Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge ‘awashambulia’ Mwakyembe, Magufuli

Joto la hasira dhidi ya mawaziri limeendelea kupanda bungeni, ambapo safari hii limemgusa Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli na Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe ambao wameshambuliwa kuwa siyo wasikivu ni wabinafsi kwa kuwa wameshiba sifa za magazeti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwakyembe, Magufuli mnashindana nini?

MAWAZIRI wawili wa serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete, wanaonekana kufanya kazi bila kujua wajibu wao au wameamua kupambana katika utendaji wao. Mawaziri hawa ni Dk. Harrison...

 

9 years ago

Habarileo

Mwakyembe- Nitaenda sawa na Magufuli

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe amesema atafanya kazi kwa kasi ya Rais Magufuli katika kukabiliana na changamoto zilizopo katika wizara hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magufuli, Mwakyembe tafuteni ufumbuzi wa hili

UJENZI wa barabara ya Morogoro kutoka Posta hadi Kimara ulipoanza, kila raia anayetumia njia hiyo ya kuingia na kutoka nje ya Jiji la Dar es Salaam alishukuru na kuipongeza sana...

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Mwakyembe Apongeza Wazalendo Wanaounga Mkono Juhudi za Rais Magufuli


Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na Bw. Mussa Issa (kushoto) meneja wa Mtoto Romeo Asubisye (mwenye suti ya kijani) aliyekuja kumtambulisha mtoto huyo baada ya kutwaa medali takriban 09,katika mashindano mbalimbali ya kuogelea ikwemo Cana Zone Three Africa yaliyofanyika mwaka 2019 nchini KenyaWaziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja  na Bw. Mussa Issa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msabaha awashambulia wanaompiga Warioba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Mariam Msabaha, amewashambulia wanaopingana na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba. Akizungumzia hotuba hiyo alisema kilichowasilishwa bungeni ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta ageuka mbogo, awashambulia wasomi

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, amejibu mapigo akiwashambulia wasomi wanaohoji uhalali wa wajumbe wa Bunge hilo kupiga kura wakiwa nje ya nchi, akisema wasomi hao wanachanganya sheria za nchi.

 

11 years ago

GPL

KATIBU MKUU NISHATI NA MADINI AWASHAMBULIA ZITTO, KAFULILA

SAKATA linalohusu kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), limechukua sura mpya baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, kuwashambulia kwa maneno makali, wabunge wawili Zitto Kabwe wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) na David Kafulila wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi). Maswi ametumia maneno makali kwa kuyarudia, akikejeli nyaraka zinazotajwa kuwa ni ushahidi wa jinsi IPTL...

 

9 years ago

Mtanzania

Yametimia *Dk. Slaa awashambulia Ukawa, *Asema maaskofu Katoliki wamehongwa, Walutheri wana udini

IMG_5657NA FREDY AZZAH, DAR ES SALAAM

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, ametangaza kuachana na siasa huku akiwatuhumu viongozi wa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kuwa wamehongwa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Dk. Slaa aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye Hoteli ya Serena, zikiwa zimepita siku 36 tangu aliposusia...

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge wa Chadema amfagilia Rais Magufuli

MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Mara, Joyce Sokombi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amempongeza Rais John Magufuli, kwa kasi yake ya kuwawajibisha watu na watumishi wa serikali wanaojinufaisha na mali ya umma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani