Niyonzima asimamishwa Yanga, akatwa mshahara
Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima.
KIUNGO wa Yanga SC, Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima atapokea nusu mshahara kwa muda usiojulikana, baada ya kusimamishwa na uongozi wa klabu hiyo kwa utovu wa nidhamu.
Katibu Mkuu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha amesema kwamba, klabu imemsimamisha Niyonzima kwa muda usiojulikana baada ya kurudia kuchelewa kujiunga timu kufuatia ruhusa maalum.
Dk Tiboroha amesema uamuzi huo umefikiwa na kikao cha Kamati ya Mashindano, chini ya Mwenyekiti wake, Isaac...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo18 Dec
Niyonzima asimamishwa
UONGOZI wa Yanga umemsimamisha kiungo wake Haruna Niyonzima kwa muda usiojulikana. Niyonzima ambaye ni raia wa Rwanda alichelewa kuungana na wenziwe baada ya kutoka mapumziko bila kutoa taarifa zozote mpaka juzi aliporudi akiwa amefunga bandeji ngumu (P.O.P) mguuni kwa madai aliumia kwenye michuano ya Kombe la Chalenji Ethiopia alipokuwa akiichezea timu yake ya taifa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vf-UwgQ-r7U/Xupr8Rf6zrI/AAAAAAALuSM/xgXPePfVELgwyxoWWkETMDn6R31z3i1OACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B9.01.27%2BPM.jpeg)
BAADA YA SARE DHIDI YA JKT TANZANIA, LAMINE AKATWA MSHAHARA WAKE
Na Zainab Nyamka.
Uongozi wa Klabu ya Yanga umefikia hatua ya kumkata mshahara beki wake wa kutumaniwa baada ya kuonesha mchezo usio wa kiungwana kwa mwenzake.
Yanga ilicheza mchezo wake wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania na kumalizika kwa sare ya 1-1 katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Lamine Moro sambamba na Mwinyi Kazimoto walioneshwa kadi nyekundu dakika za lala salama katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa sana.
Uongozi wa Yanga kupitia kwa Kocha wake pia umeomba radhi kwa wanachama wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DSiZyCoYOXmcRx5KaDN9SfoRwaFYDOee-iOieM7F4R7M0KwCequN8cj9JM-RILghprsgEi5jDsl21FqB9kBh9xC/KIUNGOCHIJI.jpg?width=650)
Chuji asimamishwa Yanga
11 years ago
Mwananchi27 May
Pluijm adai mshahara Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R*OHZ3TqPjn-AUggCuZNv5RFnB8u1DpMzfzRmYS7hlJxJVjUkDOyn1vB5NavTzFCmiwihj5WX6WX*F7*DDGCqd7/TAMBWE.jpg?width=650)
Tambwe: Nataka mshahara wa Okwi Yanga
9 years ago
Habarileo29 Dec
Niyonzima kwaheri Yanga
KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.
9 years ago
Habarileo15 Dec
Niyonzima aichefua Yanga
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Yanga stronger than ever, says Niyonzima
9 years ago
Habarileo25 Dec
Niyonzima sasa kujieleza Yanga
KATIBU Mkuu wa Yanga Dk Jonas Tiboroha, amesema uongozi wa klabu hiyo umemtaka kiungo wake Mnyarwanda Haruna Niyonzima kujieleza kwa maandishi kwanini asichukuliwe hatua kwa utovu wa nidhamu alioonesha.