Sitta ageuka mbogo, awashambulia wasomi
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, amejibu mapigo akiwashambulia wasomi wanaohoji uhalali wa wajumbe wa Bunge hilo kupiga kura wakiwa nje ya nchi, akisema wasomi hao wanachanganya sheria za nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Mwambusi ageuka ‘mbogo’
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Maximo ageuka ‘mbogo’
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mzungu wa Simba ageuka ‘mbogo’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKuo0Z0gA97SBC8ZeYEtZpLl*ExQJcOz-LSyxNko6WOkVX-04ldHqP5tYRdzi5oe4kZgZkTR1wlWq5GAeZhWaAA/5.jpg)
MAMA KANUMBA AGEUKA MBOGO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1mkD-moKwPThvA4PIX0i6Iz6CjdDD*ZIysFckCizCs2XCatrgTQmsxMMZf3r9bIYRSW5EuyoXYq**fu5e0unuVupHNBTCTof/Iyanya.jpg?width=650)
INYANYA AGEUKA MBOGO KISA KUTOKA NA FREDA
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Mbunge ‘awashambulia’ Mwakyembe, Magufuli
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Msabaha awashambulia wanaompiga Warioba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Mariam Msabaha, amewashambulia wanaopingana na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba. Akizungumzia hotuba hiyo alisema kilichowasilishwa bungeni ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
KATIBU MKUU NISHATI NA MADINI AWASHAMBULIA ZITTO, KAFULILA
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Yametimia *Dk. Slaa awashambulia Ukawa, *Asema maaskofu Katoliki wamehongwa, Walutheri wana udini
NA FREDY AZZAH, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, ametangaza kuachana na siasa huku akiwatuhumu viongozi wa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kuwa wamehongwa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Dk. Slaa aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye Hoteli ya Serena, zikiwa zimepita siku 36 tangu aliposusia...