Mzungu wa Simba aanza nyodo
Kitendo cha Simba kuvunja mwiko wa kutoshinda mechi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwa miaka minne mfululizo kimempa kiburi kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr kwani amesema timu yake itaendelea kucheza kama ilivyocheza juzi na msimu huu wataweka rekodi nyingi za maana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mzungu wa Simba ageuka ‘mbogo’
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mzungu Simba ataka kujipima
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQiDGiE4JFO1KdKDhXuiVgGBbK-wVVsZyd6fMUR0jN-YYXR5XfHquE9sUHOOZexvVoYD5RJl4pfCSORLFNH*rja3/mzungu.jpg?width=650)
Mzungu rasmi atema sita Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqecBXs3ymXu15LbA6BCDzQvqyLkUeMK8d763SjwVWqXPMZ-5Kw7OfWSXhY2aOvYxNA-TICl6yLSrRxeryPmMhr/kavumbagu.gif?width=650)
Kavumbagu: Tunamtaka huyo Mzungu wa Simba
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Mzungu Simba ampiga changa la macho Julio
Na Mohammed Mdose
SIMBA leo inacheza na Mwadui FC kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, lakini kocha wake Dylan Kerr amesema kikosi chake kitatumia mfumo mpya ambao haijawahi kuutumia ili kuwazuga wapinzani.
Kerr raia wa Uingereza aliliambia Championi Jumamosi kuwa, ni lazima abadili mfumo kwani anakutana na Kocha Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye amewahi kuifundisha Simba.
“Tunacheza na kocha anayeifahamu Simba vizuri, sasa ni lazima nibadili mfumo na nitatumia mpya kabisa ambao hatujawahi...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Aveva aanza na makundi Simba
RAIS mpya wa klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Evans Aveva, amesema kazi ya kwanza anayoanza nayo ni kuvunja makundi yaliyoibuka kipindi cha uchaguzi, ili kuunganisha nguvu za...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Baba Ubaya aanza mazoezi mepesi Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TGCt*VDo1cPNb9AzBuCpMa1OmofQ9GhZacaxnb996rNQnm*iNwwCy2v9Bh7ycRjyGYQmTq*HMqTY67CijxSYoBV/tambwe.jpg?width=650)
tambwe aanza kazi simba, ambeza coutinho
10 years ago
VijimamboEMEH ZICHUKWU AANZA KUIFUKUZIA SIMBA TENA.
Mshambuliaji Mnigeria, Emeh Godwill Izuchukwu, amesema anataka kurejea Simba na kuendelea kuichezea huku akiahidi mabeki Ligi Kuu Bara watayaona maajabu yake.
Mshambuliaji huyo wa zamani, sasa anakipiga katika timu ya daraja la pili ya Elverum FC ya nchini Norway.
Izuchukwu, raia wa Nigeria, tayari amepiga simu nchini na kuwasiliana na mmoja wa rafiki zake ambaye ni mwanasheria ambaye inaelezwa amewasiliana na viongozi wa Simba akitaka kurejea nchini.
Hata hivyo, uongozi wa Simba bado haujatoa...