SHIWATA KUTOA VIWANJA BURE OFA YA MWENGE MKURANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UFZdI4XZpT8/U8emlCXyO6I/AAAAAAAF3AQ/AH2Lb5Bo9Eo/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
Na Mwandishi Wetu
WILAYA ya Mkuranga imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib alisema jana kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katika kijiji cha Kiparang?anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA imetangaza ofa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s72-c/images.jpg)
mtandao wa wasanii tanzania (Shiwata) kugawa viwanja bure kwa wanachama wake mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-T2o2g096CnM/U8gAZcw-YdI/AAAAAAAF3I4/Sm--AWS95Ps/s1600/images.jpg)
WILAYA ya Mkuranga katika mkoa wa Pwani imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib amesema
Bw. Taalib kasema kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katikia kijiji cha Kiparang’anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA...
10 years ago
MichuziSHIWATA yakabidhi nyumba 16 Mkuranga
Na Peter Mwenda
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) imegawa nyumba nyingine 16 kwa wanachama wake waliokamilisha ujenzi ambako mpaka ...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dQDwKBPrnYk/U9N0TbwqRnI/AAAAAAAF6gg/e1Hi1Xvatx4/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SHIWATA yaipongeza Serikali kutambua kijiji chao Mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-dQDwKBPrnYk/U9N0TbwqRnI/AAAAAAAF6gg/e1Hi1Xvatx4/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SERIKALI imepongezwa kwa kutambua juhudi zinazofanywa na wasanii, wanamichezo na waandishi wa habari za kujenga nyumba za makazi katika kijiji cha Mwanzega Mkuranga ambapo Mwenge wa Uhuru ulifika na kuweka jiwe la msingi Julai 22 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA),Cassim Taalib katika risala aliyosoma mbele ya Kiongozi wa Mwenge kitaifa, Rachael Kassanda alisema Serikali kukitambua kijiji hicho kumeongeza ari ya wasanii kujenga nyumba za...
9 years ago
MichuziSHIWATA kugawa nyumba 14 Mkuranga, yampongeza Dkt. Magufuli kumteua Majaliwa Waziri Mkuu
Mwenyekiti wa SHIWATA,Cassim Taalib alisema jana Dar es Salaam jana kuwa mkutano huoutakaofanyika Ilala, Bungoni Dar es Salaam kuanzia saa 4 pia watatangazwa viongozi watakaoshika nafasi za uongozi zilizo wazi.
Nafasi za uongozi zilizo wazi ni Makamu Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pRFgwb713io/VRz3-mOmOXI/AAAAAAAHO4s/zjq2dTs5KDE/s72-c/1.jpg)
Airtel yazinduzia Ofa ya Internet BURE Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-pRFgwb713io/VRz3-mOmOXI/AAAAAAAHO4s/zjq2dTs5KDE/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q2v5aisMf9o/VRz4FbFd_WI/AAAAAAAHO40/ytAO8BpEzuk/s1600/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uDaOJoSRWv0/VkRA_vRMw8I/AAAAAAAIFYs/xVaLtHQ421M/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
Airtel yazindua ofa kabambe ya kutuma pesa bure
Ofa hii mpya ijulikanayo kama "Okoa Mapene'' ina lengo la kuinua huduma za kifedha na kuwapatia wateja njia rahisi ya kufanya miamala yao ya kila siku
Akiongea wakati wa uzinduzi, Meneja Uhusiano wa Airtel Bwn Jackson Mmbando alisema " kwa mara nyingine tena tunadhirisha kwa vitendo dhamira yetu ya kutoa huduma za...
10 years ago
MichuziBayport yasogeza mbele ofa ya viwanja vya mikopo Vikuruti
Bayport yasogeza mbele ofa ya viwanja vya mikopo VikurutiNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamTAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo imesogeza mbele huduma yao mpya ya mikopo ya viwanja vilivyopo Vikukuruti, wilayani Kibaha, mkoani Pwani kwa ajili ya kutoa fursa zaidi ya Watanzania kupata viwanja hivyo vilivyopimwa.
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI WILAYA YA MKURANGA NA KIBAHA KUPATA HUDUMA ZA MACHO BURE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GutZeHmFpMu8fCD9hvy5zBzGQ-r5uIvWdPuSSQaWbkBQ5DF4lpIwNoiniNvKiunymSME8eSW*8P3GDIcHucPLs-geeZ-brJd/01.jpg?width=750)
WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI WILAYA YA MKURANGA NA KIBAHA KUPATA HUDUMA ZA MACHO BURE