Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga

Mshambiliaji  wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe. Na Sweetbert Lukonge
MSHAMBULIAJI wa kimataifa ya Simba kutoka Burundi, Amissi Tambwe, amesema atakuwa tayari kujiunga na Yanga endapo tu klabu hiyo itakubali kumpa mshahara kama anaochukua mshambuliaji Emmanuel Okwi. Hivi karibuni kumekuwepo na tetesi kuwa  Yanga inamhitaji mshambuliaji huyo ambaye anaongoza kwa kuzifumania nyavu katika michuano ya Ligi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tambwe amfunika Okwi, Yanga majanga matupu

>Mshambuliaji Amis Tambwe ameitibua sherehe ya utambulisho wa Emmanuel Okwi baada ya kupachika  mabao mawili wakati Simba ilipoichakaza Yanga 3-1 katika mchezo wa ‘Nani Mtani Jembe’ jana kwenye Uwanja Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Aveva, Wambura wazuia mshahara mpya wa Tambwe

Aveva alipowasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Simba umekubali kumuongezea mshahara mshambuliaji wake Mrundi, Amissi Tambwe, anayetishia kuihama timu hiyo kama maslahi yake hayataboreshwa kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara lakini ukasema itabidi awasubiri viongozi wapya.…

 

10 years ago

GPL

WAZUNGU WAMPA OKWI MSHAHARA WA SAMATTA

Emmanuel Okwi akikabidhiwa jezi na mmoja viongozi wa juu wa timu ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KLABU ya Daraja la Kwanza ya Sonderjyske Fodbold ya nchini Denmark, imemnasa mshambuliaji Emmanuel Okwi na kumpa mkataba wa miaka mitano. Pamoja na dau la usajili kuonekana ni siri, lakini Okwi atakuwa akilamba mshahara wa dola 10,000 (Sh milioni 20) kwa mwezi. Kiasi hicho cha mshahara...

 

10 years ago

Mwananchi

Beki awapania Tambwe, Okwi

Habari mbaya kwa washambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi na Amissi Tambwe ni kuwa yule beki mbishi wa Stand United,  Yassin Mustapha ‘Evra’ amerejea na atakuwapo dimbani kwenye mchezo wao kesho, Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

KIONGERA, TAMBWE, OKWI NI MOTO MWINGINE

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe akishangilia bao. Na Wilbert Molandi BAADA ya kuisuka vema kombinesheni ya Emmanuel Okwi na Paul Kiongera, Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, ameanza kuitengeneza nyingine ya Mrundi, Amissi Tambwe na Amri Kiemba.Awali, kocha huyo aliwahi kulalamikia safu ya ushambuliaji ya timu kushindwa kutumia nafasi nyingi wanazozipata katika mechi tatu za kirafiki ilizocheza timu hiyo ikiwa Zanzibar...

 

10 years ago

GPL

Tambwe: Tumeelewana na Okwi, subirini moto wetu

Na Khadija Mngwai
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, raia wa Burundi, amefunguka kuwa anafurahia ushirikiano wake na Emmanuel Okwi katika kikosi cha Simba na kuahidi kuwa watafanya vizuri katika mechi zijazo.
Kauli ya Tambwe imekuja muda mfupi kabla ya Simba kuivaa Polisi Moro katika mechi ya Ligi Kuu Bara, kesho Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini. Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi...

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm adai mshahara Yanga

Kocha wa zamani wa Yanga, Hans van Pluijm ameishitaki klabu hiyo kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushindwa kumlipa mshahara wake wa mwezi huu.

 

9 years ago

Global Publishers

Niyonzima asimamishwa Yanga, akatwa mshahara

NIYONZIMANEW4Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima.

KIUNGO wa Yanga SC, Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima atapokea nusu mshahara kwa muda usiojulikana, baada ya kusimamishwa na uongozi wa klabu hiyo kwa utovu wa nidhamu.

Katibu Mkuu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha amesema kwamba, klabu imemsimamisha Niyonzima kwa muda usiojulikana baada ya kurudia kuchelewa kujiunga timu kufuatia ruhusa maalum.

Dk Tiboroha amesema uamuzi huo umefikiwa na kikao cha Kamati ya Mashindano, chini ya Mwenyekiti wake, Isaac...

 

10 years ago

Mtanzania

Tambwe aanza mavitu Yanga

tm

 

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI mpya wa timu ya Yanga, Mrundi Amis Tambwe, jana alianza kujifua na kikosi hicho huku akionekana kuanza kwa kasi baada ya kuinogesha sehemu ya ushambuliaji ya timu hiyo mazoezini.

Tambwe alifanya uamuzi wa kushtukiza Jumatatu iliyopita baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja Yanga, kufuatia kusitishiwa mkataba wake na viongozi wa Simba.

Katika mazoezi hayo ya Yanga yaliyofanyika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Dar es Salaam, Tambwe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani