MAKAMU RAIS ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI ATEMBELEA NYUMBA ZA NSSF KIJISCHI, DAR ES SALAAM
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Iddi (wa pili kulia), akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dkt. Ramadhan Dau, alipotembelea mradi wa nyumba zinazojengwa na shirika hilo, Kijichi, Dar es Salaam leo. Kulia ni Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi John Msemo.
Makamu wa pili Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (kulia), Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dkt. Ramadhan...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NHC JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AMTEMBELEA RAIS MAGUFULI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ahitimisha Mkutano wa 12 wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani jijini Arusha
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi awahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania


10 years ago
Michuzi
MAKAMU WAPILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI AJUMUIKA KATIKAMAAZISHI YA MJUMBE WA BODI YA TUME YA UTUMISHI SERIKALINI BIBI FATMA MOH’D OTHMAN

Pemba aliyefariki dunia Hospitali ya Muhimbili na kuzikwa Kijijinikwao Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba.


Balozi Seif pamoja na baadhi ya viongozi wakiwasili makaburini...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif asimamisha ujenzi wa nyumba ya ghorofa mjini Unguja, Zanzibar

Balozi Seif akipokea malalamiko ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakimshutumu Mmiliki wa Kiwanja cha jengo la Ghorofa Bwana Anuari Abdulla anayejenga pamoja na eneo la wazi.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.



Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero
11 years ago
Michuzi
Balozi Seif Ali Iddi atembelea Mabanda ya Maonyesho ya miaka 50 ya muungano
10 years ago
Vijimambo22 Jan
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd ahudhuria sherehe za miaka 50 ya CBE

