CWT yaiomba Serikali kuwalipa madeni yao
Chama cha Walimu (CWT) mkoani Mara kimesema kipo tayari kuanzisha mgogoro mkubwa na Serikali iwapo itafika mwishoni mwa mwezi Januari 2014 kama madeni mbalimbali wanayoyadai walimu kwa muda mrefu hayatalipwa. Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Mkoa wa Mara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Apr
CWT yaitaka serikali ilipe madeni ya walimu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi ya kulipa madeni ya fedha za walimu ambayo yamewasilishwa serikalini ili kuepusha kutokea msuguano katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
CWT yaipongeza serikali kusikiliza hoja yao
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza serikali kwa kukubaliana na hoja yao ya kuwa na mwajiri mmoja. Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Rais wa chama hicho, Gratian Mukoba, alisema...
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Ugiriki na Ujerumani wajadili madeni yao
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Wagiriki waamua kuhusu madeni yao
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/VWClzmosshE/default.jpg)
TFF YAIOMBA SERIKALI KUONDOA USHURU KWA VIFAA VYA MICHEZO.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aT6HNSoH8k8/VJKNAZMkuLI/AAAAAAAG4Es/1vIdKqGOVgc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-18%2Bat%2B11.13.49%2BAM.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fH3tnKcfvFc/XkbSQyYWlSI/AAAAAAALdcU/_YIoA7vjzRMHoFhf4PP9uyGus_d2WAR9gCLcBGAsYHQ/s72-c/e5b03401-1cee-4429-a2e6-0d7777dae39f.jpg)
DC TANDAHIMBA AWATAKA WAKULIMA WALIOKOPA PEMBEJEO KULIPA MADENI YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-fH3tnKcfvFc/XkbSQyYWlSI/AAAAAAALdcU/_YIoA7vjzRMHoFhf4PP9uyGus_d2WAR9gCLcBGAsYHQ/s640/e5b03401-1cee-4429-a2e6-0d7777dae39f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tqdyI3wq5mI/XkbSQiUpMtI/AAAAAAALdcM/Yd-YzreWKNk8FMnJiM2bgR-wSNajFMqLgCLcBGAsYHQ/s640/3a51d6e8-501d-4a21-873c-bbec606fc16a.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--1zFA8puo5M/XkbSQ_QpXsI/AAAAAAALdcQ/3K9Ytu0HoPIMNLooiVURTRUJ9XuQeiR3ACLcBGAsYHQ/s640/059c28bf-25b9-4fc0-b599-3a6e95910586.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amewataka wakulima waliokopa pembejeo kulipa madeni hayo ili waweze kukopeshwa Tena katika msimu mpya
Hayo ameyasema wakati akijibu swali la mkazi wa Mikuyuni kata ya Nambahu Mkalavachi Mkalavachi kwenye muendelezo wa ziara...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Serikali kuwalipa wafanyakazi wa MPM
10 years ago
Habarileo08 Jun
Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.