Singano ‘Messi’ afichua siri ya mafanikio
KIUNGO nyota wa Wekundu wa Msimbazi, Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ ameitaja siri ya mafanikio yake dimbani kuwa ni kujituma, huku akikabidhi harakati zake mikononi mwa Mwenyezi Mungu, anayemuwezesha kufanya mambo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jun
UHAMISHO:Kumsajili Singano ‘Messi’ Sh50 milioni
10 years ago
Vijimambo09 Jun
NDOA YA SINGANO 'MESSI' WA SIMBA YA FUNYWA RASMI NA TFF.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/SINGAN.jpg)
Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi'.
LEO sakata la kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' lilikuwa linasikilizwa kwenye ofisi za TFF ambapo pandehizo mbili zilikutana chini ya TFF.Baada ya kikao kirefu muafaka uliofikiwa chini ya TFF kuvunjwa kwa mikataba yote miwili ambayo inatofautiana.
Kikao kimeamua mkataba alionao Messi uvunjwe na mkataba walionao Simba uvunjwe waingie makubaliano mapya.
Upande wa Singano haujakubaliana na maamuzi hayo kwa sababu unamtaka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwF*00tFiC9*CcSUdJ1hOELA3fuHDuHPalNLBjxu2n8s-HmLrovTcwsBuhN5QkWgtaG9FcCiyIkWp2TxaA5exom/VincentKigosi5312.jpg?width=650)
RAY AFICHUA SIRI YA CHUCHU!
9 years ago
Habarileo24 Dec
Pluijm afichua siri ya usajili
KOCHA wa Yanga Mholanzi Hans van der Pluijm, ameweka wazi sababu ya kuendelea kusajili kwenye dirisha dogo ni kuifanya timu hiyo iwe bora Afrika. Alisema lengo ni kuepuka kikosi chake kutegemea baadhi ya wachezaji pindi wanapokuwa katika ushindani mkubwa kama ilivyo sasa.
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Kerr afichua siri ya Simba
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Okwi afichua siri Simba
9 years ago
Habarileo12 Sep
Warioba afichua siri ya Ukawa
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amefichua siri ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), akisema vilikwamisha mchakato huo ili baadaye viingize vipengele vyao wakiingia madarakani.
9 years ago
Habarileo17 Aug
Butiku afichua siri ya Lowassa
WAKATI hekaheka za kuondoka kwa Edward Lowassa kuingia Chadema zikiwa bado zina mjadala mkali, jana Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation (MNF), Joseph Butiku ametoboa siri iliyokaa takribani miongo mitatu ya kundi la mtandao na mashtaka dhidi ya Lowassa yaliyofanywa na aliyekuwa Rais wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dZGLY0Odl9I/default.jpg)
RAMADHAN SINGANO ‘MESSI’ KAWA MCHARO…HUU NDIO MSHAHARA WAKE MPYA NDANI YA AZAM FC
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11737180_920557287983039_2068690925_n1.jpg)
Stori kubwa leo hii ni aliyekuwa winga wa Simba SC, Ramadhan Singano ‘Messi’ kusaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Azam fc, ikiwa ni siku mbili tu tangu TFF wavunje mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi.
Messi amesaini mkataba mnono kwa dau la milioni 50 na atakuwa analipwa mshahara wa Milioni 2 kwa mwezi.
Kabla ya kuingia katika mgogoro wa kimkataba na Simba, Wekundu wa Msimbazi walitaka winga huyo asaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la milioni 30 na mshahara wa milioni 1.5,...