Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga
Mshambiliaji wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge MSHAMBULIAJI wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe, amesema atakuwa tayari kujiunga na Yanga endapo tu klabu hiyo itakubali kumpa mshahara kama anaochukua mshambuliaji Emmanuel Okwi. Hivi karibuni kumekuwepo na tetesi kuwa Yanga inamhitaji mshambuliaji huyo ambaye anaongoza kwa kuzifumania nyavu katika michuano ya Ligi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Tambwe amfunika Okwi, Yanga majanga matupu
11 years ago
GPLAveva, Wambura wazuia mshahara mpya wa Tambwe
10 years ago
GPLWAZUNGU WAMPA OKWI MSHAHARA WA SAMATTA
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Beki awapania Tambwe, Okwi
10 years ago
GPLKIONGERA, TAMBWE, OKWI NI MOTO MWINGINE
10 years ago
GPLTambwe: Tumeelewana na Okwi, subirini moto wetu
11 years ago
Mwananchi27 May
Pluijm adai mshahara Yanga
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Niyonzima asimamishwa Yanga, akatwa mshahara
Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima.
KIUNGO wa Yanga SC, Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima atapokea nusu mshahara kwa muda usiojulikana, baada ya kusimamishwa na uongozi wa klabu hiyo kwa utovu wa nidhamu.
Katibu Mkuu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha amesema kwamba, klabu imemsimamisha Niyonzima kwa muda usiojulikana baada ya kurudia kuchelewa kujiunga timu kufuatia ruhusa maalum.
Dk Tiboroha amesema uamuzi huo umefikiwa na kikao cha Kamati ya Mashindano, chini ya Mwenyekiti wake, Isaac...
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Tambwe aanza mavitu Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI mpya wa timu ya Yanga, Mrundi Amis Tambwe, jana alianza kujifua na kikosi hicho huku akionekana kuanza kwa kasi baada ya kuinogesha sehemu ya ushambuliaji ya timu hiyo mazoezini.
Tambwe alifanya uamuzi wa kushtukiza Jumatatu iliyopita baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja Yanga, kufuatia kusitishiwa mkataba wake na viongozi wa Simba.
Katika mazoezi hayo ya Yanga yaliyofanyika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Dar es Salaam, Tambwe...