Facebook na Apple kuwalipa wafanyakazi wake wa kike kugandisha mayai ya uzazi ili wafanya kazi zaidi
Makampuni ya Facebook na Apple yanawapa nafasi wafanyakazi wake wa kike kuweka pembeni ndoto zao za kuwa mama kwa kuwalipa wagandishe mayai yao. Hatua hiyo isiyo ya kawaida ina lengo la kuongeza idadi ya wafanyakazi wa kike kwa kuwaruhusu kujikita zaidi na masuala ya kazi bila kupoteza ndoto zao kwa kuwa na watoto baadaye katika […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Oct
Facebook kuwahifadhia wanawake mayai ya uzazi
11 years ago
BBCSwahili14 May
Samsung kuwalipa fidia wafanyakazi wake
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Halmashauri ya Manyoni yatumia zaidi ya Mil.99 kuwalipa mishahara Watendaji wa Vijiji wasiokuwa na vituo vya kazi
Afisa utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bi Pinina (wa kwanza kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya watumishi wa Halmashauri hiyo waliohudhuria kwenye uzinduzi wa mkutano wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi.
Diwani wa kata ya Mgandu, Bwana Martini Kapona (aliyevaa shada la maua) mara tu baada ya kula kiapo cha utii cha kuwatumikia wananchi wate waliomchagua na wasiomchagua.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bw.Supeet Roine Mseya (wa...
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Wafanyakazi wa Hospitali ya Centenary ya mjini Canberra wameonyesha nia ya kufanya kazi Tanzania ili kumuunga mkono Mama Salma Kikwete
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kijeshi wa Fairbairn mjini Canberra katika siku ya mwanzo ya ziara yake rasmi ya siku nne ya Kiserikali nchini Australia.(Picha na IKULU).
Na Mwandishi wetu – Canberra, Australia
Wafanyakazi wa Hospitali ya wanawake na watoto ya Centenary ya mjini Canberra wameonyesha nia ya kufanya kazi nchini Tanzania ili kumuunga mkono Mke wa Rais Mhe. Mama Salma Kikwete katika juhudi zake za kupunguza vifo vya kina...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Serikali kuwalipa wafanyakazi wa MPM
10 years ago
BBCSwahili01 May
Simba kuwalipa wachezaji wake wa zamani?
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
DC Makonda kutumia sehemu ya mshahara wake kuwalipa wanasheria
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam asubuhi, wakati akitoa taarifa ya utatuzi wa migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo.
Wanahabari wakiwa katika mkutano na Bwana Makonda.
Waandishi wa habari kutoka vyombombalimbali wakichukua taarifa hiyo.
Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUTUMIA SEHEMU YA MSHAHARA WAKE KUWALIPA WANASHERIA
Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya...
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Gambia: Wafanyakazi wa kike wajifunike nywele