Mzungu wa Simba ageuka ‘mbogo’
Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema anataka wachezaji wote wa timu hiyo wawe wamejiunga na kambi yake iliyoko hapa, la sivyo watafute timu nyingine za kuchezea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Maximo ageuka ‘mbogo’
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amewaweka kitimoto nyota wake huku akiwatuhumu kuwa hawakabi uwanjani na wanaridhika mapema na matokeo, jambo linalosababisha timu hiyo kuwa katika wakati mgumu kwenye mechi zao za ligi.
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Mwambusi ageuka ‘mbogo’
>Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi  amewashutumu watu waliomzushia kuwa amenunuliwa nyumba na klabu ya Azam FC, hali iliyofanya maisha yake kuwa hatarini kabla ya mchezo huo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjKuo0Z0gA97SBC8ZeYEtZpLl*ExQJcOz-LSyxNko6WOkVX-04ldHqP5tYRdzi5oe4kZgZkTR1wlWq5GAeZhWaAA/5.jpg)
MAMA KANUMBA AGEUKA MBOGO
Na Mayasa Mariwata/Risasi Mchanganyiko
KUFUATIA kufungwa kwa ofisi ya aliyekuwa msanii nyota wa filamu marehemu Steven Kanumba ya Kanumba The Great, mama mzazi Flora Mtegoa amegeuka mbogo baada ya kuulizwa kuhusu hatima ya kikazi ya taasisi hiyo. “Muonekana wa Ofisi ya Kanumba The Great wakati ikiwa inafanya kazi. Watu wamezidi kunifuatilia mambo yangu, sitaki kabisa nimechoka, hii kampuni haimhusu mtu yeyote, hili ni...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Sitta ageuka mbogo, awashambulia wasomi
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, amejibu mapigo akiwashambulia wasomi wanaohoji uhalali wa wajumbe wa Bunge hilo kupiga kura wakiwa nje ya nchi, akisema wasomi hao wanachanganya sheria za nchi.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1mkD-moKwPThvA4PIX0i6Iz6CjdDD*ZIysFckCizCs2XCatrgTQmsxMMZf3r9bIYRSW5EuyoXYq**fu5e0unuVupHNBTCTof/Iyanya.jpg?width=650)
INYANYA AGEUKA MBOGO KISA KUTOKA NA FREDA
Mwanamuziki kutoka Nigeria,Iyanya. IEZI kadhaa iliyopita, mfanyabiashara maarufu wa kike nchini Nigeria, Freda Francis, alionekana akiwa katika picha iliyokaa kimahaba na mwimbaji Iyanya pia wa nchini humo, ambapo kulizuka minong’ono kibao kwamba huenda watu hao walikuwa wamezama katika mahaba. Freda alipoulizwa wiki kadhaa zilizopita kuhusu hali hiyo, alisema jambo lolote analofanya… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm0f5gJ71k2irhvvXqP0BOBHdxRGPVnFodzXDXNof3LPDp7gbIPRKNRLIqb7RtLlHTGOd8CzwLTFGce*bBKEw0tu/lion2.jpg)
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mzungu Simba ataka kujipima
Kocha wa Simba, Zdravok Logarusic amesema anahitaji mechi nyingi za kujipima nguvu kabla ya mzunguko wa pili wa ligi kuanza, huku akiwashangaa ‘profesheno’ wake watatu kutohudhuria mazoezi bila ya taarifa zozote.
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mzungu wa Simba aanza nyodo
Kitendo cha Simba kuvunja mwiko wa kutoshinda mechi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwa miaka minne mfululizo kimempa kiburi kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr kwani amesema timu yake itaendelea kucheza kama ilivyocheza juzi na msimu huu wataweka rekodi nyingi za maana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqecBXs3ymXu15LbA6BCDzQvqyLkUeMK8d763SjwVWqXPMZ-5Kw7OfWSXhY2aOvYxNA-TICl6yLSrRxeryPmMhr/kavumbagu.gif?width=650)
Kavumbagu: Tunamtaka huyo Mzungu wa Simba
Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu. Na Wilbert Molandi MSHAMBULIAJI wa Yanga, Didier Kavumbagu, amemwambia Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic kuwa wiki mbili ambazo Yanga wamefanya mazoezi ya pamoja, zinatosha kutoa kichapo pindi timu hizo zitakapokutana. Timu hizo zinatarajiwa kukutana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mchezo wa kirafiki uliopewa jina la Nani Mtani Jembe utakaochezwa Desemba 21, mwaka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania