Airtel yazindua promosheni ya Airtel yatosha Zaidi kwa Wakazi wa Mwaza
![](http://4.bp.blogspot.com/-_zhRquDgj20/VNoYUkCPs7I/AAAAAAAHC1s/CC2bDSkuvfU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akiongea na waandishi wa habari ( pichani hawapo) wakati wa kuzindua promosheni ya Airtel yatosha Zaidi jijini Mwanza, Promosheni ya Airtel yatosha inawawezesha wateja wa Airtel kujishindia gari Aina ya Toyota IST moja kila siku. kushoto Afisa Masoko wa Airtel Rebecca Mauma na Kulia ni Afisa Mauzo kanda ya Ziwa Emmanuel Raphael.
Afisa Masoko wa Airtel Rebecca Mauma (kushoto) akifafanua jambo wakati wa kuzindua promosheni ya Airtel yatosha Zaidi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WhPt3Rmv9Fc/VNXm8-7oXEI/AAAAAAAHCU8/-qJhl89kR4o/s72-c/Picture%2B1.jpg)
Airtel yaitambulisha promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi kwa wakazi wa Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-WhPt3Rmv9Fc/VNXm8-7oXEI/AAAAAAAHCU8/-qJhl89kR4o/s1600/Picture%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jUmg1SnCuAg/VNXm8wGNTjI/AAAAAAAHCVE/3QmmbXZg-ew/s1600/Picture%2B2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa6nLU6D1zO6s1aydvigh7pCMMMcfSJbUKfSBZLmlnI*hcaR9vGQm8kGJBHfIv7HBAhraOTOw-F*xmLEZrqRk3d9/Picture1.jpg?width=750)
AIRTEL YAITAMBULISHA PROMOSHENI YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI KWA WAKAZI WA ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZlqwxGbblg/VN3D1uSfMDI/AAAAAAAHDeU/WvKd9Og2FpQ/s72-c/Pic%2B1.jpg)
Airtel Yatangaza kufanya droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kuitambulisha promosheni ya Airtel yatosha zaidi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma, kwenye hoteli ya Dodoma, Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde alisema” kama ilivyo kawaida tunazunguka katika mikoa mbalimbali kutoa elimu juu ya huduma na bidhaa zetu pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FxVhj34_H-4/VM9gWf6dIVI/AAAAAAAAps8/VbRhlCJf49k/s72-c/DSCF2650.jpg)
Airtel yaja na Promosheni Mpya ya "shinda gari na Yatosha Zaidi"
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxVhj34_H-4/VM9gWf6dIVI/AAAAAAAAps8/VbRhlCJf49k/s1600/DSCF2650.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rh7DNKryBzw/VOhA8agUBaI/AAAAAAAHE5E/EglDLXGHMqw/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gJ55FVSXTh8/VOIHCVxB12I/AAAAAAAHEBk/bOFQeTaf9ys/s72-c/pic%2B8.jpg)
AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MKOANI MTWARA MWISHONI MWA WIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gJ55FVSXTh8/VOIHCVxB12I/AAAAAAAHEBk/bOFQeTaf9ys/s1600/pic%2B8.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh, Wilman Kapenjama akikabidi funguo ya gari kwa Mshindi wa Promosheni Airtel yatosha Zaidi mkoani Mtwara bw, Sefu Namtapika (60) ambae ni mwalimu mstaafu aliyeibuka na ushindi wa Toyota IST kupitia droo ya kwanza ya promosheni Yatosha zaidi inayoendesha na Airtel. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni toka kushoto nyuma ni Meneja mauzo wa Airtel mkoa wa Mtwara Bw, Batlomeo Masatu, Afisa Masoko wa Airtel Bi Aminata Keita, na Meneja Biashara wa kanda ya Pwani Bw Albert...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m2dop3vQlLmRrsOerQTtF4EZhtP*mW9MjxFbCVDymGXGbas8aviyS49*q85FmoX7vU1QZMZp6qUxIBMXN0UV08CJeFRK*nOw/pic8.jpg?width=750)
AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MTWARA MWISHONI MWA WIKI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zRzMMvsiVmc/VgK2Qa-DElI/AAAAAAAAucc/bcwhW3I4Yvo/s72-c/1A%2B%25281%2529.jpg)
AIRTEL YAZINDUA KIFURUSHI CHA “YATOSHA NYTS” BILA KIKOMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-zRzMMvsiVmc/VgK2Qa-DElI/AAAAAAAAucc/bcwhW3I4Yvo/s640/1A%2B%25281%2529.jpg)
kifurushi cha ‘Yatosha Nyts’ itakayomwezesha mteja kupiga simu Airtel
kwenda Airtel na kutuma ujumbe mfupi (SMS) bila kikomo pamoja na
kupata kifurushi cha internet cha MB 10 kwa kiwango cha shilingi 300
tu. Kushoto ni Afisa Uhusiano na Matukio wa Airtel, Dangio Kaniki.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8NN4IHGwpTM/VgK2PqS5OyI/AAAAAAAAucY/ODzO5DJVytI/s640/1A%2B%25286%2529.jpg)