Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzungu wa Simba aanza nyodo

Kitendo cha Simba kuvunja mwiko wa kutoshinda mechi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwa miaka minne mfululizo kimempa kiburi kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr kwani amesema timu yake itaendelea kucheza kama ilivyocheza juzi na msimu huu wataweka rekodi nyingi za maana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mzungu wa Simba ageuka ‘mbogo’

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema anataka wachezaji wote wa timu hiyo wawe wamejiunga na kambi yake iliyoko hapa, la sivyo watafute timu nyingine za kuchezea.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzungu Simba ataka kujipima

Kocha wa Simba, Zdravok Logarusic amesema anahitaji mechi nyingi za kujipima nguvu kabla ya mzunguko wa pili wa ligi kuanza, huku akiwashangaa ‘profesheno’ wake watatu kutohudhuria mazoezi bila ya taarifa zozote.

 

11 years ago

GPL

Mzungu rasmi atema sita Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic. Na Khatimu Naheka
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amemaliza kazi ya kwanza katika kusaka nyota atakaoanza nao safari ya ubingwa katika timu hiyo, ambapo tayari amefyeka nyota sita wa kikosi hicho. Akizungumza na Championi Jumatatu, Logarusic, maarufu kwa jina na Loga, amesema kazi hiyo ya kufyeka nyota hao aliyoifanya na msaidizi wake Seleman Matola, ina lengo moja kubwa katika...

 

11 years ago

GPL

Kavumbagu: Tunamtaka huyo Mzungu wa Simba

Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu. Na Wilbert Molandi MSHAMBULIAJI wa Yanga, Didier Kavumbagu, amemwambia Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic kuwa wiki mbili ambazo Yanga wamefanya mazoezi ya pamoja, zinatosha kutoa kichapo pindi timu hizo zitakapokutana. Timu hizo zinatarajiwa kukutana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mchezo wa kirafiki uliopewa jina la Nani Mtani Jembe utakaochezwa Desemba 21, mwaka...

 

9 years ago

Global Publishers

Mzungu Simba ampiga changa la macho Julio

Na Mohammed Mdose

SIMBA leo inacheza na Mwadui FC kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, lakini kocha wake Dylan Kerr amesema kikosi chake kitatumia mfumo mpya ambao haijawahi kuutumia ili kuwazuga wapinzani.

Kerr raia wa Uingereza aliliambia Championi Jumamosi kuwa, ni lazima abadili mfumo kwani anakutana na Kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amewahi kuifundisha Simba.

“Tunacheza na kocha anayeifahamu Simba vizuri, sasa ni lazima nibadili mfumo na nitatumia mpya kabisa ambao hatujawahi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aveva aanza na makundi Simba

RAIS mpya wa klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Evans Aveva, amesema kazi ya kwanza anayoanza nayo ni kuvunja makundi yaliyoibuka kipindi cha uchaguzi, ili kuunganisha nguvu za...

 

10 years ago

Mwananchi

Baba Ubaya aanza mazoezi mepesi Simba

Beki wa kushoto wa kutumainiwa wa Simba, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’ ameanza mazoezi na timu yake  ingawa daktari wa timu hiyo amemzuia kucheza mechi.

 

11 years ago

GPL

tambwe aanza kazi simba, ambeza coutinho

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe. Na Hans Mloli
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, ameanza kujifua rasmi jana kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao lakini hapohapo akamtupia dongo kiungo mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho.
Tambwe alitua nchini juzi usiku na kuamua kuingia mzigoni moja kwa moja kujumuika na wenzake kwenye mazoezi ya gym yanayofanyika Chang’ombe, Dar es Salaam.
Baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

EMEH ZICHUKWU AANZA KUIFUKUZIA SIMBA TENA.



Mshambuliaji Mnigeria, Emeh Godwill Izuchukwu, amesema anataka kurejea Simba na kuendelea kuichezea huku akiahidi mabeki Ligi Kuu Bara watayaona maajabu yake.
Mshambuliaji huyo wa zamani, sasa anakipiga katika timu ya daraja la pili ya Elverum FC ya nchini Norway.
Izuchukwu, raia wa Nigeria, tayari amepiga simu nchini na kuwasiliana na mmoja wa rafiki zake ambaye ni mwanasheria ambaye inaelezwa amewasiliana na viongozi wa Simba akitaka kurejea nchini.
Hata hivyo, uongozi wa Simba bado haujatoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani