Balozi seif atembelea Wazee wanaotunzwa katika Nyumba za Serikali za Welezo na Sebleni
.jpg)
Na Othman Khamis Ame, OMPRMakamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuwa na wajibu na jukumu kubwa la kuwatunza na kuwathamini wazee wasiojiweza hivi sasa kutokana na mchango wao mkubwa walioutoa kwa nchi hii wakati wa kulitumikia Taifa lao. Alisema mchango wa wazee hao umekuwa ukiendelea kutumiwa na wananchi walio wengi hapa nchini ikiwemo kigezo cha amani na utulivu kinachotokana na juhudi za wazee hao wakati wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Shein atoa mkono wa Eid El Hajj kwa wazee wa Welezo na Sebleni Zanzibar
10 years ago
VijimamboMKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MWANAMWEMA SHEIN ATOWA MKONO WA EID EL HAJJ KWA WAZEE WA WELEZO NA SEBLENI ZANZIBAR
11 years ago
MichuziMAKAMU RAIS ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI ATEMBELEA NYUMBA ZA NSSF KIJISCHI, DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo
BALOZI SEIF ATEMBELEA KIJIJI CHA FUKUCHANI KUANGALIA MAAFA YALIYOWAKUMBA WANANCHI BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO MKALI


11 years ago
MichuziMwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni
10 years ago
Michuzi
TAASISI ZA SERIKALI ZAASWA KUBINI MBINU MKAKATI KATIKA UFANISI WA KAZI-BALOZI SEIF ALI IDDI
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Watendaji wa Taasisi za Serikali wana wajibu wa kutumia vipaji walivyojaaliwa kuwa navyo katika kubuni mbinu na mikakati watakayohisi kwamba inaweza kutaleta faida na ufanisi katika maeneo yao ya kazi sambamba na Serikali Kuu kwa jumla.
Alisema faida ya ubunifu watakaoutumia watendaji hao utaongeza kasi ya uwajibikaji endapo wataendelea kushikamana baina yao katika...
10 years ago
Dewji Blog31 Dec
Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa nchini
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Asili wa Ijumaa Micheweni Mjini Sheikh Haji Khatib Haji.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alifanya ziara maalum ya kuwakagua baadhi ya wazee katika sehemu mbali mbali ya Kisiwa cha Pemba ili kujua haliu zao pamoja na kuwapa mkono wa pongezi kwa kukamilisha mwaka 2014 na kuwatakia kheri ya mwaka mpya wa 2015.
Balozi Seif akitoa Mkono wa Pole kwa Watoto na Wajukuu wa...
10 years ago
Vijimambo
Balozi Seif Atembelea Shamba la Kilimo Makurunge Bagamoyo.


11 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero