Dkt. Michael Gulaka hii leo wakati akisoma taarifa ya idaya ya afya siku ya uzinduzi wa wiki ya chanjo iliyoadhimishwa kiwilaya katika Kata ya Isapulano wilayani Makete. Dkt Gulaka ametaja changamoto...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wadau mbali mbali wakutana kutoa suluhisho la changamoto zinazoikabili sekta ya utalii katika nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara

Akizungumza  na waandishi wa habari katika mdahalo uliandaliwa na kampuni ya Hospitality Round Table (HRT),  ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam Dr. ADELHELM MERU Katibu mkuu wizara ya Maliasili na Utalii alifafanua kuwa, sekta ya utalii hapa Tanzania inafanya vizuri ambapo kumekuwa na ongezeko la wageni kutoka nje, na hoteli za kufikia wageni zimeongezeka kwa kasi mara mbili kulinganisha na idadi ya  mwaka jana.

Alifafanua kuwa, pamoja na matumaini yanayoonekana katika sekta hii lakini...

 

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI YAJIDHATITI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA ELIMU CHINI.

Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wahitimu wa ngazi...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA NA SAUDI ARABIA KUSHIRIKIANA KATIKA UHIFADHI WANYAMAPORI

Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (Mb) katika mazungumzo na Mwana wa Mfalme wa Saudia Prince Bandar bin Saud bin Mohammad Al-Saud ambaye pia ni Rais wa Mamlaka ya Wanyamapori ya Saudi Arabia. Wengine katika picha kutoka kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhem Meru; Balozi wa Tanzania Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari; Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mhe. James Lembeli; Waziri...

 

11 years ago

Mwananchi

Teknolojia ya kisasa itaondoa changamoto za sekta ya ujenzi nchini

>Bodi ya Usajili ya Wasanifu Majengo na Wakadiriaji Ujenzi (AQSRB) imesema , utumiaji wa teknolojia ya kisasa katika sekta ya ujenzi ni jibu la uhakika la changamoto nyingi zinazoikabili sekta ya maendeleo ya miundombinu Tanzania.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wadau wa sekta ya Bima nchini waaswa kushirikiana na TRA kutekeleza sheria mpya ya kodi

05

Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lusekelo Mwaseba akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua semina ya wadau wa bima kuhusu sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ambayo imeanza kutumika Julai Mosi mwaka huu.(Picha na Eleuteri Mangi- MAELEZO).

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO

Wadau wa sekta ya Bima nchini wameaswa kushirikiana na Serikali kutekeleza sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ili waweze kutoa huduma kwa jamii yenye tija kwa wakati na kulipa kodi stahiki.

Kauli...

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA, JAPAN KUSHIRIKIANA SEKTA YA NISHATI

Na Veronica Simba  Wizara ya Nishati na Madini inapanga kushirikiana na Kampuni ya Mitsubishi Hitachi Power System ya Japan katika kuendeleza sekta ya nishati nchini. Kamishna Msaidizi wa Umeme wa Wizara, Mhandisi Innocent Luoga aliyasema hayo mapema leo baada ya kukutana na uongozi wa juu wa kampuni hiyo, Makao Makuu ya Wizara jijini Dar es Salaam. Mhandisi Luoga alisema katika kikao hicho, Ujumbe wa kampuni ya Mitsubishi Hitachi Power Systems Ltd uliwasilisha mapendekezo ya matumizi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani