SERIKALI IMEOMBWA KUINGILIA KATI SAKATA LA FAMILIA YA JUMA ISANGU, ARUMERU
![](http://2.bp.blogspot.com/-zV5JGh6vsUo/VkHxr6z0AsI/AAAAAAAIFNQ/nB9gGzrVRfE/s72-c/patandi%2B1.jpg)
Mkazi wa eneo la Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha, Juma Isangu akiwa na mkewe Janet Tinai pamoja na mwanao, Issa Juma (katikati) wakiangalia nyaraka mbalimbali nje ya nyumba yao mara baada ya kufukuzwa na kisha kuvunjiwa nyumba yao wilayani humo na kampuni ya Majembe Auction Mart kwa amri ya mahakama.
Mkazi wa eneo la Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha, Janet Tinai akilalamika mbele ya waandishi wa habari akiwa na baadhi ya vyombo vyake mara baada ya kuhamishwa kwa amri ya mahakama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Nov
Mzee Juma Isangu aomba Serikali kumsaidia baada ya kuondolewa kwenye eneo lake
Serikali imeombwa kuingilia kati sakata la familia ya Mzee Juma Isangu mkazi wa Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha baada ya kuondolewa kwa amri ya mahakama katika eneo walilokuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka thelathini.
Wamedai kwamba haki haikutendeka.
Familia hiyo ambayo hadi hivi sasa imekosa mahali pa kuishi, inamshutumu mtoto wa aliyekuwa mmiliki wa kwanza wa eneo hilo kwa madai ya kughushi nyaraka za uhalali wake wakati familia hiyo ikiwa na vielelezo vya mahala hapo.
Kwa mujibu wa...
9 years ago
StarTV27 Nov
Wafanyakazi wa TRL waiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya malimbikizo
Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa malipo ya malimbikizo ya mshahara wao wa miezi mitano wanaoudai uongozi wa kampuni hiyo.
Wafanyakazi wa kampuni hiyo wametishia kwenda Ikulu kumuona Rais John Magufuli iwapo hawatolipwa malimbikizo ya jumla ya Shilingi Bilioni 2.4 ya kuanzia Julai hadi Novemba 2014.
Wafanyakazi hao wa Kampuni ya Reli nchini waliimba wimbo wa mshikamano baada ya uongozi wa kampuni kuondoka katika mkutano baina yao...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
SAKATA LA VIUNGO: Serikali yaingilia kati
11 years ago
Habarileo05 Feb
Serikali yaingilia kati uporaji kiwanja familia ya Nyerere
SIKU moja baada ya gazeti hili kutoa taarifa za uporaji wa kiwanja cha familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Serikali imeingilia kati na kuzuia ujenzi katika kiwanja hicho, uliokuwa ukiendelea kwa mabavu.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-85KZGq_UXyI/VosIXHJ1iVI/AAAAAAAAXn4/ak-1We1YrPQ/s72-c/si.png)
Mbunge amsihi Dk. Magufuli kuingilia sakata la Zanzibar
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
JK aombwa kuingilia kati fidia Mloganzila
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa kauli kwa umma kuhusu fidia ya ardhi kwa wananchi wa Kata ya Mwembe, eneo la Mloganzila...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
DC aombwa kuingilia kati mgomo wa wananchi
MKUU wa Wilaya (DC) ya Hanang’, Christine Mndeme, ameombwa kuingilia kati suala la wananchi wa Kata ya Endasak kugoma kuchangia ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari ya kata yao....
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Rais wa Yemen aitaka UN kuingilia kati
11 years ago
Habarileo25 Dec
Dk Slaa amtaka JK kuingilia kati unyanyasaji wananchi
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Willibrod Slaa ameitaka Serikali ikomeshe unyanyasaji na ukatili dhidi ya wananchi.