PPF YAVUNA WANACHAMA WAPYA KWENYE WIKI YA WAFANYAKAZI WA AIRTEL, (AIRTEL HR WEEK)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGrXUed9NUk/VgU0dMUOe2I/AAAAAAAAZrU/f0_Yb84pYY8/s72-c/b1.jpg)
Mfanyaakzi wa Airtel, (kulia), akijaza fomu ya kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari (Wote Scheme), wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakati wa ufunguzi wa wiki ya Wafanyakazi wa Airtel, makao makuu ya kampuni hiyo ya simu za mikononi, jijini Dar es Salaam, Septemba 26, 2015.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qHhYVQDl96c/VgU0eEKlQ3I/AAAAAAAAZrc/tdQvzfMqIfY/s640/b2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a14jvnl3juU/VgU0enUEksI/AAAAAAAAZrg/8AlpXCdUsQ8/s640/b3.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZlqwxGbblg/VN3D1uSfMDI/AAAAAAAHDeU/WvKd9Og2FpQ/s72-c/Pic%2B1.jpg)
Airtel Yatangaza kufanya droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kuitambulisha promosheni ya Airtel yatosha zaidi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma, kwenye hoteli ya Dodoma, Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde alisema” kama ilivyo kawaida tunazunguka katika mikoa mbalimbali kutoa elimu juu ya huduma na bidhaa zetu pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rKAdjkzzQWY/VJlIG6-Ue1I/AAAAAAAG5X8/azkcDGLiqWk/s72-c/pic3.jpg)
Airtel yatangaza kumi bora wa wiki wa shindano la Airtel Trace Music Stars
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKAdjkzzQWY/VJlIG6-Ue1I/AAAAAAAG5X8/azkcDGLiqWk/s1600/pic3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w-dHSgYd9_s/VJlIFsZlDOI/AAAAAAAG5Xw/zUwRmU40tlo/s1600/pic%2B1.jpg)
11 years ago
GPLAIRTEL KUBORESHA MITAMBO YA HUDUMA YA AIRTEL MONEY MWISHONI MWA WIKI HII
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Airtel yachezesha droo ya wiki ya 3 ya Promosheni ya Airtel Mkwanjikaâ€
Afisa Masoko ya Airtel bi Rebecca Mauma (katika) akiponyeza kitufe cha kutafuta washindi wa droo ya wiki ya tatu ya promosheni ya Airtel Mkwanjika wakati wa kucheza droo hiyo iliyofanyika katika katika ofisi za Airtel Makao makuu morocco jijini Dar es salaam. Wakishuhudia ni mwakilishi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Bwana Bakari Maggid (kushoto) na Msimamizi wa kipindi cha Tv cha promosheni ya Airtel mkwanjika Abdalah Wambua (kulia)
Msimamizi wa kipindi cha Tv cha promosheni ya Airtel...
11 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZ.......:Airtel kuboresha mitambo ya huduma ya Airtel money mwishoni mwa wiki hii
Maboresho...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEU39buL2S2*WihTRsfXKcuNT97oyR5HUKBB84pPL*hFTmV93I0*mG91RQGf9MCHoRpE0IgZaQ7TiL9zhan7GdTL/DSC_6938.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA WIKI YA RASILIMALI WATU KWA WAFANYAKAZI WAKE
10 years ago
Mwananchi23 Apr
ACT yavuna wanachama wapya 6,000
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Chawamamu yavuna wanachama wapya 414
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
CCM yavuna wanachama wapya Kibao Kasulu
-Zaidi ya watu 700 wajiunga na CCM akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF Kata ya Rungwe mpya.
-Asema mtaji wa vyama vya Upinzani ni matatizo ya wananchi na hawasaidii katika kuyatatua badala yake wanataka wananchi waendelee kuumia ili wao wajijenge kisiasa .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Nyenge kata ya Kurugongo wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma ikiwa sehemu ya ziara yake mkoani humo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DO2tbAowq-Q/U0V9mcV0UeI/AAAAAAAANAo/ML_rKEWScLc/s1600/3.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum Ndugu Josephine Gezabuke akihutubia...