TANZANIA NA SAUDI ARABIA KUSHIRIKIANA KATIKA UHIFADHI WANYAMAPORI
Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (Mb) katika mazungumzo na Mwana wa Mfalme wa Saudia Prince Bandar bin Saud bin Mohammad Al-Saud ambaye pia ni Rais wa Mamlaka ya Wanyamapori ya Saudi Arabia. Wengine katika picha kutoka kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhem Meru; Balozi wa Tanzania Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari; Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mhe. James Lembeli; Waziri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mhe. Nyalandu afungua mkutano wa uhifadhi wa wanyamapori Tanzania
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na baadhi ya wadau wa masuala ya uhifadhi na utalii wakati alipofungua mkutano wa majadiliano kuhusu uboreshaji wa mfumo wa usimamizi na uendeshaji Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori Tanzania (WMA), ulioanza jana jijini Arusha.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na mdau wa masuala ya utalii na uhifadhi nchini, Willy Chambulo, muda mfupi baada ya kufungua mkutano wa majadiliano kuhusu uboreshaji...
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
25 watekea katika hospitali Saudi Arabia
10 years ago
MichuziWAZIRI WA UTALII NA MALIASILI MHE. LAZARO NYALANDU AFUNGUA MKUTANO WA UHIFADHI WA WANYAMAPORI TANZANIA
11 years ago
ETurboNews22 Jan
Saudi Arabia and Tanzania take steps beyond tourism relations
eTurboNews
eTurboNews
TANZANIA (eTN) - Building good relations in tourism, Saudi Arabia and Tanzania are looking at biodiversity conservation and wildlife protection as areas of cooperation involving youths from the two countries. Rich in history and religious antiquities, Saudi ...
TANAPA Hosts Saudi, Tanzania Youth Dialogue ForumAllAfrica.com
Tanzania chosen Africa's global peace, unity mission portalDaily News
all 8
11 years ago
Michuzi25 Jul
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Eig7fVUfwCs/XllI-dk79RI/AAAAAAALf9Y/DrYHneH9bo4v_sS6QT56B7DLhXiQJLv8QCLcBGAsYHQ/s72-c/299df1cd-92d7-4ce8-a11b-d451a8103386.jpg)
TANZANIA KUSHIRIKIANA NA UJERUMANI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI SEKTA YA UHIFADHI WA MALIASILIA NCHINI
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amesema kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Ujerumani katika kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya uhifadhi wa maliasili hapa nchini kwa lengo la kuiimarisha na kuiendeleza sekta hiyo.
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua miradi ya uhifadhi inayofadhiliwa na serikali ya Ujerumani katika Hifadhi ya Taifa Nyerere - Selous.
Akiwa ameambatana na Mwakilishi wa Kansela wa...
10 years ago
IPPmedia26 Sep
Tanzania and Saudi Arabia to set up permanent commission on development ...
IPPmedia
IPPmedia
Tanzania and the Kingdom of Saudi Arabia are currently working closely towards the signing of the general agreement on economic, trade investment, technical youth and sports cooperation along with proposal to establish a joint permanent commission.
9 years ago
Vijimambo30 Sep
majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko Saudi Arabia
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko...
9 years ago
Vijimambo01 Oct
Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa masikitiko makubwa...