SAKATA LA VIUNGO: Serikali yaingilia kati
>Serikali kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeingilia kati sakata la utupwaji wa viungo vya binadamu katika eneo la Mto Mpiji kwa kuunda kamati ya watu 15 kufanya uchunguzi na kumaliza kazi hiyo ndani ya siku saba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Serikali yaingilia kati ada vyuo vikuu
11 years ago
Habarileo05 Feb
Serikali yaingilia kati uporaji kiwanja familia ya Nyerere
SIKU moja baada ya gazeti hili kutoa taarifa za uporaji wa kiwanja cha familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Serikali imeingilia kati na kuzuia ujenzi katika kiwanja hicho, uliokuwa ukiendelea kwa mabavu.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XJ2x5i_xG48/XphnkdQqR_I/AAAAAAAC3MY/pRwoqLUt5qECCX8lS8eqw8w6dm0ZWjwIgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI YAINGILIA KATI CHANGAMOTO YA SUKARI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-XJ2x5i_xG48/XphnkdQqR_I/AAAAAAAC3MY/pRwoqLUt5qECCX8lS8eqw8w6dm0ZWjwIgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa ufafanuzi juu ya malalamiko ya wananchi kuhusu kupanda kwa bei ya sukari.
Amesema kuwa kila mwaka serikali imekuwa makini katika kutathmini mahitaji ya sukari kwa wananchi kadhalika uwezo wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wib7New*846LDZpiER397c5WGAbk*2evpeJ4XSqeRmlk-xKtD1bWx6ZAZjINHPd2lbigyXySkpgC48CdNkrGa5bB7TM80oA4/messi.jpg?width=650)
MESSI aonekana ofisi za azam, serikali yaingilia kati
5 years ago
MichuziCORONA YASABABISHA WAFANYABIASHARA KUCHELEWA KUAGIZA SUKARI KWA WAKATI, SERIKALI YAINGILIA KATI YATATUA CHANGAMOTO HIYO - WAZIRI BASHUNGWA
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imewahakikishia watanzania kuwa hakuna upungufu wa sukari Tanzania hivyo wananchi hawapaswi kuwa na wasiwasi wa aina yoyote ile.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Innocent Bashungwa (Mb) ameyasema hayo Jijini Dodoma leo tarehe 16 Aprili 2020 wakati akitoa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zV5JGh6vsUo/VkHxr6z0AsI/AAAAAAAIFNQ/nB9gGzrVRfE/s72-c/patandi%2B1.jpg)
SERIKALI IMEOMBWA KUINGILIA KATI SAKATA LA FAMILIA YA JUMA ISANGU, ARUMERU
![](http://2.bp.blogspot.com/-zV5JGh6vsUo/VkHxr6z0AsI/AAAAAAAIFNQ/nB9gGzrVRfE/s640/patandi%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YY1LSlQCNT4/VkHxsbC4toI/AAAAAAAIFNU/7OEGFakVyLc/s640/patandi%2B2.jpg)
9 years ago
Mtanzania29 Oct
Marekani yaingilia kati Zanzibar
*Ni baada ya matokeo kufutwa, wataka tamko liondolewe
*Makamishna wa ZEC wataka kuzichapa kavukavu
NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
SAA chache baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kutangaza kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa rais, wawakilishi na madiwani visiwani Zanzibar jana, Serikali ya Marekani imeingilia kati na kutaka tamko hilo liondolewe.
Serikali ya Marekani imesema imeshtushwa sana na tamko la Mwenyekiti wa ZEC, Jecha Salim Jecha, kufuta matokeo ya uchaguzi wa...
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Tuico yaingilia kati mgomo wa Urafiki
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Urusi yaingilia kati vita ya Ukraine.