BAADA YA SARE DHIDI YA JKT TANZANIA, LAMINE AKATWA MSHAHARA WAKE
Na Zainab Nyamka.
Uongozi wa Klabu ya Yanga umefikia hatua ya kumkata mshahara beki wake wa kutumaniwa baada ya kuonesha mchezo usio wa kiungwana kwa mwenzake.
Yanga ilicheza mchezo wake wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania na kumalizika kwa sare ya 1-1 katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Lamine Moro sambamba na Mwinyi Kazimoto walioneshwa kadi nyekundu dakika za lala salama katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa sana.
Uongozi wa Yanga kupitia kwa Kocha wake pia umeomba radhi kwa wanachama wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Niyonzima asimamishwa Yanga, akatwa mshahara
Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima.
KIUNGO wa Yanga SC, Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima atapokea nusu mshahara kwa muda usiojulikana, baada ya kusimamishwa na uongozi wa klabu hiyo kwa utovu wa nidhamu.
Katibu Mkuu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha amesema kwamba, klabu imemsimamisha Niyonzima kwa muda usiojulikana baada ya kurudia kuchelewa kujiunga timu kufuatia ruhusa maalum.
Dk Tiboroha amesema uamuzi huo umefikiwa na kikao cha Kamati ya Mashindano, chini ya Mwenyekiti wake, Isaac...
9 years ago
MichuziCOASTAL UNION, JKT RUVU ZATOKA SARE YA 2-2
Issa Ngao (kushoto), akimtoka mchezaji wa Coastal Union ya Tanga.
Hamis Shango (kushoto) akichuana na Chidiebere Abasalim.
Mchezaji wa Coastal Union ya Tanga, Chidiebere Abasalim (katikati) akiwania mpira na...
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Lampard kulipwa mshahara wake
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
DC Makonda kutumia sehemu ya mshahara wake kuwalipa wanasheria
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam asubuhi, wakati akitoa taarifa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo.
Wanahabari wakiwa katika mkutano na Bwana Makonda.
Waandishi wa habari kutoka vyombombalimbali wakichukua taarifa hiyo.
Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa...
11 years ago
GPLTAIFA STARS YAPATA SARE DHIDI YA WENYEJI NAMIBIA
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Ureno taabani baada ya sare na USA
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUTUMIA SEHEMU YA MSHAHARA WAKE KUWALIPA WANASHERIA
Wanahabari wakiwa katika mkutano na Bwana Makonda.Waandishi wa habari kutoka vyombombalimbali wakichukua taarifa hiyo.
Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya...
10 years ago
VijimamboRAMADHAN SINGANO ‘MESSI’ KAWA MCHARO…HUU NDIO MSHAHARA WAKE MPYA NDANI YA AZAM FC
Stori kubwa leo hii ni aliyekuwa winga wa Simba SC, Ramadhan Singano ‘Messi’ kusaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Azam fc, ikiwa ni siku mbili tu tangu TFF wavunje mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi.
Messi amesaini mkataba mnono kwa dau la milioni 50 na atakuwa analipwa mshahara wa Milioni 2 kwa mwezi.
Kabla ya kuingia katika mgogoro wa kimkataba na Simba, Wekundu wa Msimbazi walitaka winga huyo asaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la milioni 30 na mshahara wa milioni 1.5,...
10 years ago
GPLSIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA JKT RUVU TAIFA