Serikali yaipongeza Airtel kwa kuchangia maendeleo ya elimu

Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela aliwashukuru Airtel kwa msaada wa vitabu kwa shule ya sekondari ya Naura na kusema kuwa licha ya kuwa ni jukumu la Serikali kutoa vitabu kwa shule lakini imekuwa ikizidiwa na majukumu mengi hivyo kwa msaada huo Airtel wanapaswa kupongezwa kwa kutimiza wajibu wao kwa jamii.
Kauli hiyo imetolewa wakati Airtel ilipotoa msaada wa vitabu kwa Shule ya sekondari ya Naura mkoani Arusha chini ya mpango wake maalumu wa “shule yetu” ambapo Mkuu wa wilaya ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 Oct
Maendeleo duni ya elimu Jamii yadaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa
Sekta ya elimu wilayani Geita inakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazorudisha nyuma maendeleo ya sekta jamii ikidaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya kutokuwa na utayari wa kushirikiana na Serikali kuondoa mapungufu yaliyoko ndani ya uwezo wao.
Utafiti uliofanywa na shirika la Nelico kwa ufadhili wa Pestalozzi Children’s Foundation imebaini mazingira yasiyo rafiki kama ubovu wa miundombinu, ukosefu wa vyoo bora na upungufu wa madawati na vyoo bado kikwazo kikubwa ambacho...
10 years ago
GPL
WAFANYAKAZI WA AIRTEL WAENDELEA KUCHANGIA MAENDELEO
11 years ago
GPL
JAMII YAASWA KUCHANGIA MAENDELEO YA ELIMU
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
SMZ yaipongeza UN kwa kuwezesha fursa za kupunguza umaskini na kuinua maendeleo visiwani humo
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo (kulia) na Mkuu wa ofisi ndogo ya Umoja wa Mataifa Zanzibar, Anna Senga (katikati) wakimkaribisha mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe za kutimiza miaka 70 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa iliyofanyika katika Hoteli ya Serena Shangani Mjini Zanzibar mwishoni mwa wiki.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
SERIKALI ya mapinduzi Zanzibar imesema kuwa itaendelea kuthamini...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
VIDEO: Mhe.Saada Mkuya awataka wananchi kushirikiana na serikali katika kuchangia maendeleo ya nchi kupitia ulipaji wa kodi
Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya akizungumza leo Bungeni mjini Dodoma.
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAPEWA TUZO KWA KUCHANGIA MAENDELEO YA MKOA WA MOROGORO
5 years ago
Michuzi
SERIKALI YAIPONGEZA TTCL KWA GHARAMA NAFUU ZA MAWASILIANO

10 years ago
Michuzi.jpg)
Serikali yaipongeza Vodacom kwa kuanzisha huduma ya Kilimo Klub
5 years ago
Michuzi
Serikali Yaipongeza Benki Ya Exim Kwa Kuwalinda Wateja Na Athari Za Covid 19