EMEH ZICHUKWU AANZA KUIFUKUZIA SIMBA TENA.
Mshambuliaji Mnigeria, Emeh Godwill Izuchukwu, amesema anataka kurejea Simba na kuendelea kuichezea huku akiahidi mabeki Ligi Kuu Bara watayaona maajabu yake.
Mshambuliaji huyo wa zamani, sasa anakipiga katika timu ya daraja la pili ya Elverum FC ya nchini Norway.
Izuchukwu, raia wa Nigeria, tayari amepiga simu nchini na kuwasiliana na mmoja wa rafiki zake ambaye ni mwanasheria ambaye inaelezwa amewasiliana na viongozi wa Simba akitaka kurejea nchini.
Hata hivyo, uongozi wa Simba bado haujatoa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Aveva aanza na makundi Simba
RAIS mpya wa klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Evans Aveva, amesema kazi ya kwanza anayoanza nayo ni kuvunja makundi yaliyoibuka kipindi cha uchaguzi, ili kuunganisha nguvu za...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mzungu wa Simba aanza nyodo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TGCt*VDo1cPNb9AzBuCpMa1OmofQ9GhZacaxnb996rNQnm*iNwwCy2v9Bh7ycRjyGYQmTq*HMqTY67CijxSYoBV/tambwe.jpg?width=650)
tambwe aanza kazi simba, ambeza coutinho
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Baba Ubaya aanza mazoezi mepesi Simba
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4ET5aW8KvaU/VIw3WWE1oWI/AAAAAAACUP4/EwMDDlma4JI/s72-c/NNN.jpg)
9 years ago
Habarileo28 Oct
Yanga, Simba leo tena
MIAMBA ya soka nchini Simba na Yanga leo itakuwa kwenye viwanja tofauti katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Kocha Kopunovic tena Simba
Mserbia, Goran Kopunovic.
Hans Mloli,
Dar es Salaam
UNAWEZA kuona kama ni utani lakini ndiyo hali halisi ilivyo, Klabu ya Simba imeamua kufanya mazungumzo na aliyekuwa kocha wao, Mserbia, Goran Kopunovic.
Ishu ya kuanza mazungumzo na kocha huyo iliibuka wakati wa mchakato wa awali ulipoanza wa kumtafuta kocha msaidizi wa timu hiyo ambaye mpaka sasa bado hajapatikana baada ya kocha mkuu wa wekundu hao, Dylan Kerr kuchomoa ujio wa Mganda, Moses Basena.
Habari ikufikie kuwa Kopunovic...
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kaduguda wa Simba aibuka tena
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa klabu ya Simba, Mwina Kaduguda ‘Simba wa Yuda,’(pichani) ameamua kuvunja ukinywa kwa kusema kuwa, Simba kwa sasa haihitaji matajiri, bali yenyewe ni tajiri kiasi cha kutosha kuweza kujiendesha.
Kwa mujibu wa Kaduguda, haoni haja ya matajiri ndani ya Simba, ambao wakikumaliza muda wao, Simba inabaki masikini huku akitamba kuwa, katika uongozi wake aliisaidia klabu hiyo kuwa na wadhamini wa kudumu kama Kilimanjaro Premium Lager na wengineo.
“Unajua...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*rwcQDa6LWN*bxHJ1W9pKSfEVEDJrQsUUdJfoixJ8YRJDe78CRj3Rav8hz9uF2CUSJa567D22SVzw9h57oKmSQv/wambura.jpg?width=600)
Wambura basi tena Simba