Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI SEIF ATEMBELEA FUJONI NA KUSIKILIZA CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO

Mwanachama wa Maskani ya Nia njema Fujoni akiwasilisha changamoto ya Vijana wa Maskani hao ya ubovu wa uwanja wao wa michezo mbele ya Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi aliyekaa kutoka mwanzo kulia.Balozi Seif akisisitiza umuhimu wa vijana kuendelea kupenda michezo ili kuimarisha afya zao na kujijengea mazingira ya ajira katika sekta hiyo ya michezo.Baadhi ya wanachama wa maskani ya Nia njema ya Fujoni Kilimani wakifuatilia hotuba ya Mbunge wao Balozi Seif hayupo pichani wakati...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA KITUO CHA AFYA MIWANI KUONA CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO KITUONI HAPO.

    x5Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na wananchi wa kijiji cha Miwani baada ya kusikiliza matatizo yanayokikabili kituo cha Afya cha Miwani.x4Naibu Waziri wa Afya Mhmoud Thabit Kombo akiwasilikiza wananchi wa Miwani wakati alipofanya viara ya kutembelea kituo cha Afya cha Kijiji hicho kujua matatizo yanayokikabili kituo hicho,  (kushoto) Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Mohammed Saleh Jidawi. x6Daktari dhamana Kanda ya Unguja Dkt. Fadhil Mohd Abdalla akitoa ufafanunuzi...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AKABIDHI SHILINGI MILIONI NNE KWA AJILI YA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO WA TIMU YA FUJONI BOYS

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Vijana na wazee wa Fujoni Nyumba ya Ndege alipokwenda kutekeleza ahadi yake ya kusaidia ujenzi wa uwanja wa michezo wa Fujoni Boys (Highbury ).
Balozi Seif akimkabidhi fedha Taslim Shilingi Milioni 4,000,000/- Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini “ B “ Nd. Hilika Ibrahim kwa ajili ya matengenezo ya uwanja wa michezo wa Timu ya Soka ya Fujoni Boys.

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDDI AAHIDI KUTAFUTA MBINU ZA KUTATUA CHANGAMOTO

  Mwakilishi wa Wananchi wa Shehia ya Kilimani Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja akiwasilisha changamoto zinazowakabili wananachi wa Kijiji hicho mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hayupo pichani aliyefika kuitika wito waliomuagiza. Baadhi ya Wananchi wa  Kijiji cha Kilimani Kidoti wakisikiliza nasaha za Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  baada ya kumueleza changamoto wanazopambana nazo kijijini pao. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali...

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi Seif: mapungufu sekta ya elimu ni changamoto kwa walimu na wanafunzi maskulini






Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi vikalio 25 Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Fujoni Bibi Jamila Soud Saleh ili kusaidia kuondosha upungufu wa madeski katika skuli hiyo iliyomo ndani ya Mkoa wa Kaskazini Unguja.Baadhi ya wanafunzi wa Skuli ya Msingi ya Fujoni wakifuatilia hafla fupi ya kukabidhiwa madeski kwa Skuli yao yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi.
Picha na – OMPR – ZNZ.

Na Othman Khamis Ame, OMPR
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali...

 

10 years ago

Vijimambo

Balozi Seif Atembelea Shamba la Kilimo Makurunge Bagamoyo.

Meneja wa Shamba la Chuo cha Kilimo Kizimbani liliopo Makurunge Magamoyo Nd. Abdulrahman Mahmoud Hamid akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif wakati wa ziara yake ya kulikagua shamba la SMZ waliokabidhiwa chuo hicho.Nyuma ya Balozi Seif ni Waziri wa Ardhi Zanzib ar Mh.Abdulla Shaaban, Waziri wa Kilimo Zanzibar Dr. Sira Ubwa Mwamboyta na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nd. Ali Khalil Mirza.Balozi Seif akitafakari na Mwanasheria wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa SMZ...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero

Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar { ZECO } Nd. Hassan Ali Hassan alisema shirika lake linakusudia kutumia rasilmali ilizonazo katika kuhakikisha huduma za umeme zinapatikana kwenye kisima cha maji cha Kijiji cha Kilombero ili kuwaondoshea usumbufu wa huduma za maji safi  kwa Wananchi wa Kijiji hicho. Alisema kazi hiyo itakayoanza wakati wowote kuanzia sasa inatarajiwa kukamilika sambamba na ulazwaji wa mabomba ya maji utakaofanya na wahandisi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar { ZAWA }...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi atembelea Mabanda ya Maonyesho ya miaka 50 ya muungano

Licha ya baadhi ya wabunge wa Upinzani wa Bunge Maalum la Katiba kuamua kususia kuendelea kushiriki katika mjadala wa Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa ndani ya Bunge hilo Kundi kubwa la Wajumbe hao waliobaki wataendelea kuchapa kazi waliyotumwa na Wananchi bila ya kujali uwamuzi uliochukuliwa na wale walioamua kutoka nje ya mjadala huo.  Kauli hiyo imetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mbunge wa Bunge hilo Maalum la Katiba Balozi Seif Ali Iddi mara baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF ATEMBELEA JENGO JIPYA LA ABIRIA UWANJA WA NDEGE ZANZIBAR

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wa Tatu kutoka kushoto akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Abiria { Terminal 11 } katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar wa Abeid Amani Karume akiwa pamoja na uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar.Kushoto ya Balozi Seif ni Katibu Mkuu Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Dr. Juma Malik Akio na Msimamizi wa ujenzi wa jengo la Abiria katika uwanja wa ndege wa Zanzibar upande wa Serikali ya...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi seif atembelea Wazee wanaotunzwa katika Nyumba za Serikali za Welezo na Sebleni

Na Othman Khamis Ame, OMPRMakamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuwa na wajibu na jukumu kubwa la kuwatunza na kuwathamini wazee wasiojiweza hivi sasa kutokana na mchango wao mkubwa walioutoa kwa nchi hii wakati wa kulitumikia Taifa lao. Alisema mchango wa wazee hao umekuwa ukiendelea kutumiwa na wananchi walio wengi hapa nchini ikiwemo kigezo cha amani na utulivu kinachotokana na juhudi za wazee hao wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani