RAMADHAN SINGANO ‘MESSI’ KAWA MCHARO…HUU NDIO MSHAHARA WAKE MPYA NDANI YA AZAM FC
![](http://img.youtube.com/vi/dZGLY0Odl9I/default.jpg)
Stori kubwa leo hii ni aliyekuwa winga wa Simba SC, Ramadhan Singano ‘Messi’ kusaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Azam fc, ikiwa ni siku mbili tu tangu TFF wavunje mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi.
Messi amesaini mkataba mnono kwa dau la milioni 50 na atakuwa analipwa mshahara wa Milioni 2 kwa mwezi.
Kabla ya kuingia katika mgogoro wa kimkataba na Simba, Wekundu wa Msimbazi walitaka winga huyo asaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la milioni 30 na mshahara wa milioni 1.5,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Dec
DIAMOND NDANI BURUNDI NI SHIIIIDA ZARI KAMA KAWA KAWA DAWA
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/240.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/39.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/46.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/55.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/66.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/76.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/1515782_813759588680773_361530474_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10843796_1600128320221330_1387340386_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10848256_1562372814004909_1103692674_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10864869_1532023193734930_727265778_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10864970_1592259054322814_1268864582_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10890552_323662227824937_934916415_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10891006_431393020343188_1378749524_n.jpg)
Picture by http://instagram.com/wcb_wasafi Picha kwa hisani ya DjChoka.
10 years ago
Vijimambo04 Feb
HASSAN ISIHAKA NA RAMADHAN SINGANO KUFANYA MAJARIBIO REAL MADRID
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/14/150114070136_simba_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Endapo watafanikiwa kucheza timu ya vijana ya klabu tajiri duniani, Real Madrid ya Uhispania, basi itakuwa ni habari njema kwa soka la Tanzania, ambayo wachezaji wake kadhaa wamekuwa wakifeli majaribio ya kucheza soka la kulipwa ughaibuni, hasa nchi za Ulaya katika miaka ya nyuma.
Kufuatia tetesi za kutakiwa kwenda kufanya majaribio Real Madrid, mashabiki wa soka wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam wamewaombea wachezaji wao kila la kheri katika majaribio yao ili...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Singano ‘Messi’ afichua siri ya mafanikio
KIUNGO nyota wa Wekundu wa Msimbazi, Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ ameitaja siri ya mafanikio yake dimbani kuwa ni kujituma, huku akikabidhi harakati zake mikononi mwa Mwenyezi Mungu, anayemuwezesha kufanya mambo...
9 years ago
Mwananchi28 Nov
Mshahara wa Messi kufuru
10 years ago
Mwananchi11 Jun
UHAMISHO:Kumsajili Singano ‘Messi’ Sh50 milioni