Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Makonda kutumia sehemu ya mshahara wake kuwalipa wanasheria

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam asubuhi, wakati akitoa taarifa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo.

Wanahabari wakiwa katika mkutano na Bwana Makonda.

Waandishi wa habari kutoka vyombombalimbali wakichukua taarifa hiyo.

Dotto Mwaibale

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUTUMIA SEHEMU YA MSHAHARA WAKE KUWALIPA WANASHERIA

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akitoa taarifa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo.
 Wanahabari wakiwa katika mkutano na Bwana Makonda.Waandishi wa habari kutoka vyombombalimbali wakichukua taarifa hiyo.
Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tawla kutumia wanasheria 400 kutatua migogoro ya ardhi vijijini

>Kila kukicha kumekuwa na kesi za migogoro ya ardhi, mirathi na hata kesi za wazazi kuozesha watoto wao yaani mimba za utotoni na ndoa za utotoni na hii ni changamoto kubwa inayoikabili nchi kwa sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba kuwalipa wachezaji wake wa zamani?

Klabu ya Simba imetakiwa kuwalipa wachezaji wake wa zamani akiwemo mchezaji wa kulipwa, Amisi Tambwe kwa kuvunja mikataba yao .

 

11 years ago

BBCSwahili

Samsung kuwalipa fidia wafanyakazi wake

Kampuni kubwa duniani ya vifaa vye elektroniki Samsung, inasema kuwa itawalipa fidia wafanyakazi wake waliopatwa na Saratani wakifanya kazi na kampuni hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Lampard kulipwa mshahara wake

Manchester City watamlipa Frank Lampard mshahara wake wote wakati akimalizia muda wake.

 

9 years ago

Dewji Blog

DC PAUL MAKONDA: Afanya ziara ya kushitukiza Kinondoni ataka wafanyakazi wapatiwe mikataba stahiki sehemu za kazi!

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza na wafanyakazi wa Gereji ya Spring City Enterprises inayomilikiwa na raia wa China iliyopo Mikocheni B Mlalakuwa  Barabara ya Mwai Kibaki Dar es Salaam leo, alipofika kusikiliza malalamiko yao mbalimbali yakiwemo ya kutokuwa na mikataba ya kazi licha ya kuwa kazini kwa zaidi ya miaka saba.  Makonda akiangalia kitambulisho dhaifu wanavyotumia wafanyakazi hao ambacho hakiwezi kutumimika kumuwekea mtu dhamana na shughuli...

 

10 years ago

Bongo5

Facebook na Apple kuwalipa wafanyakazi wake wa kike kugandisha mayai ya uzazi ili wafanya kazi zaidi

Makampuni ya Facebook na Apple yanawapa nafasi wafanyakazi wake wa kike kuweka pembeni ndoto zao za kuwa mama kwa kuwalipa wagandishe mayai yao. Hatua hiyo isiyo ya kawaida ina lengo la kuongeza idadi ya wafanyakazi wa kike kwa kuwaruhusu kujikita zaidi na masuala ya kazi bila kupoteza ndoto zao kwa kuwa na watoto baadaye katika […]

 

5 years ago

Michuzi

BAADA YA SARE DHIDI YA JKT TANZANIA, LAMINE AKATWA MSHAHARA WAKE


Na Zainab Nyamka.

Uongozi wa Klabu ya Yanga umefikia hatua ya kumkata mshahara beki wake wa kutumaniwa baada ya kuonesha mchezo usio wa kiungwana kwa mwenzake.

Yanga ilicheza mchezo wake wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania na kumalizika kwa sare ya 1-1 katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma.

Lamine Moro sambamba na Mwinyi Kazimoto walioneshwa kadi nyekundu dakika za lala salama katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa sana.

Uongozi wa Yanga kupitia kwa Kocha wake pia umeomba radhi kwa wanachama wa...

 

9 years ago

Michuzi

TAASISI, MASHIRIKA NA MAKAMPUNI YAASWA KUTUMIA SEHEMU YA FAIDA WANAYOPATA KUSAIDIA HUDUMA ZA AFYA.

  Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akizungumza na viongozi  na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Kisarawe leo  kabla ya kukabidhi msaada wa  shuka 176 kusaidia wodi ya Wazazi ya hospitali hiyo. Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam(CBE) Prof.Emanuel Mjema(kushoto) akikabidhi msaada wa shuka 176 kwa Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe Dkt.Martin Msokela (kulia) leo. Mashuka hayo yametolewa na chuo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani