Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saudi Arabia and Tanzania take steps beyond tourism relations


eTurboNews
Saudi Arabia and Tanzania take steps beyond tourism relations
eTurboNews
TANZANIA (eTN) - Building good relations in tourism, Saudi Arabia and Tanzania are looking at biodiversity conservation and wildlife protection as areas of cooperation involving youths from the two countries. Rich in history and religious antiquities, Saudi ...
TANAPA Hosts Saudi, Tanzania Youth Dialogue ForumAllAfrica.com
Tanzania chosen Africa's global peace, unity mission portalDaily News

all 8 news...

eTurboNews

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Tanzania steps up campaign on tourism

Tanzania’s tourist destinations are expected to feature in international publications to attract visitors from the rest of the world.

 

10 years ago

IPPmedia

Tanzania and Saudi Arabia to set up permanent commission on development ...


IPPmedia
Tanzania and Saudi Arabia to set up permanent commission on development ...
IPPmedia
Tanzania and the Kingdom of Saudi Arabia are currently working closely towards the signing of the general agreement on economic, trade investment, technical youth and sports cooperation along with proposal to establish a joint permanent commission.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA NA SAUDI ARABIA KUSHIRIKIANA KATIKA UHIFADHI WANYAMAPORI

Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (Mb) katika mazungumzo na Mwana wa Mfalme wa Saudia Prince Bandar bin Saud bin Mohammad Al-Saud ambaye pia ni Rais wa Mamlaka ya Wanyamapori ya Saudi Arabia. Wengine katika picha kutoka kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhem Meru; Balozi wa Tanzania Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari; Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mhe. James Lembeli; Waziri...

 

9 years ago

Vijimambo

majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko Saudi Arabia


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Coat of Arms
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600               
               20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa za kupatikana kwa majina 18 ya Mahujaji kutoka Tanzania waliopotea huko...

 

9 years ago

Vijimambo

Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Coat of Arms
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600               
               20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa masikitiko makubwa...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Kingdom of Saudi Arabia Supports WFP Refugee Operation in Tanzania


Kingdom of Saudi Arabia Supports WFP Refugee Operation in Tanzania
AllAfrica.com
A ceremony held at WFP's Tanzania Country Office in Dar es Salaam was attended by Mr. Walid Bin Abdulrahman Alzinedi, a delegate from the Ministry of Finance of the Kingdom of Saudi Arabia and Mr. Wajih Bin Masoud Alotaibli, an attache of Economic ...

 

9 years ago

Michuzi

MAHUJAJI WENGINE WAWILI KUTOKA TANZANIA WAFARIKI DUNIA HUKO SAUDI ARABIA


Mahujaji wengine wawili kutoka Tanzania ambao walikuwa hawaonekani tokea ajali ya kukanyagana kwa mahujaji ilipotokea Makkah nchini Saudi Arabia tarehe 24 Septemba 2015 wametambuliwa kuwa, ni miongoni mwa mahujaji waliofariki dunia.
 Kutambuliwa kwa mahujaji hao kunafanya idadi ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha katika ajali hiyo kufikia ishirini na saba (27). Majina kamili ya mahujaji hao ni Bw. Juma Yussuf Bakula na Bw. Ahmad Awadh Namongo kutoka Kikundi cha Ahlu Dawaa.
Hadi sasa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Ballozi mpya wa Tanzania nchini Saud Arabia, Hemed Mgaza, wakati alipofika kumuaga Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Agosti 3, 2015. Balozi Mgaza  anakwenda nchini Saud Arabia, kuanza kazi rasmi baada ya kuteuliwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete. (Picha na OMR).

2

 

10 years ago

Michuzi

MAMAKU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI SAUDI ARABIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Ballozi mpya wa Tanzania nchini Saud Arabia, Hemed Mgaza, wakati alipofika kumuaga Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Agosti 3, 2015. Balozi Mgaza anakwenda nchini Saud Arabia, kuanza kazi rasmi baada ya kuteuliwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete. Picha na OMR.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani