Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAADA YA SARE DHIDI YA JKT TANZANIA, LAMINE AKATWA MSHAHARA WAKE


Na Zainab Nyamka.

Uongozi wa Klabu ya Yanga umefikia hatua ya kumkata mshahara beki wake wa kutumaniwa baada ya kuonesha mchezo usio wa kiungwana kwa mwenzake.

Yanga ilicheza mchezo wake wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania na kumalizika kwa sare ya 1-1 katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma.

Lamine Moro sambamba na Mwinyi Kazimoto walioneshwa kadi nyekundu dakika za lala salama katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa sana.

Uongozi wa Yanga kupitia kwa Kocha wake pia umeomba radhi kwa wanachama wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Niyonzima asimamishwa Yanga, akatwa mshahara

NIYONZIMANEW4Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima.

KIUNGO wa Yanga SC, Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima atapokea nusu mshahara kwa muda usiojulikana, baada ya kusimamishwa na uongozi wa klabu hiyo kwa utovu wa nidhamu.

Katibu Mkuu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha amesema kwamba, klabu imemsimamisha Niyonzima kwa muda usiojulikana baada ya kurudia kuchelewa kujiunga timu kufuatia ruhusa maalum.

Dk Tiboroha amesema uamuzi huo umefikiwa na kikao cha Kamati ya Mashindano, chini ya Mwenyekiti wake, Isaac...

 

9 years ago

Michuzi

COASTAL UNION, JKT RUVU ZATOKA SARE YA 2-2

Golikipa wa JKT Ruvu, Shaban Dihile akipishana na mpira uliopigwa na mchezaji wa Coastal Union, Nassoro Kapama katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2. (Picha na Francis Dande)
 Issa Ngao (kushoto), akimtoka mchezaji wa Coastal Union ya Tanga.
  Hamis Shango (kushoto) akichuana na Chidiebere Abasalim.
 Mchezaji wa Coastal Union ya Tanga, Chidiebere Abasalim (katikati) akiwania mpira na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Lampard kulipwa mshahara wake

Manchester City watamlipa Frank Lampard mshahara wake wote wakati akimalizia muda wake.

 

10 years ago

Dewji Blog

DC Makonda kutumia sehemu ya mshahara wake kuwalipa wanasheria

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam asubuhi, wakati akitoa taarifa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo.

Wanahabari wakiwa katika mkutano na Bwana Makonda.

Waandishi wa habari kutoka vyombombalimbali wakichukua taarifa hiyo.

Dotto Mwaibale

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa...

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS YAPATA SARE DHIDI YA WENYEJI NAMIBIA

Kikosi cha Taifa Stars. Taifa Stars imefanikiwa kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wake Namibia katika mechi ya kirafiki iliyochezwa leo jijini Windhoek. Stars ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata bao lililofungwa na kiungo mwenye kipaji wa pembeni wa Azam FC, Hamis Mcha maarufu kama Vialli. Vialli alifunga bao hilo zikiwa zimebaki dakika tatu tu mpira kwisha, lakini wenyeji wakasawazisha katika dakika za nyongeza. Bao lao...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ureno taabani baada ya sare na USA

Ureno ipo pabaya huko brazil baada ya kutoshana nguvu 2-2 na Marekani. Je itafuzu mkondo wa pili ?

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUTUMIA SEHEMU YA MSHAHARA WAKE KUWALIPA WANASHERIA

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akitoa taarifa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo.
 Wanahabari wakiwa katika mkutano na Bwana Makonda.Waandishi wa habari kutoka vyombombalimbali wakichukua taarifa hiyo.
Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya...

 

10 years ago

Vijimambo

RAMADHAN SINGANO ‘MESSI’ KAWA MCHARO…HUU NDIO MSHAHARA WAKE MPYA NDANI YA AZAM FC


Stori kubwa leo hii ni aliyekuwa winga wa Simba SC, Ramadhan Singano ‘Messi’ kusaini mkataba wa miaka miwili katika klabu ya Azam fc, ikiwa ni siku mbili tu tangu TFF wavunje mkataba wake na Wekundu wa Msimbazi.
Messi amesaini mkataba mnono kwa dau la milioni 50 na atakuwa analipwa mshahara wa Milioni 2 kwa mwezi.
Kabla ya kuingia katika mgogoro wa kimkataba na Simba, Wekundu wa Msimbazi walitaka winga huyo asaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la milioni 30 na mshahara wa milioni 1.5,...

 

10 years ago

GPL

SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA JKT RUVU TAIFA

Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16. Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani