Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kuwalipa wafanyakazi wa MPM

Baada ya vuta nikuvute ya miaka 10 kati ya Serikali na waliokuwa wafanyakazi wa Mufindi Paper Mills (MPM), kuhusu malipo ya fidia yao, hatimaye Serikali imekubali kulipa fedha hizo kiasi cha Sh3.7 bilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Samsung kuwalipa fidia wafanyakazi wake

Kampuni kubwa duniani ya vifaa vye elektroniki Samsung, inasema kuwa itawalipa fidia wafanyakazi wake waliopatwa na Saratani wakifanya kazi na kampuni hiyo.

 

10 years ago

Bongo5

Facebook na Apple kuwalipa wafanyakazi wake wa kike kugandisha mayai ya uzazi ili wafanya kazi zaidi

Makampuni ya Facebook na Apple yanawapa nafasi wafanyakazi wake wa kike kuweka pembeni ndoto zao za kuwa mama kwa kuwalipa wagandishe mayai yao. Hatua hiyo isiyo ya kawaida ina lengo la kuongeza idadi ya wafanyakazi wa kike kwa kuwaruhusu kujikita zaidi na masuala ya kazi bila kupoteza ndoto zao kwa kuwa na watoto baadaye katika […]

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yatenga Sh. Bil. 30 kuwalipa wakulima.

Na Mkombe Zanda,

Mbeya.

 

Serikali imetenga shilingi bilioni 30 kwa ajili ya kuwalipa wakulima waliouza mazao yao kwa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula NFRA kwenye mikoa mbalimbali nchini.

 

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema fedha hizo zitalipwa kwa Wakulima katika awamu mbili za shilingi bilioni 15 ili kumaliza malalamiko yanayotokana na kuchelewa kwa malipo hayo.

 

Hayo yalibainishwa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda, katika siku ya kwanza ya ziara ya wiki moja mkoani Mbeya...

 

11 years ago

Mwananchi

CWT yaiomba Serikali kuwalipa madeni yao

Chama cha Walimu (CWT) mkoani Mara kimesema kipo tayari kuanzisha mgogoro mkubwa na Serikali iwapo itafika mwishoni mwa mwezi Januari 2014 kama madeni mbalimbali wanayoyadai walimu kwa muda mrefu hayatalipwa. Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Mkoa wa Mara.

 

9 years ago

StarTV

TALGWU waitaka serikali kuwalipa stahiki zao shilingi bil.18

Baadhi ya viongozi wa chama cha wafanyakazi Serikali za Mitaa TALGWU Mkoani Mwanza wameitaka serika kuwalipa stahiki zao haraka kiasi cha shilingi billion 18 ikiwa ni moja ya malimbikizo ya stahiki zao.ahadi ya serikali

Wamesema kuwa licha ya Rais wa jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Mrisho Kikwetwe kutoa tamko la kulipa malimbikizo ya madeni kuwalipa kabla ya juni 30 mwaka huu lakini mpaka sasa hayajafanyiwa kazi jambo ambalo wamesema linawaweka katika mgumu.

Madai hayo yametolewa...

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyakazi wagomea utitiri wa serikali

KATIKA Katiba mpya, wafanyakazi nchini hawataki utitiri wa serikali, bali nyongeza ya mishahara ya angalau kima cha chini cha Sh 315,000 na kupunguzwa kwa makato ya kodi.

 

9 years ago

StarTV

Wafanyakazi wa Serikali Shinyanga watahadharishwa

Wafanyakazi wa Serikali mkoani Shinyanga wametahadharishwa kuwa makini na utendaji wa Serikali ya awamu ya Tano kwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea.

Mkuu wa mkoa huo Ally Nassoro Rufunga ametoa tahadhari hiyo wakati akiongea na wafanyakazi na taasisi katika mji wa Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kikazi.

Rufunga anawataazalisha wafanyakazi wa Serikali mkoani hapa kuacha kufanya kazi kwa mazoea kwa Serikali awamu ya tano.

Anasema lengo la Serikali ya Mh Magufuli ni kuwatumikia...

 

5 years ago

Bongo5

‘Wafanyakazi wa Hotel ya 77 Arusha hawatudai’ – Serikali

Wizara ya Fedha na Mipango imesema kuwa waliokuwa wafanyakazi wa Hoteli ya Seventy Seven ya mkoani Arusha, walioachishwa kazi mwaka 2000, wameshalipwa mafao yao kwa mujibu wa sheria na taratibu hivyo hawastahili kudai malipo yoyote ya nyongeza.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango (MB), Dkt Ashatu Kijaji, ameyaeleza hayo bungeni mjini Dodoma, alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maaluum (CCM) Arusha, Mhe. Catherine Magige aliyehoji,

Je?, “ni lini Serikali itawalipa mafao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani