Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kavumbagu: Tunamtaka huyo Mzungu wa Simba

Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu. Na Wilbert Molandi MSHAMBULIAJI wa Yanga, Didier Kavumbagu, amemwambia Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic kuwa wiki mbili ambazo Yanga wamefanya mazoezi ya pamoja, zinatosha kutoa kichapo pindi timu hizo zitakapokutana. Timu hizo zinatarajiwa kukutana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mchezo wa kirafiki uliopewa jina la Nani Mtani Jembe utakaochezwa Desemba 21, mwaka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

John Bolton: Katika kitabu chake mshauri huyo wa zamani wa Trump anasema kwamba kiongozi huyo 'aliuliza iwapo Finland ni sehemu ya Urusi'?'

Urais wa Donald Trump tayari umeweka orodha ndefu ya vitabu, lakini kitabu cha hivi karibuni cha aliyekuwa mshauri wa usalama kitaifa , John Bolton kimevutia watu wengi, na hii ni kutokana na wadhifa aliokuwa nao mwandishi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mzungu wa Simba aanza nyodo

Kitendo cha Simba kuvunja mwiko wa kutoshinda mechi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwa miaka minne mfululizo kimempa kiburi kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr kwani amesema timu yake itaendelea kucheza kama ilivyocheza juzi na msimu huu wataweka rekodi nyingi za maana.

 

10 years ago

Mwananchi

Mzungu wa Simba ageuka ‘mbogo’

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema anataka wachezaji wote wa timu hiyo wawe wamejiunga na kambi yake iliyoko hapa, la sivyo watafute timu nyingine za kuchezea.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzungu Simba ataka kujipima

Kocha wa Simba, Zdravok Logarusic amesema anahitaji mechi nyingi za kujipima nguvu kabla ya mzunguko wa pili wa ligi kuanza, huku akiwashangaa ‘profesheno’ wake watatu kutohudhuria mazoezi bila ya taarifa zozote.

 

11 years ago

GPL

Mzungu rasmi atema sita Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic. Na Khatimu Naheka
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amemaliza kazi ya kwanza katika kusaka nyota atakaoanza nao safari ya ubingwa katika timu hiyo, ambapo tayari amefyeka nyota sita wa kikosi hicho. Akizungumza na Championi Jumatatu, Logarusic, maarufu kwa jina na Loga, amesema kazi hiyo ya kufyeka nyota hao aliyoifanya na msaidizi wake Seleman Matola, ina lengo moja kubwa katika...

 

9 years ago

Global Publishers

Mzungu Simba ampiga changa la macho Julio

Na Mohammed Mdose

SIMBA leo inacheza na Mwadui FC kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, lakini kocha wake Dylan Kerr amesema kikosi chake kitatumia mfumo mpya ambao haijawahi kuutumia ili kuwazuga wapinzani.

Kerr raia wa Uingereza aliliambia Championi Jumamosi kuwa, ni lazima abadili mfumo kwani anakutana na Kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amewahi kuifundisha Simba.

“Tunacheza na kocha anayeifahamu Simba vizuri, sasa ni lazima nibadili mfumo na nitatumia mpya kabisa ambao hatujawahi...

 

11 years ago

GPL

Azam: Tunamtaka Amissi Tambwe

Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe. Na Khadija Mngwai
BAADA ya tetesi za hapa na pale, hatimaye uongozI wa Azam FC umetangaza nia ya wazi ya kutaka kumsajili straika wa Simba, Amissi Tambwe, kwa kusema wataweka kikao na kumjadili mchezaji huyo iwapo Wekundu wa Msimbazi, watakuwa tayari kuvunja naye mkataba. Tambwe bado ana mkataba na Simba na amekuwa akihusishwa kuondoka klabuni hapo licha ya Simba kukana mara kadhaa. Katibu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zimbabwe:Tunamtaka aliyemuua 'Cecil'

Zimbabwe inamtaka mwindaji aliyemuua simba maarufu 'Cecil' arejeshwe huko iliajibu mashtaka dhidi yake

 

10 years ago

GPL

Kavumbagu mali ya Yanga

Straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
 MAMBO yameiva kwani hadi sasa Yanga ina asilimia 80 za kumsajili straika wa Azam FC, Didier Kavumbagu na kudhihirisha kwamba fedha wakati mwingine inaweza kuwa si lolote katika uamuzi.Kavumbagu amebakiza mwezi mmoja tu kumaliza mkataba wake na Azam aliyojiunga nayo mwaka jana akitokea Yanga, hivyo sasa anarejea nyumbani. Mabosi wa Yanga wameshafanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani