Mbunge amsihi Dk. Magufuli kuingilia sakata la Zanzibar

Mbunge wa Viti Maalum wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Simiyu, Gimbi Masaba, amemshauri Rais Dk. John Magufuli, kuingilia kati mgogoro wa kisiasa Zanzibar. Masaba amesema hatua ya Rais Dk. Magufuli kuingilia kati suala hilo, kutalinusuru taifa kukosa msaada wa fedha za Bodi ya MCC zaidi ya Dola milioni 472.8 za Marekanizinazotolewa na Serikali ya Marekani. Alisema yeye
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
SERIKALI IMEOMBWA KUINGILIA KATI SAKATA LA FAMILIA YA JUMA ISANGU, ARUMERU


11 years ago
Mwananchi23 Feb
NLD Zanzibar wamtaka Msajili kuingilia kati uteuzi
9 years ago
StarTV12 Nov
ACT Wazalendo wamwomba Dk. Magufuli kuingilia kati mgogoro wa Zanzibari
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli kuingilia kati suala la mgogoro wa Zanzibar na hatimaye matokeo ya uchaguzi yafahamike na mshindi atangazwe.
Kiongozi wa Chama hicho ambaye pia ni Mbunge mteule wa Kigoma Ujiji Zitto Kabwe amesema Rais asiposhughulikia suala hilo linaweza kusababisha mpasuko mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kazi anazozifanya...
10 years ago
Mwananchi21 May
Mbunge amjia juu DC sakata la wanawake wa Rombo
5 years ago
Michuzi
11 years ago
BBCSwahili23 Feb
Tutu amsihi Museveni kuhusu mswada mpya
9 years ago
Habarileo06 Dec
RC amsihi Yussuf Manji akubali kuachia Coco Beach
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki amemuomba mmiliki wa Kampuni ya Q Consult inayomilikiwa na mfanyabiashara Yussuf Manji kutumia busara kukubali kuuachia ufukwe wa Coco jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo
Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo

Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Mbunge ‘awashambulia’ Mwakyembe, Magufuli