Balozi Seif: mapungufu sekta ya elimu ni changamoto kwa walimu na wanafunzi maskulini
![](http://4.bp.blogspot.com/-6MYiik3sfTg/VSauTow0R6I/AAAAAAABrUI/WzzqYcUJL_0/s72-c/439.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi vikalio 25 Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Fujoni Bibi Jamila Soud Saleh ili kusaidia kuondosha upungufu wa madeski katika skuli hiyo iliyomo ndani ya Mkoa wa Kaskazini Unguja.Baadhi ya wanafunzi wa Skuli ya Msingi ya Fujoni wakifuatilia hafla fupi ya kukabidhiwa madeski kwa Skuli yao yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi.
Picha na – OMPR – ZNZ.
Na Othman Khamis Ame, OMPR
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Wizara ya Elimu yashauriwa kutatua changamoto za walimu nchini
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2015/2016 bungeni mjini Dodoma leo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii Bi. Margaret Sitta akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa mwaka wa fedha 2014/2015 leo bungeni mjini Dodoma.
Mhadhiri Msaidizi Idara ya Mimea kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam Bw. Heriel...
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Safu ya walimu Ikulu: Saidieni kuitoa sekta ya elimu ICU
YAPATA wiki sasa tangu sura ya uongozi wa juu wa serikali ya awamu ya tano ikamilike baada ya kup
Mwandishi Wetu
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PniYE6kWMPI/VHHqpCcGnmI/AAAAAAADNzM/6SI7JL8sCpo/s72-c/PIX%2B1..jpg)
SERIKALI YAJIDHATITI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA ELIMU CHINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PniYE6kWMPI/VHHqpCcGnmI/AAAAAAADNzM/6SI7JL8sCpo/s1600/PIX%2B1..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Scob4KFhOaQ/VHHqonwfPNI/AAAAAAADNzI/kEERjqTcxko/s1600/PIX%2B2..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5R3giLBngME/VHHqtfWlyyI/AAAAAAADNzg/yonQqDS1pdA/s1600/PIX%2B3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Serikali yajidhatiti kukabiliana na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu nchini
Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM.
SERIKALI imekuwa ikifanya jitihada za dhati katika kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wahitimu wa kidato cha Nne na Sita katika kipindi cha miaka miwili...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lE_6-DumPRA/VXCiCD319ZI/AAAAAAABwy8/1vEHdiI39AA/s72-c/426.jpg)
BALOZI SEIF ATEMBELEA FUJONI NA KUSIKILIZA CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO
![](http://1.bp.blogspot.com/-lE_6-DumPRA/VXCiCD319ZI/AAAAAAABwy8/1vEHdiI39AA/s640/426.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bZIp9OQa7-8/VXCiCEm1-uI/AAAAAAABwzY/KtnUn3NCfBY/s640/434.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-09D1pmgDHTc/VXCiCASr9nI/AAAAAAABwzA/233AvRBw0Lo/s640/437.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NWU7Bfm5TLQ/Vh6zUpqEjtI/AAAAAAAH_8E/yLQvjwlBnmw/s72-c/734.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AAHIDI KUTAFUTA MBINU ZA KUTATUA CHANGAMOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NWU7Bfm5TLQ/Vh6zUpqEjtI/AAAAAAAH_8E/yLQvjwlBnmw/s640/734.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aw5cVXbexfA/Vh6zVjhS6bI/AAAAAAAH_8U/FDpYSu-pbjs/s640/735.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_RGP_fLW7tc/Vh6zUyekx9I/AAAAAAAH_8I/GV5dQ4XDi4I/s640/736.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s72-c/663.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi awaomba Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu mapambano dhidi ya Virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s640/663.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1lfwQBFlQPA/XqvHwQ7EDjI/AAAAAAALou4/CwIBf5JoR1grtJGU4DgldwzJvlJN2JhXgCLcBGAsYHQ/s640/669.jpg)
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AFUNGUA MKUTANO WA TISA WA TATHMINI YA SEKTA YA AFYA ZANZIBAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Dewji Blog17 May
Balozi Seif Ali Iddi aiomba IFAD kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji katika sekta ya kilimo Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pamoja na Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi kwenye chakula maalum cha usiku walichoandaliwa wajumbe wa Bodi Tendaji ya Mfuko wa Kimataifa wa Kilimo { IFAD } hapo Serena Hoteli Shangani Mjini Zanzibar.
Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo { IFAD }umeombwa kuendelea kuunga mkono Sekta ya Kilimo Zanzibar katika njia ya kuwajengea uwezo wazalishaji wa Sekta hiyo mama ya uchumi kupitia mfumo wa Teknolojia ya kisasa.
Ombi hilo...