Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watakiwa kuchangia maendeleo yao

Dar es Salaam.  Naibu Waziri Wanawake, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu amewataka wananchi kujitolea kuchangia huduma za jamii ili kujiletea maendeleo yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

VIJANA WATAKIWA KUJITUMA NA KUFANYA KAZI KWA KWA MAENDELEO YAO

Ndugu Elly David Akitoa Mada Kuhusu Vijana kujituma na kufanya kazi kwa Bidii Kwa maendeleo ya taifa.Mtoa Mada huyo amesema kutokana na Ukosefu wa ajira hususani kwa vijana ni vyeme vijana kujituma na kuwa wabunifu na waweze kujiajiri kwa lengo la Kupambana katika Maisha.Katika Kongamano hilo la Vijana lililofanyika Jijini dar es salaam Liliwapa Fursa vijana kueleza Changamoto zinazowakabili na namna ya Kuzikabili.Kongamano hilo lililoandaliwa na Elly David mara baada ya ya kuona changamoto...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi watakiwa kujitokeza kuchangia damu

WANANCHI wa Mkoa wa Morogoro wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuchangia damu kwa hiari katika maadhimisho ya Wiki ya Damu, ikiwa ni utekelezaji wa mpango wa taifa wa damu salama. Wito...

 

9 years ago

Michuzi

WATAKIWA KUCHANGIA UJENZI WODI YA AKINAMAMA

Mgombea Ubunge kushoto Ridhiwani Kikwete akimkabidhi ilani ya uchaguzi ya CCM mgombea udiwani wa kata ya Kimange wakati wa uzinduzi wa kampeni za udiwani kwenye kata hiyo katika Kijiji cha Pongwekiona 
Na John Gagarini, ChalinzeWAKAZI wa Kijiji cha Pongwe Kiona Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo wametakiwa kushirikiana na serikali ili kukamilisha ujenzi wa wodi ya akinamama.
Hayo yalisemwa na mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwani Kikwete kwenye Kijiji hicho wakati wa uzinduzi...

 

9 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA AIRTEL WAENDELEA KUCHANGIA MAENDELEO

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso akishiriki kupaka rangi katika darasa la Chekechea linalokarabatiwa kwa hisani ya Wafanyakazi wa Airtel kama sehemu ya huduma kwa jamii, katika Shule ya Msingi Kumbu Kumbu iliyopo Block 41, jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia (kulia) ni Mwalimu wa Shule hiyo, Flossy Mbwilo. Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso akishiriki kupaka rangi katika...

 

10 years ago

GPL

JAMII YAASWA KUCHANGIA MAENDELEO YA ELIMU

Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es Salaam (CBE) Prof. Emmanuel Mjema akizungumza wakati wa hafla ya kuwakaribisha waliokuwa wanafunzi wa chuo hicho waliohitimu miaka iliyopita wakati wa mwendelezo wa shughuli mbalimbali za chuo hicho kutimiza miaka 50.…

 

11 years ago

Mwananchi

Utalii wa chakula unaweza kuchangia maendeleo ya uchumi

Tatizo la Watanzania wengi ni kuwa wana uelewa mdogo kuhusu dhana ya utalii. Wengi wanafikiri utalii ni kwenda mbuga za wanyama na kutembelea magofu tu.

 

10 years ago

Michuzi

WADAU WATAKIWA KUCHANGIA MKUTANO WA CILT WA BARA LA AFRICA UTAKAOFANYIKA ARUSHA


Mkuu wa chuo cha Admin and logistic JWTZ pangani marofu BRIGEDIER HARISON MASEBO ambaye ndiyr makamu mwenyekiti wa kamati ya maandlizi ya mkutano huo utakao fanyika jijini arusha akizngumza na wanahabari leo kuhusu mkutano huo na maandalizi yake yalipofikia



NA EXAUD MTEI
 Wadau mbalimbali wa maswala ya usafirishaji,uchukuzi  na watanzania kwa ujumla wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kusaidia kuchangia katika mkutano ulioandaliwa na CILT (the charted institute of logistics and transport)...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yaipongeza Airtel kwa kuchangia maendeleo ya elimu

Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela aliwashukuru Airtel kwa msaada wa vitabu kwa shule ya sekondari ya Naura na kusema kuwa licha ya kuwa ni jukumu la Serikali kutoa vitabu kwa shule lakini imekuwa ikizidiwa na majukumu mengi hivyo kwa msaada huo Airtel wanapaswa kupongezwa kwa kutimiza wajibu wao kwa jamii.
Kauli hiyo imetolewa wakati Airtel ilipotoa msaada wa vitabu kwa Shule ya sekondari ya Naura mkoani Arusha chini ya mpango wake maalumu wa “shule yetu” ambapo Mkuu wa wilaya ya...

 

5 years ago

Michuzi

MGUMBA AWATAKA WANANCHI KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO MOROGORO



 Naibu Waziri Wa Kilimo, Ambaye Pia Ni Mbunge Wa Morogoro Kusini Mashariki Mhe Omary Tebweta Mgumba,Akiongea Na Viongozi Pamoja Na Wananchi Wa Kijiji Mfumbwe Akiwa Katika Ziara Yake Ya Kukagua Miradi Ya Maendeleo Katika Kata Ya Mkuyuni Halmashari Ya Morogoro Vijijini. .Wananchi Wa Kijiji Cha Kibwaya Kata Ya Mkuyuni Halmashauri Ya Morogoro ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani