WAFANYAKAZI WA AIRTEL WAENDELEA KUCHANGIA MAENDELEO
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/13-1024x664.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso akishiriki kupaka rangi katika darasa la Chekechea linalokarabatiwa kwa hisani ya Wafanyakazi wa Airtel kama sehemu ya huduma kwa jamii, katika Shule ya Msingi Kumbu Kumbu iliyopo Block 41, jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (kulia) ni Mwalimu wa Shule hiyo, Flossy Mbwilo. Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso akishiriki kupaka rangi katika...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8KWTGR51cxk/UzPoEUMZhAI/AAAAAAAFWvk/nIhgRvADUg4/s72-c/20140217_113746.jpg)
Serikali yaipongeza Airtel kwa kuchangia maendeleo ya elimu
Kauli hiyo imetolewa wakati Airtel ilipotoa msaada wa vitabu kwa Shule ya sekondari ya Naura mkoani Arusha chini ya mpango wake maalumu wa “shule yetu” ambapo Mkuu wa wilaya ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PGrXUed9NUk/VgU0dMUOe2I/AAAAAAAAZrU/f0_Yb84pYY8/s72-c/b1.jpg)
PPF YAVUNA WANACHAMA WAPYA KWENYE WIKI YA WAFANYAKAZI WA AIRTEL, (AIRTEL HR WEEK)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGrXUed9NUk/VgU0dMUOe2I/AAAAAAAAZrU/f0_Yb84pYY8/s640/b1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qHhYVQDl96c/VgU0eEKlQ3I/AAAAAAAAZrc/tdQvzfMqIfY/s640/b2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a14jvnl3juU/VgU0enUEksI/AAAAAAAAZrg/8AlpXCdUsQ8/s640/b3.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 May
Wafanyakazi Muhimbili walazimika kuchangia damu
TUNU NASSOR NA MWANTUMU SAADI,
DAR ES SALAAM
KUTOKANA na uhaba wa damu ulioikumba Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa, wamelazimika kuchangia damu kunusuru maisha ya wagonjwa .
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa hospitali hiyo, Aminieli Aligaesha, alisema wamelazimika kutumia wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa kama chanzo cha ndani na kwa siku ya jana...
11 years ago
Habarileo30 Apr
Wafanyakazi Strabag waendelea kugoma
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya ujenzi ya Strabag, wameingia siku ya pili ya mgomo wao huku wakishinikiza kulipwa marupurupu mbalimbali, wanayoyadai kwa zaidi ya miezi saba hadi sasa. Awali, wakizungumza nje ya ofisi za kampuni hiyo zilizopo Ubungo jijini Dar es Salaam juzi, wafanyakazi hao wanaojenga barabara za mabasi yaendayo kasi chini ya Mradi wa DART, walisema walifikia hatua ya kugoma kwa madai ya kuona wanazungushwa kupewa marupurupu hayo huku wakihofu muda uliobaki kwa kampuni hiyo kabla...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Wafanyakazi wa Strabag waendelea na mgomo
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Watakiwa kuchangia maendeleo yao
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycTmep8PGjb61Pa7kN7XFGCWGLWn*cydTAFV0EGPe6SnOSrnEXR*WrqlQI3p0KvO5jrnxfWRxNRgo2Ga0AfgmnYM/1CBE1.jpg?width=650)
JAMII YAASWA KUCHANGIA MAENDELEO YA ELIMU
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wafanyakazi wa TBL Group washiriki matembezi ya kuchangia ununuzi wa madawati
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akiongoza matembezi hayo yaliyoandaliwa kwa ajili ya kununua madawati.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya TBL Group wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi Rais mstaafu wa Tanzania Mh.Ali Hassan Mwinyi , baada ya kumalizika kwa matembezi ya hisani yalioandaliwa na taasisi ya Hassan Maajar Trust kwa ajili ya kuchangisha fedha za kununulia madawati kwa wanafunzi wa shule za msingi Maji Matitu iliyopo Mbagala wilayani Temeke,Matembezi hayo yalifanyika jijini Dar es...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Utalii wa chakula unaweza kuchangia maendeleo ya uchumi