Mzungu Simba ataka kujipima
Kocha wa Simba, Zdravok Logarusic amesema anahitaji mechi nyingi za kujipima nguvu kabla ya mzunguko wa pili wa ligi kuanza, huku akiwashangaa ‘profesheno’ wake watatu kutohudhuria mazoezi bila ya taarifa zozote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Simba kujipima kwa URA leo
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mzungu wa Simba aanza nyodo
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mzungu wa Simba ageuka ‘mbogo’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqecBXs3ymXu15LbA6BCDzQvqyLkUeMK8d763SjwVWqXPMZ-5Kw7OfWSXhY2aOvYxNA-TICl6yLSrRxeryPmMhr/kavumbagu.gif?width=650)
Kavumbagu: Tunamtaka huyo Mzungu wa Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQiDGiE4JFO1KdKDhXuiVgGBbK-wVVsZyd6fMUR0jN-YYXR5XfHquE9sUHOOZexvVoYD5RJl4pfCSORLFNH*rja3/mzungu.jpg?width=650)
Mzungu rasmi atema sita Simba
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Mzungu Simba ampiga changa la macho Julio
Na Mohammed Mdose
SIMBA leo inacheza na Mwadui FC kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, lakini kocha wake Dylan Kerr amesema kikosi chake kitatumia mfumo mpya ambao haijawahi kuutumia ili kuwazuga wapinzani.
Kerr raia wa Uingereza aliliambia Championi Jumamosi kuwa, ni lazima abadili mfumo kwani anakutana na Kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amewahi kuifundisha Simba.
“Tunacheza na kocha anayeifahamu Simba vizuri, sasa ni lazima nibadili mfumo na nitatumia mpya kabisa ambao hatujawahi...
9 years ago
Habarileo30 Aug
Kimwaga ataka kuisaidia Simba
KIUNGO Joseph Kimwaga aliyejiunga na Simba kwa mkopo akitokea Azam FC, amekiri kuwa alikata tamaa ya kucheza mpira baada ya mambo kuwa magumu katika klabu yake ya awali.
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Kerr ataka uvumilivu Simba
NA MWALI IBRHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amewataka wachezaji wake kuwa wavumilivu kutokana na aina ya mazoezi watakayofanya watakapokuwa kambini visiwani Zanzibar kwa lengo la kuwaongezea kasi tofauti na ilivyokuwa katika mechi zilizopita.
Ikiwa kambini Simba inatarajia kucheza mechi mbili za kirafiki kujipima nguvu kabla ya kurejea kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC utakaopigwa Desemba 12, mwaka huu katika Uwanja wa Uwanja wa Taifa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BMX2CDnBHSKW4Hly7EtM-urYSp2kYZChDKYQbM*asVVOk-Ce9f3TYnN4QyZpw6AKqvBlALDUcABLKz2dbvyj5IZuzKg3nmCD/beki.gif?width=600)
Beki ataka milioni 35 asaini Simba SC