Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CWT yaiomba Serikali kuwalipa madeni yao

Chama cha Walimu (CWT) mkoani Mara kimesema kipo tayari kuanzisha mgogoro mkubwa na Serikali iwapo itafika mwishoni mwa mwezi Januari 2014 kama madeni mbalimbali wanayoyadai walimu kwa muda mrefu hayatalipwa. Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Mkoa wa Mara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

CWT yaitaka serikali ilipe madeni ya walimu

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi ya kulipa madeni ya fedha za walimu ambayo yamewasilishwa serikalini ili kuepusha kutokea msuguano katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT yaipongeza serikali kusikiliza hoja yao

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza serikali kwa kukubaliana na hoja yao ya kuwa na mwajiri mmoja. Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Rais wa chama hicho, Gratian Mukoba, alisema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki na Ujerumani wajadili madeni yao

Viongozi wa Ujerumani na Ugiriki wamekutana mjini Berlin kwa mara ya kwanza kutokana na mzigo wa madeni unaozikabili nchi hizo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wagiriki waamua kuhusu madeni yao

Mamilioni wa raia nchini Ugiriki wanapiga kura ya maamuzi kuhusu iwapo watakubali ama kukataa masharti yaliowekwa na wakopeshaji ili kulipa deni wanalodaiwa.

 

9 years ago

Michuzi

TFF YAIOMBA SERIKALI KUONDOA USHURU KWA VIFAA VYA MICHEZO.

TFF yaiomba serikali kuondoa ushuru kwa vifaa vya michezo ili kutoa fursa ya kuibua vipaji vya wanamichezo.

 

5 years ago

Michuzi

DC TANDAHIMBA AWATAKA WAKULIMA WALIOKOPA PEMBEJEO KULIPA MADENI YAO

 DC Waryuba akisistiza Jambo kwa wananchi.
 Wananchi wa Kijiji Cha  Mivanga wakimsikiliza DC Waryuba DC Waryuba (katikati) akiwa na wakuu wa Idara katika ziara yake ya kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo katika Wilaya yake

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amewataka wakulima waliokopa  pembejeo kulipa madeni hayo ili waweze kukopeshwa Tena katika msimu mpya

Hayo ameyasema wakati akijibu swali la mkazi wa Mikuyuni kata ya Nambahu Mkalavachi Mkalavachi kwenye muendelezo wa ziara...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuwalipa wafanyakazi wa MPM

Baada ya vuta nikuvute ya miaka 10 kati ya Serikali na waliokuwa wafanyakazi wa Mufindi Paper Mills (MPM), kuhusu malipo ya fidia yao, hatimaye Serikali imekubali kulipa fedha hizo kiasi cha Sh3.7 bilioni.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani