SERIKALI YAINGILIA KATI CHANGAMOTO YA SUKARI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-XJ2x5i_xG48/XphnkdQqR_I/AAAAAAAC3MY/pRwoqLUt5qECCX8lS8eqw8w6dm0ZWjwIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-DodomaSerikali imewahakikishia watanzania kuwa hakuna upungufu wa sukari Tanzania hivyo wananchi hawapaswi kuwa na wasiwasi wa aina yoyote ile.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa ufafanuzi juu ya malalamiko ya wananchi kuhusu kupanda kwa bei ya sukari.
Amesema kuwa kila mwaka serikali imekuwa makini katika kutathmini mahitaji ya sukari kwa wananchi kadhalika uwezo wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziCORONA YASABABISHA WAFANYABIASHARA KUCHELEWA KUAGIZA SUKARI KWA WAKATI, SERIKALI YAINGILIA KATI YATATUA CHANGAMOTO HIYO - WAZIRI BASHUNGWA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imewahakikishia watanzania kuwa hakuna upungufu wa sukari Tanzania hivyo wananchi hawapaswi kuwa na wasiwasi wa aina yoyote ile.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
SAKATA LA VIUNGO: Serikali yaingilia kati
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Serikali yaingilia kati ada vyuo vikuu
11 years ago
Habarileo05 Feb
Serikali yaingilia kati uporaji kiwanja familia ya Nyerere
SIKU moja baada ya gazeti hili kutoa taarifa za uporaji wa kiwanja cha familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Serikali imeingilia kati na kuzuia ujenzi katika kiwanja hicho, uliokuwa ukiendelea kwa mabavu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wib7New*846LDZpiER397c5WGAbk*2evpeJ4XSqeRmlk-xKtD1bWx6ZAZjINHPd2lbigyXySkpgC48CdNkrGa5bB7TM80oA4/messi.jpg?width=650)
MESSI aonekana ofisi za azam, serikali yaingilia kati
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PniYE6kWMPI/VHHqpCcGnmI/AAAAAAADNzM/6SI7JL8sCpo/s72-c/PIX%2B1..jpg)
SERIKALI YAJIDHATITI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA ELIMU CHINI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-PniYE6kWMPI/VHHqpCcGnmI/AAAAAAADNzM/6SI7JL8sCpo/s1600/PIX%2B1..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Scob4KFhOaQ/VHHqonwfPNI/AAAAAAADNzI/kEERjqTcxko/s1600/PIX%2B2..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5R3giLBngME/VHHqtfWlyyI/AAAAAAADNzg/yonQqDS1pdA/s1600/PIX%2B3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Serikali yajidhatiti kukabiliana na changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu nchini
Naibu Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akiwahutubia wahitimu wakati wa Mahafali ya Tisa ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere siku ya tarehe 22 Novemba, 2014 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Shadrak Mwakalila.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM.
SERIKALI imekuwa ikifanya jitihada za dhati katika kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa kiwango cha wahitimu wa kidato cha Nne na Sita katika kipindi cha miaka miwili...
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Virusi vya corona: Uhasama kati ya Marekani na China wajitokeza katika kukabiliana na mlipuko huo Afrika
9 years ago
Mtanzania29 Oct
Marekani yaingilia kati Zanzibar
*Ni baada ya matokeo kufutwa, wataka tamko liondolewe
*Makamishna wa ZEC wataka kuzichapa kavukavu
NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
SAA chache baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kutangaza kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa rais, wawakilishi na madiwani visiwani Zanzibar jana, Serikali ya Marekani imeingilia kati na kutaka tamko hilo liondolewe.
Serikali ya Marekani imesema imeshtushwa sana na tamko la Mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salim Jecha, kufuta matokeo ya uchaguzi wa...