Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aveva aanza na makundi Simba

RAIS mpya wa klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Evans Aveva, amesema kazi ya kwanza anayoanza nayo ni kuvunja makundi yaliyoibuka kipindi cha uchaguzi, ili kuunganisha nguvu za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Aveva: My vision for Simba SC

One of Simba Sports Club’s presidential candidates, Evans Aveva has said that he will turn the club into a winning outfit locally and internationally if elected.

 

11 years ago

GPL

Aveva historia Simba

Na Waandishi Wetu
SIMBA imeweka historia ya kuwa na kiongozi wa kwanza wa juu ambaye atakuwa akitambulika kwa cheo cha rais na siyo mwenyekiti tena kama ilivyokuwa awali, hiyo ni baada ya Evans Aveva kushinda kwa kishindo katika nafasi hiyo kwenye Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo, jana. Aveva amepata ushindi katika uchaguzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akiwania nafasi hiyo na...

 

10 years ago

Mwananchi

Aveva: Tambwe haondoki Simba

>Rais wa Simba, Evance Aveva amesema hawana mpango wa kumwachia mshambuliaji wao, Amissi Tambwe, labda mwenyewe ang’ang’anie kuondoka.

 

10 years ago

TheCitizen

Mosoti a Simba player for now: Aveva

Simba Sports Club leadership has said they will continue retaining Kenyan defender Donald Mosoti during this transition period.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aveva azindua kampeni Simba

MGOMBEA urais wa klabu ya Simba katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Jumapili, Evans Aveva, jana amezindua kampeni kwa kutangaza vipaumbele vyake kama atashinda nafasi hiyo, ikiwamo kuvunja makundi baada ya...

 

11 years ago

GPL

Aveva kumtumia Maximo Simba

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akipokelewa na mashabiki wa timu ya Simba SC.
Na Wilbert Molandi
RAIS mpya wa Simba, Evans Aveva, amesema moja ya mikakati atakayoanzanayo ni kutengeneza mfumo mzuri wa kuunda timu imara ya vijana ya U20.
Mkakati huo wa kuandaa timu bora ya vijana kwa mara ya kwanza aliutangaza Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, wakati anatambulishwa na viongozi wa timu hiyo. Akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aveva: Sitaki nongwa Simba

UONGOZI wa Klabu ya Simba chini ya Rais Evans Aveva, umesema hauna muda wa kupoteza katika  kulumbana na yeyote, badala yake unajikita katika mambo muhimu  ikiwemo maandalizi ya timu yao...

 

11 years ago

GPL

AVEVA NDIYE RAIS MPYA SIMBA SC

Amin Bakhresa akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Simba SC. Evance Aveva akishukuru baada ya kutangazwa kuwa Rais mpya wa klabu ya Simba na kuchukua mikoba ya Ismail Aden Rage, aliyemaliza muda wake wa miaka minne.…

 

10 years ago

Mwananchi

Aveva kufumua Kamati ya Mashindano Simba

Rais wa klabu ya Simba, Evans Aveva anatarajiwa kufanya mabadiliko ya Kamati ya Mashindano muda wowote kuanzia sasa hasa nafasi za wajumbe baada ya kushauriwa kutokana na utendaji wao wa kazi kutoridhisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani