BALOZI SEIF ATEMBELEA KIJIJI CHA FUKUCHANI KUANGALIA MAAFA YALIYOWAKUMBA WANANCHI BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO MKALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-UgMzM3FKlUw/VZVxEoPkJII/AAAAAAABz3c/3STdcvAdgBM/s72-c/918.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif kati kati aliyevaa suti ya kijivu jivu akiangalia athari iliyozikumba nyumba za Wakaazi wa Kijiji cha Fukuchani Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya upepo mkali wa ghafla uliovuma kwa adakika Tatu jana asubuhi. Kulia ya Balozi Seif ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Kanal Mstaafu Juma Kassim Tindwa na Kushoto yake ni Sheha wa Shehia ya Fukuchani Bwana Abdulla Mcha Ame.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akimkabidhi Mabati 1,000 ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SOrIQsJAbHA/UwWcr2OUN6I/AAAAAAAFOMo/OWQlg-kSv_I/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Familia yaishi chooni ni baada ya nyumba yao kuezuliwa na upepo wilayani Hai, Kilimanjaro
![](http://2.bp.blogspot.com/-SOrIQsJAbHA/UwWcr2OUN6I/AAAAAAAFOMo/OWQlg-kSv_I/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VLQvuBEzzk0/UwWcuB1NhcI/AAAAAAAFONU/f1djxonSZQA/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9oVrkfSwMOc/UwWcr9dGyOI/AAAAAAAFOMs/8toypbl_z-g/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vTmOccjnXyE/UwWcsRbPtkI/AAAAAAAFOM0/s47sJ-CDGfc/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yVijUyE_LRk/U7hJKhnTaXI/AAAAAAAFvMk/QWGFr-hxwMk/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xs_vq68dQOM/U_DJB_XuRLI/AAAAAAAGAR4/eLzh_ggcS3k/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Balozi seif atembelea Kijiji cha Mvuleni Kidoti Wilaya ya Kaskazini “A “ Zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uvHxqoMJgsk/VbpDBV3TBFI/AAAAAAAHswc/zbvFi2x0vVc/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Balozi Seif azungumza na Wananchi wa Kijiji cha Kiomba Mvua, Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-uvHxqoMJgsk/VbpDBV3TBFI/AAAAAAAHswc/zbvFi2x0vVc/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Alisema yeye bado anaendelea kuwa Kiongozi wa Jimbo hilo kwa vile jukumu la kuwatumikia Wananchi wa Maeneo hayo uko mikononi mwake na wala hafanyi kampeni kwa mujibu wa kanuni kwa...
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal awajulia hali wananchi walioangukiwa na nyumba zao kwa upepo na mvua kubwa Msoga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete (wa pili kulia), Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli na baadhi ya Viongozi, wakati alipowasili Kitongoji cha Mnazi Mmoja, Msoga jana kwa ajili ya kuwafariji wananchi waliokubwa na maafa kwa kuangukiwa na nyumba zao kutokana na Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi. Katika tukio hilo jumla ya watu 12 walijeruhiwa na jumla ya nyumba 128...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yATTxXOdeGM/U9QqMstTBfI/AAAAAAAF6xg/tlTppFa9thQ/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Balozi seif atembelea Wazee wanaotunzwa katika Nyumba za Serikali za Welezo na Sebleni
11 years ago
Michuzi20 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-koeuutUsRcQ/VFUeSkRHb6I/AAAAAAAGuu0/Ee049fMCUGM/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
balozi seif azinduwa msikiti wa Kijiji cha Tasani Makunduchi