Serikali yaipongeza Sekondari ya St Matthew
MKURUGENZI wa shule za sekondari za serikali nchini, Paulina Mkonongo, ameipongeza Shule ya Sekondari ya St Matthew iliyopo Mkuranga, Pwani kwa kufaulisha wanafunzi wa kidato cha nne kwa zaidi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Sekondari St. Matthew yajivunia kutoa mazao bora
NJIA pekee ya kufaulisha wanafunzi shuleni ni kutoa motisha kwa walimu, miundombinu bora kwa shule na vifaa vya kufundishia vya kutosha. Mpango wa serikali wa kupata Matokeo Makubwa Sasa (Big...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Serikali yaipongeza Tusiime
SERIKALI mkoani Dar es Salaam, imeipongeza shule ya Tusiime iliyopo Tabata kwa namna ilivyosaidia mkoa huo kushika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka huu kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lcZ7d7mEkGM/VYuWFe56O4I/AAAAAAAAtCM/oZv2s1RSico/s72-c/Untitledn.png)
Serikali yaipongeza Kampuni ya Huawei Tanzania
Huawei Tanzania inafanya kazi kwa ukaribu sana ni wizara na kwa hivi sasa ni mojawapo ya Mtoa huduma za vifaa vingi vya ujenzi wa jengo jipya la DATA center.
Data center ni mojawapo ya ujenzi mkubwa unaofanywa na wizara ya sayansi na jingo hili litakua na kazi ya kuhifadhi DATA...
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaipongeza TPHA kukuza sekta ya afya
Mkurugenzi wa Idara ya Tiba wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii, Dk. Margaret Mhando akifungua kongamano hilo la kisayansi.
Na Andrew Chale, Bagamoyo
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepongeza juhudi za makusudi zinazofanywa na Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) katika kushughulikia masuala ya afya kwa jamii huku ikiahidi kushirkiana kwa ukaribu.
Hayo yalisemwa jana mjini hapa na mgeni rasmi Mkurugenzi wa Idara ya Tiba wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii, Dk....
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
CWT yaipongeza serikali kusikiliza hoja yao
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza serikali kwa kukubaliana na hoja yao ya kuwa na mwajiri mmoja. Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Rais wa chama hicho, Gratian Mukoba, alisema...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dQDwKBPrnYk/U9N0TbwqRnI/AAAAAAAF6gg/e1Hi1Xvatx4/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SHIWATA yaipongeza Serikali kutambua kijiji chao Mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-dQDwKBPrnYk/U9N0TbwqRnI/AAAAAAAF6gg/e1Hi1Xvatx4/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SERIKALI imepongezwa kwa kutambua juhudi zinazofanywa na wasanii, wanamichezo na waandishi wa habari za kujenga nyumba za makazi katika kijiji cha Mwanzega Mkuranga ambapo Mwenge wa Uhuru ulifika na kuweka jiwe la msingi Julai 22 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA),Cassim Taalib katika risala aliyosoma mbele ya Kiongozi wa Mwenge kitaifa, Rachael Kassanda alisema Serikali kukitambua kijiji hicho kumeongeza ari ya wasanii kujenga nyumba za...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8KWTGR51cxk/UzPoEUMZhAI/AAAAAAAFWvk/nIhgRvADUg4/s72-c/20140217_113746.jpg)
Serikali yaipongeza Airtel kwa kuchangia maendeleo ya elimu
Kauli hiyo imetolewa wakati Airtel ilipotoa msaada wa vitabu kwa Shule ya sekondari ya Naura mkoani Arusha chini ya mpango wake maalumu wa “shule yetu” ambapo Mkuu wa wilaya ya...
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Serikali yaipongeza Tusiime kuingia kumi bora kitaifa
SERIKALI imeipongeza shule ya Tusiime kwa kuwa shule pekee kutoka Mkoa wa Dar es salaam iliyoingia kwenye kumi bora kitaifa na kufaulisha wafunzi wote 168 kwa alama A na kuongoza katika mkoa...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-of7St1boY8c/VHQCUAg0cNI/AAAAAAACvSE/JvWHUC8YRMU/s1600/unnamed.jpg)
SERIKALI YAIPONGEZA TPHA KATIKA SEKTA YA AFYA NCHINI