Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aveva: Tambwe haondoki Simba

>Rais wa Simba, Evance Aveva amesema hawana mpango wa kumwachia mshambuliaji wao, Amissi Tambwe, labda mwenyewe ang’ang’anie kuondoka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Aveva, Wambura wazuia mshahara mpya wa Tambwe

Aveva alipowasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Simba umekubali kumuongezea mshahara mshambuliaji wake Mrundi, Amissi Tambwe, anayetishia kuihama timu hiyo kama maslahi yake hayataboreshwa kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara lakini ukasema itabidi awasubiri viongozi wapya.…

 

11 years ago

GPL

Aveva historia Simba

Na Waandishi Wetu
SIMBA imeweka historia ya kuwa na kiongozi wa kwanza wa juu ambaye atakuwa akitambulika kwa cheo cha rais na siyo mwenyekiti tena kama ilivyokuwa awali, hiyo ni baada ya Evans Aveva kushinda kwa kishindo katika nafasi hiyo kwenye Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo, jana. Aveva amepata ushindi katika uchaguzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akiwania nafasi hiyo na...

 

11 years ago

TheCitizen

Aveva: My vision for Simba SC

One of Simba Sports Club’s presidential candidates, Evans Aveva has said that he will turn the club into a winning outfit locally and internationally if elected.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aveva: Sitaki nongwa Simba

UONGOZI wa Klabu ya Simba chini ya Rais Evans Aveva, umesema hauna muda wa kupoteza katika  kulumbana na yeyote, badala yake unajikita katika mambo muhimu  ikiwemo maandalizi ya timu yao...

 

11 years ago

GPL

Aveva kumtumia Maximo Simba

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akipokelewa na mashabiki wa timu ya Simba SC.
Na Wilbert Molandi
RAIS mpya wa Simba, Evans Aveva, amesema moja ya mikakati atakayoanzanayo ni kutengeneza mfumo mzuri wa kuunda timu imara ya vijana ya U20.
Mkakati huo wa kuandaa timu bora ya vijana kwa mara ya kwanza aliutangaza Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, wakati anatambulishwa na viongozi wa timu hiyo. Akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aveva azindua kampeni Simba

MGOMBEA urais wa klabu ya Simba katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Jumapili, Evans Aveva, jana amezindua kampeni kwa kutangaza vipaumbele vyake kama atashinda nafasi hiyo, ikiwamo kuvunja makundi baada ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Mosoti a Simba player for now: Aveva

Simba Sports Club leadership has said they will continue retaining Kenyan defender Donald Mosoti during this transition period.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aveva aanza na makundi Simba

RAIS mpya wa klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Evans Aveva, amesema kazi ya kwanza anayoanza nayo ni kuvunja makundi yaliyoibuka kipindi cha uchaguzi, ili kuunganisha nguvu za...

 

11 years ago

GPL

Aveva aweka rekodi ya urais Simba

Aveva akiwasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. Na Sweetbert Lukonge
MWANACHAMA wa Simba, Evance Aveva, jana ameweka rekodi ya pekee katika klabu hiyo wakati alipokwenda kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya urais. Rekodi hiyo ameiweka baada ya maelfu ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa Simba kujitokeza na kumsindikiza kwenda makao makuu ya klabu hiyo kwa lengo la kuchukua fomu hiyo kwa ajili ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Juni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani