Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CWT yaipongeza serikali kusikiliza hoja yao

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza serikali kwa kukubaliana na hoja yao ya kuwa na mwajiri mmoja. Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Rais wa chama hicho, Gratian Mukoba, alisema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

CWT yaiomba Serikali kuwalipa madeni yao

Chama cha Walimu (CWT) mkoani Mara kimesema kipo tayari kuanzisha mgogoro mkubwa na Serikali iwapo itafika mwishoni mwa mwezi Januari 2014 kama madeni mbalimbali wanayoyadai walimu kwa muda mrefu hayatalipwa. Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Mkoa wa Mara.

 

9 years ago

Vijimambo

Mahakama leo kusikiliza hoja kesi mita 200 vituoni.

Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, leo itasikiza hoja za upande wa mashtaka na utetezi katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na mgombea ubunge Viti Maalum kupitia Chadema, Amy Kibatala, baada ya upande wa Jamhuri kuwasilisha majibu ya kesi hiyo.

Katika kesi hiyo namba 37 ya mwaka huu, mlalamikaji anaiomba mahakama itoe tafsiri ya kifungu cha 104 kidogo cha (1) cha Sheria ya Uchaguzi kama kinazuia ama la wananchi kukaa umbali wa mita 200 baada ya kupiga kura katika vituo vyao....

 

10 years ago

GPL

VETA YATAKIWA KUSIKILIZA MAONI YA WADAU ILI KUJUA MAHITAJI YAO SANJARI NA KUBADILISHA MITAALA YA ELIMU‏

Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudensia Kabaka  wakati alipokuwa akizindua kongamano lililoshirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali kwa ajili ya kujadili changamoto wanazozipata wadau hao. Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi akiwa anaongea katika kongamano hilo…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaipongeza Tusiime

SERIKALI mkoani Dar es Salaam, imeipongeza shule ya Tusiime iliyopo Tabata  kwa namna ilivyosaidia mkoa huo kushika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka huu kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera Serikali kusikiliza wanahabari

Juzi Serikali ilikubali kuundoa Muswada wa Sheria ya Upatikanaji Habari ya 2015 ili upelekwe kwa wadau kwa lengo la kuujadili na kukubaliana katika vipengele ambavyo wameviona vina matatizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaipongeza Sekondari ya St Matthew

MKURUGENZI wa shule za sekondari za serikali nchini, Paulina Mkonongo, ameipongeza Shule ya Sekondari ya St Matthew iliyopo Mkuranga, Pwani kwa kufaulisha wanafunzi wa kidato cha nne kwa zaidi ya...

 

9 years ago

Mwananchi

CWT yaitega Serikali madai ya walimu

Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimeitaka Serikali kutekeleza madai ya ahadi za walimu kama walivyokubaliana na chama hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais CWT aitupia lawama Serikali

Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba ameirushia lawama Serikali kwamba inatumia fursa ya upole wa walimu kuwakandamiza kwa kutowalipa madeni yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT: Serikali itatue kero za walimu

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya Morogoro kimeitaka serikali kuepusha migogoro kati yake na walimu. Rai hiyo imetolewa na Katibu wa CWT, Maswi Munada alipomkaribisha Mkurugenzi wa Manispaa, Jorvis...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani