AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MKOANI MTWARA MWISHONI MWA WIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gJ55FVSXTh8/VOIHCVxB12I/AAAAAAAHEBk/bOFQeTaf9ys/s72-c/pic%2B8.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh, Wilman Kapenjama akikabidi funguo ya gari kwa Mshindi wa Promosheni Airtel yatosha Zaidi mkoani Mtwara bw, Sefu Namtapika (60) ambae ni mwalimu mstaafu aliyeibuka na ushindi wa Toyota IST kupitia droo ya kwanza ya promosheni Yatosha zaidi inayoendesha na Airtel. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni toka kushoto nyuma ni Meneja mauzo wa Airtel mkoa wa Mtwara Bw, Batlomeo Masatu, Afisa Masoko wa Airtel Bi Aminata Keita, na Meneja Biashara wa kanda ya Pwani Bw Albert...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m2dop3vQlLmRrsOerQTtF4EZhtP*mW9MjxFbCVDymGXGbas8aviyS49*q85FmoX7vU1QZMZp6qUxIBMXN0UV08CJeFRK*nOw/pic8.jpg?width=750)
AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MTWARA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rh7DNKryBzw/VOhA8agUBaI/AAAAAAAHE5E/EglDLXGHMqw/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi
11 years ago
GPLAIRTEL KUBORESHA MITAMBO YA HUDUMA YA AIRTEL MONEY MWISHONI MWA WIKI HII
11 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZ.......:Airtel kuboresha mitambo ya huduma ya Airtel money mwishoni mwa wiki hii
Maboresho...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZlqwxGbblg/VN3D1uSfMDI/AAAAAAAHDeU/WvKd9Og2FpQ/s72-c/Pic%2B1.jpg)
Airtel Yatangaza kufanya droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kuitambulisha promosheni ya Airtel yatosha zaidi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma, kwenye hoteli ya Dodoma, Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde alisema” kama ilivyo kawaida tunazunguka katika mikoa mbalimbali kutoa elimu juu ya huduma na bidhaa zetu pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FxVhj34_H-4/VM9gWf6dIVI/AAAAAAAAps8/VbRhlCJf49k/s72-c/DSCF2650.jpg)
Airtel yaja na Promosheni Mpya ya "shinda gari na Yatosha Zaidi"
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxVhj34_H-4/VM9gWf6dIVI/AAAAAAAAps8/VbRhlCJf49k/s1600/DSCF2650.jpg)
10 years ago
GPL‘AIRTEL YATOSHA ZAIDI’ YAZINDULIWA, WATEJA KUONDOKA NA GARI
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Hii ni zaidi ya burudani ya Tamasha la Tigo Welcome Pack wilayani Kahama mwishoni mwa wiki
Msanii wa vichekesho Lucas Mhavile a.k.a Joti akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa vichekesho Masanja akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa vichekesho mpoki akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.
Msanii wa Bongo fleva Mwana FA akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_zhRquDgj20/VNoYUkCPs7I/AAAAAAAHC1s/CC2bDSkuvfU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Airtel yazindua promosheni ya Airtel yatosha Zaidi kwa Wakazi wa Mwaza
![](http://4.bp.blogspot.com/-_zhRquDgj20/VNoYUkCPs7I/AAAAAAAHC1s/CC2bDSkuvfU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZTQ5pRHGofs/VNoYUqZmxMI/AAAAAAAHC1o/9vPpAM0JGkI/s1600/unnamed%2B(12).jpg)