Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aveva, Wambura wazuia mshahara mpya wa Tambwe

Aveva alipowasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Simba umekubali kumuongezea mshahara mshambuliaji wake Mrundi, Amissi Tambwe, anayetishia kuihama timu hiyo kama maslahi yake hayataboreshwa kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara lakini ukasema itabidi awasubiri viongozi wapya.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Aveva: Tambwe haondoki Simba

>Rais wa Simba, Evance Aveva amesema hawana mpango wa kumwachia mshambuliaji wao, Amissi Tambwe, labda mwenyewe ang’ang’anie kuondoka.

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga

Mshambiliaji  wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe, amesema atakuwa tayari kujiunga na Yanga endapo tu klabu hiyo itakubali kumpa mshahara kama anaochukua mshambuliaji Emmanuel Okwi. Hivi karibuni kumekuwepo na tetesi kuwa  Yanga inamhitaji mshambuliaji huyo ambaye anaongoza kwa kuzifumania nyavu katika michuano ya Ligi...

 

11 years ago

GPL

AVEVA NDIYE RAIS MPYA SIMBA SC

Amin Bakhresa akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Simba SC. Evance Aveva akishukuru baada ya kutangazwa kuwa Rais mpya wa klabu ya Simba na kuchukua mikoba ya Ismail Aden Rage, aliyemaliza muda wake wa miaka minne.…

 

10 years ago

Vijimambo

RAMADHAN SINGANO ‘MESSI’ KAWA MCHARO…HUU NDIO MSHAHARA WAKE MPYA NDANI YA AZAM FC


Stori kubwa leo hii ni aliyekuwa winga wa Simba SC, Ramadhan Singano ‘Messi’ kusaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Azam fc, ikiwa ni siku mbili tu tangu TFF wavunje mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi.
Messi amesaini mkataba mnono kwa dau la milioni 50 na atakuwa analipwa mshahara wa Milioni 2 kwa mwezi.
Kabla ya kuingia katika mgogoro wa kimkataba na Simba, Wekundu wa Msimbazi walitaka winga huyo asaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la milioni 30 na mshahara wa milioni 1.5,...

 

10 years ago

GPL

WAZUIA MAZISHI YA BIBI YAO

Stori: Victor Bariety, Sengerema
WAJUKUU wa marehemu Sabina Ngalu (77) wameibua kutuko makaburini kufuatia kuzama ndani ya kaburi la marehemu huyo na kugoma kutoka wakidai kwamba mpaka walipwe shilingi laki moja (100,000), Uwazi lina mkanda mzima. Wajukuu wa bibi huyo wakiwa kaburini. Tukio hilo la aina yake lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita katika Kitongoji cha Nyamwanza Kata ya Sima wilayani Sengerema mkoani Mwanza muda...

 

10 years ago

Mtanzania

Wananchi wazuia msafara wa Kinana

kinanaNA ELIYA MBONEA, BAHI
MAMIA ya wananchi katika Kata ya Msisi, Wilaya ya Bahi, Mkoa wa Dodoma, wamesimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakitaka kupata ufafanuzi wa majengo ya Shule ya Msingi Msisi yaliyoezuliwa na mvua mwaka 2011.
Kinana alikutana na hali hiyo juzi saa 12:30 jioni alipokuwa akitoka katika vijiji vya Kongogo, Chonde, Irindi, Nguju na Lamaiti akielekea mjini Dodoma.
Kinana yuko mkoani Dodoma kushiriki shughuli za maendeleo, kukagua utekelezaji wa ilani...

 

9 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Zanzibar wazuia mabilioni

Kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar kumesababisha bodi ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) linalomilikiwa na Serikali ya Marekani kuahirisha kuidhinisha mkataba ambao ungeiwezesha Tanzania kupata mabilioni ya fedha za miradi ya maendeleo,.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenge ‘wazuia’ mahabusi Mbeya

Wakati Mwenge wa Uhuru ukizua mvutano mkali bungeni, Dodoma kiasi cha Waziri Mkuu Mizengo Pinda kusimama na kutoa ufafanuzi, ujio wa Mwenge huo wilayani Mbozi mkoani, Mbeya umesababisha mahabusi waliokuwa wakisubiri kupelekwa mahakamani jana kukosa gari kwa madai liko kwenye ziara ya Mwenge huo.

 

9 years ago

Mtanzania

Wananchi wazuia msafara wa Lowassa

LOWASSA MUHEZA 1Na Fredy Azzah, Korogwe

MSAFARA wa mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana ulizuiwa na wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani Tanga ambao sehemu nyingine walikuwa wamebeba madumu ya maji kumwonyesha jinsi wanavyotaabika na kero hiyo.

Tukio la wananchi kusimamisha msafara wake wakiwa wamebeba madumu ya maji lilijitokeza katika eneo la Mkata wilayani Handeni ambao wananchi hao walimwambia   kuwa hiyo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani