SHIWATA yaipongeza Serikali kutambua kijiji chao Mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-dQDwKBPrnYk/U9N0TbwqRnI/AAAAAAAF6gg/e1Hi1Xvatx4/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Mkuranga
SERIKALI imepongezwa kwa kutambua juhudi zinazofanywa na wasanii, wanamichezo na waandishi wa habari za kujenga nyumba za makazi katika kijiji cha Mwanzega Mkuranga ambapo Mwenge wa Uhuru ulifika na kuweka jiwe la msingi Julai 22 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA),Cassim Taalib katika risala aliyosoma mbele ya Kiongozi wa Mwenge kitaifa, Rachael Kassanda alisema Serikali kukitambua kijiji hicho kumeongeza ari ya wasanii kujenga nyumba za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHIWATA yakabidhi nyumba 16 Mkuranga
Na Peter Mwenda
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) imegawa nyumba nyingine 16 kwa wanachama wake waliokamilisha ujenzi ambako mpaka ...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UFZdI4XZpT8/U8emlCXyO6I/AAAAAAAF3AQ/AH2Lb5Bo9Eo/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SHIWATA KUTOA VIWANJA BURE OFA YA MWENGE MKURANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UFZdI4XZpT8/U8emlCXyO6I/AAAAAAAF3AQ/AH2Lb5Bo9Eo/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
WILAYA ya Mkuranga imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib alisema jana kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katika kijiji cha Kiparang?anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA imetangaza ofa ya...
9 years ago
MichuziSHIWATA kugawa nyumba 14 Mkuranga, yampongeza Dkt. Magufuli kumteua Majaliwa Waziri Mkuu
Mwenyekiti wa SHIWATA,Cassim Taalib alisema jana Dar es Salaam jana kuwa mkutano huoutakaofanyika Ilala, Bungoni Dar es Salaam kuanzia saa 4 pia watatangazwa viongozi watakaoshika nafasi za uongozi zilizo wazi.
Nafasi za uongozi zilizo wazi ni Makamu Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na ...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s72-c/images.jpg)
mtandao wa wasanii tanzania (Shiwata) kugawa viwanja bure kwa wanachama wake mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s1600/images.jpg)
WILAYA ya Mkuranga katika mkoa wa Pwani imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib amesema
Bw. Taalib kasema kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katikia kijiji cha Kiparang’anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Wafugaji wapinga kijiji chao kubadilishwa
WAKAZI wa Kijiji cha Chamakweza Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, ambao wengi wao ni wafugaji wameweka kambi kwa muda usiojulikana wakipinga kijiji chao kuingizwa kwenye mipango mji. Wakizungumza kwa nyakati...
9 years ago
MichuziMAKALA KIJIJI CHA WASANII MKURANGA
Na Mwandishi WetuMIAKA 15...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hsZlXBiC-iw/VWNCgB8FmsI/AAAAAAAHZvw/m295-3X0mKg/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
CHANGIA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA MLAMLENI, MKURANGA, MKOA WA PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hsZlXBiC-iw/VWNCgB8FmsI/AAAAAAAHZvw/m295-3X0mKg/s640/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
Nyumba hii ya Ibada ama Msikiti huu Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala 5 kwa siku , Msikiti huu upo Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Mlamleni Kitongoji cha Kimbangulile. Wenzetu wameanza kwa Nguvu zao kwa Ujenzi wa Msikiti huu. Na Jitihada nyengine ni kuwa na Matofali yasiyo pungua 300 kwa Ajili ya kuanza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s72-c/4.jpg)
MICHANGO BADO YAHITAJIKA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA KIMBANGULILE MKURANGA PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AOHP80hrTZ0/VaZw1Sd_-RI/AAAAAAAAfRE/HVBs313oB0M/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-udTwNvoBskk/VaZwtyMGESI/AAAAAAAAfQ0/LDtaR956Vyg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wyqIn18Rwpk/VaZw0slLC8I/AAAAAAAAfQ8/JAvyl1wMz7g/s640/3.jpg)
TUNAMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa Pumzi anayo endelea kutupa.
Ufuatao ni Mrejesho wa Michango yenu ya Ujenzi wa Msikiti wa Masjid Fisabillah ya Mlamleni , Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Kimbangulile.
Ikumbukwe kupitia Blogs na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-09C2HfNa7MI/Vlrm4FwmOrI/AAAAAAAII_k/HbxChilFEjY/s72-c/8dd172c3-aef3-4cc7-a8d8-4b88f56ba413.jpg)
HATIMAYE MSIKITI WA KIJIJI CHA MLAMLENI WILAYA YA MKURANGA WAJENGWA UPYA KWA MSAADA WA WASAMARIA WEMA WA NDANIO NA NJE YA NCHI
Asalaam Alaykum Warahmatullahi wabarakatu, Alhamdulilah....
Kwa Niaba ya wakazi wa kijiji cha Mlamleni , kitongoji cha kimbangulie , wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani ninatoa shukran za dhati kwanza Ma Admin wote wa blogs mlioshirikiana nasi katika kulitangaza jambo hili la kheri.
Pili tunawashukuru wale wote wadau ambao wameshirikiana nasi kwa hali na mali katika Ujenzi wa Jengo hili la msikiti kutoka Nyasi Mpaka kuwa katika Muonekano mpya kama mnavyo ona katika...