AIRTEL YAITAMBULISHA PROMOSHENI YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI KWA WAKAZI WA ARUSHA
![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa6nLU6D1zO6s1aydvigh7pCMMMcfSJbUKfSBZLmlnI*hcaR9vGQm8kGJBHfIv7HBAhraOTOw-F*xmLEZrqRk3d9/Picture1.jpg?width=750)
 Meneja Mauzo kanda ya kaskazini Bwana Brighton Majwala akiongea na waandishi wa habari wakati wa kuitambulisha promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi Mkoani Arusha , wakishuhudia (katika) Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde akifatiwa na Afisa Masoko wa Airtel Bi Rebecca Mauma  Meneja Mauzo kanda…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WhPt3Rmv9Fc/VNXm8-7oXEI/AAAAAAAHCU8/-qJhl89kR4o/s72-c/Picture%2B1.jpg)
Airtel yaitambulisha promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi kwa wakazi wa Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-WhPt3Rmv9Fc/VNXm8-7oXEI/AAAAAAAHCU8/-qJhl89kR4o/s1600/Picture%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jUmg1SnCuAg/VNXm8wGNTjI/AAAAAAAHCVE/3QmmbXZg-ew/s1600/Picture%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_zhRquDgj20/VNoYUkCPs7I/AAAAAAAHC1s/CC2bDSkuvfU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Airtel yazindua promosheni ya Airtel yatosha Zaidi kwa Wakazi wa Mwaza
![](http://4.bp.blogspot.com/-_zhRquDgj20/VNoYUkCPs7I/AAAAAAAHC1s/CC2bDSkuvfU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZTQ5pRHGofs/VNoYUqZmxMI/AAAAAAAHC1o/9vPpAM0JGkI/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZlqwxGbblg/VN3D1uSfMDI/AAAAAAAHDeU/WvKd9Og2FpQ/s72-c/Pic%2B1.jpg)
Airtel Yatangaza kufanya droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo itafanya droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi ambapo washindi 7 wa gari aina ya Toyota IST watapatikana na kutangazwa
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kuitambulisha promosheni ya Airtel yatosha zaidi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma, kwenye hoteli ya Dodoma, Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde alisema” kama ilivyo kawaida tunazunguka katika mikoa mbalimbali kutoa elimu juu ya huduma na bidhaa zetu pamoja...
Akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kuitambulisha promosheni ya Airtel yatosha zaidi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma, kwenye hoteli ya Dodoma, Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde alisema” kama ilivyo kawaida tunazunguka katika mikoa mbalimbali kutoa elimu juu ya huduma na bidhaa zetu pamoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FxVhj34_H-4/VM9gWf6dIVI/AAAAAAAAps8/VbRhlCJf49k/s72-c/DSCF2650.jpg)
Airtel yaja na Promosheni Mpya ya "shinda gari na Yatosha Zaidi"
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxVhj34_H-4/VM9gWf6dIVI/AAAAAAAAps8/VbRhlCJf49k/s1600/DSCF2650.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m2dop3vQlLmRrsOerQTtF4EZhtP*mW9MjxFbCVDymGXGbas8aviyS49*q85FmoX7vU1QZMZp6qUxIBMXN0UV08CJeFRK*nOw/pic8.jpg?width=750)
AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MTWARA MWISHONI MWA WIKI
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh, Wilman Kapenjama akikabidi funguo ya gari kwa Mshindi wa Promosheni Airtel yatosha Zaidi mkoani Mtwara bw, Sefu Namtapika (60) ambae ni mwalimu mstaafu aliyeibuka na ushindi wa Toyota IST kupitia droo ya kwanza ya promosheni Yatosha zaidi inayoendesha na Airtel. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni toka kushoto nyuma ni Meneja mauzo wa Airtel mkoa wa Mtwara Bw, Batlomeo Masatu, Afisa Masoko wa Airtel...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rh7DNKryBzw/VOhA8agUBaI/AAAAAAAHE5E/EglDLXGHMqw/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Airtel yamkabithi Mkazi wa Kyela Mbeya Bwana Edom Mwansasu gari Lake Baada ya kuibuka kuwa moja kati ya washindi wa wiki ya pili ya Airtel Yatosha Zaidi
Mkaazi wa Kyela mkoani Mbeya Bwana Edom Dickson Mwansasu amekabithiwa gari aina ya Toyota IST na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel mara baada ya kuibuka mshindi kupitia droo ya wiki ya pili ya promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi iliyofanyika siku ya ijumaa iliyopita Bwana Edom Mwansasu mwenye umri wa miaka 40 anajishughulisha na shughuli za kilimo huko Ngonga Kyela Mkoani Mbeya ameibuka mshindi baada ya kununua na kujiunga na vifurushi vya siku vya huduma ya Airtel yatosha kila...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gJ55FVSXTh8/VOIHCVxB12I/AAAAAAAHEBk/bOFQeTaf9ys/s72-c/pic%2B8.jpg)
AIRTEL YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA YATOSHA ZAIDI MKOANI MTWARA MWISHONI MWA WIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gJ55FVSXTh8/VOIHCVxB12I/AAAAAAAHEBk/bOFQeTaf9ys/s1600/pic%2B8.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mh, Wilman Kapenjama akikabidi funguo ya gari kwa Mshindi wa Promosheni Airtel yatosha Zaidi mkoani Mtwara bw, Sefu Namtapika (60) ambae ni mwalimu mstaafu aliyeibuka na ushindi wa Toyota IST kupitia droo ya kwanza ya promosheni Yatosha zaidi inayoendesha na Airtel. Wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni toka kushoto nyuma ni Meneja mauzo wa Airtel mkoa wa Mtwara Bw, Batlomeo Masatu, Afisa Masoko wa Airtel Bi Aminata Keita, na Meneja Biashara wa kanda ya Pwani Bw Albert...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJ6dVVgy*GUDelfnLEUnCS0Dk-thDFWC0F5zps4Di7fi09i39DqW5BJlnqM-mef8ZDBtN8SmE*0d3fuygIu*F1T/IMG_6234.jpg?width=750)
WASHINDI AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI
Mkurugenzi wa masoko wa Airtel bw. Levi Nyakundi (kushoto) akimkabidhi mmoja kati ya washindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu Omary jana katika makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel Tanzania. Anayeshuhudia (katikati) Mkurugenzi wa wa kitengo cha Mawasiliano bi Beatrice Singano Mallaya . Airtel imekabidhi magari matatu katika hafla hiyo. Mshindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IbcYGNPVoMM/VNhcTsnjiqI/AAAAAAAHChw/iYqQWB2-ZpE/s72-c/2.jpg)
MKULIMA, MWALIMU WASHINDA MAGARI YA AIRTEL YATOSHA ZAIDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-IbcYGNPVoMM/VNhcTsnjiqI/AAAAAAAHChw/iYqQWB2-ZpE/s1600/2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania