BREAKING NYUZZZZZZ.......:Airtel kuboresha mitambo ya huduma ya Airtel money mwishoni mwa wiki hii
Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza kwa kutoa huduma za kibunifu na zenye ubora nchini iko katika mchakato wa kuboresha mitambo ya huduma ya Airtel money na kuifanya kuwa ya kisasa zaidi. Mabadiliko haya yatafanyika mwishoni mwa wiki hii tarehe 7 hadi 9 februari 2014 ambapo baada ya maboresho hayo wateja wa Airtel Money watafurahia ufanisi bora wa mtambo wa Airtel money wakati wowote watakapotaka kufanya malipo mbalimbali kwa kupitia huduma za kifedha za simu za mkononi.
Maboresho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAIRTEL KUBORESHA MITAMBO YA HUDUMA YA AIRTEL MONEY MWISHONI MWA WIKI HII
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m2dop3vQlLmRrsOerQTtF4EZhtP*mW9MjxFbCVDymGXGbas8aviyS49*q85FmoX7vU1QZMZp6qUxIBMXN0UV08CJeFRK*nOw/pic8.jpg?width=750)
AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MTWARA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gJ55FVSXTh8/VOIHCVxB12I/AAAAAAAHEBk/bOFQeTaf9ys/s72-c/pic%2B8.jpg)
AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MKOANI MTWARA MWISHONI MWA WIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gJ55FVSXTh8/VOIHCVxB12I/AAAAAAAHEBk/bOFQeTaf9ys/s1600/pic%2B8.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh, Wilman Kapenjama akikabidi funguo ya gari kwa Mshindi wa Promosheni Airtel yatosha Zaidi mkoani Mtwara bw, Sefu Namtapika (60) ambae ni mwalimu mstaafu aliyeibuka na ushindi wa Toyota IST kupitia droo ya kwanza ya promosheni Yatosha zaidi inayoendesha na Airtel. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni toka kushoto nyuma ni Meneja mauzo wa Airtel mkoa wa Mtwara Bw, Batlomeo Masatu, Afisa Masoko wa Airtel Bi Aminata Keita, na Meneja Biashara wa kanda ya Pwani Bw Albert...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZGyqJpi*tUj-gV3zObz9dqUt5eadYNsHwegY5-LGqTnL-IfAvHmdOIvtUilj2JcAj2BNelblsIu-4E4lPA*RPZ/1.jpg?width=650)
WATEJA WA AIRTEL KULIPA MIKOPO YA MASOMO KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bWMaRLvxNhE/UzVwGnKqCNI/AAAAAAAFW-E/jDepWX5RxQA/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Wateja wa Airtel kulipa mikopo ya masomo kupitia huduma ya Airtel Money
![](http://4.bp.blogspot.com/-bWMaRLvxNhE/UzVwGnKqCNI/AAAAAAAFW-E/jDepWX5RxQA/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bQawozy3TjQ/UzVwImpeqrI/AAAAAAAFW-I/-4cSLuLPBc0/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PFkGXzvV6ok/VF93IUAlDCI/AAAAAAACuco/epVvEyPYtpM/s72-c/PROF.%2BMBARAWA-5.jpg)
AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MPYA YA AIRTEL MONEY TIMIZA MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-PFkGXzvV6ok/VF93IUAlDCI/AAAAAAACuco/epVvEyPYtpM/s1600/PROF.%2BMBARAWA-5.jpg)
11 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA LUKU OFA KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GRl8MekOaxg/U2iP8SLNY0I/AAAAAAAFf0g/kexVVesgQXg/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Airtel Yazindua LUKU OFA kupitia huduma ya Airtel Money
![](http://1.bp.blogspot.com/-GRl8MekOaxg/U2iP8SLNY0I/AAAAAAAFf0g/kexVVesgQXg/s1600/unnamed+(5).jpg)
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua ofa mpya itakayowawezesha wateja wake kupata LUKU Bonus kila wakati watakaponunua LUKU kupita huduma Airtel Money. ofi hii ni mwendelezo wa dhamira ya Airtel katika kuhakikisha wateja wake wanapata huduma bora nchini.
Akiongea kuhusu ofaa hii Meneja wa kitengo...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-PFkGXzvV6ok/VF93IUAlDCI/AAAAAAACuco/epVvEyPYtpM/s1600/PROF.%2BMBARAWA-5.jpg)
AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MPYA YA AIRTEL MONEY TIMIZA MJINI DODOMA