Airtel yazinduzia Ofa ya Internet BURE Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-pRFgwb713io/VRz3-mOmOXI/AAAAAAAHO4s/zjq2dTs5KDE/s72-c/1.jpg)
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kampeni kabambe ya Airtel inayotoa ofa ya intaneti bure ijulikanayo kama ‘Na Like asubuhi’, katika hafla iliyofanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel, Levi Nyakundi na (kulia) ni Meneja wa Kitengo cha Huduma za Intaneti, Gaurav Dhingra.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ILgcJss7GUI/VZaSMGp0CdI/AAAAAAAHmrc/a0KR3d77LFU/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Airtel yatangaza ofa kabambe - Nunua Airtel HOME Wi-Fi na upate nyingine ya BURE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ILgcJss7GUI/VZaSMGp0CdI/AAAAAAAHmrc/a0KR3d77LFU/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza ofa kabambe katika viwanja vya Sabasaba itakayomwezesha mteja kununua kifaa cha HOME Wi-Fi, chenye uwezo wa kuunganisha zaidi ya vifaa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPGdGb2B*ORfpY9sodoenjE0i*shYLPaKaJtffJhW8nzTkCCsDhiSMenjGVMnShB03MtxiBMWcoNf8TZlIFd6Wct/Picture1.jpg?width=650)
AIRTEL YATANGAZA OFA KABAMBE NUNUA AIRTEL HOME WI-FI NA UPATE NYINGINE YA BURE
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uDaOJoSRWv0/VkRA_vRMw8I/AAAAAAAIFYs/xVaLtHQ421M/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
Airtel yazindua ofa kabambe ya kutuma pesa bure
Ofa hii mpya ijulikanayo kama "Okoa Mapene'' ina lengo la kuinua huduma za kifedha na kuwapatia wateja njia rahisi ya kufanya miamala yao ya kila siku
Akiongea wakati wa uzinduzi, Meneja Uhusiano wa Airtel Bwn Jackson Mmbando alisema " kwa mara nyingine tena tunadhirisha kwa vitendo dhamira yetu ya kutoa huduma za...
11 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA LUKU OFA KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GRl8MekOaxg/U2iP8SLNY0I/AAAAAAAFf0g/kexVVesgQXg/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Airtel Yazindua LUKU OFA kupitia huduma ya Airtel Money
![](http://1.bp.blogspot.com/-GRl8MekOaxg/U2iP8SLNY0I/AAAAAAAFf0g/kexVVesgQXg/s1600/unnamed+(5).jpg)
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua ofa mpya itakayowawezesha wateja wake kupata LUKU Bonus kila wakati watakaponunua LUKU kupita huduma Airtel Money. ofi hii ni mwendelezo wa dhamira ya Airtel katika kuhakikisha wateja wake wanapata huduma bora nchini.
Akiongea kuhusu ofaa hii Meneja wa kitengo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kpD37olj0H0YosJysWaW*h1gbtHxkRwIeIXlKiBUO1wv7C311BBaMcu8QeAM2x9AEupsX6LaOgRwwGZCIWF*qfa7smbMFINR/AirtelLogo1.jpg?width=650)
AIRTEL KENYA YAJA NA OFA KABAMBE YA ONE AIRTEL
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UFZdI4XZpT8/U8emlCXyO6I/AAAAAAAF3AQ/AH2Lb5Bo9Eo/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SHIWATA KUTOA VIWANJA BURE OFA YA MWENGE MKURANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UFZdI4XZpT8/U8emlCXyO6I/AAAAAAAF3AQ/AH2Lb5Bo9Eo/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
WILAYA ya Mkuranga imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib alisema jana kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katika kijiji cha Kiparang?anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA imetangaza ofa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVnAQuEp876TsXzoXik7yUR4vKg5u44CpxpViqiAqsbaMrIutaQdTtZNCQ3T-Ym-tF0Ghzm7AUZT*6TOPbo0jlj4/1.jpg?width=650)
AIRTEL YAJA NA OFA YA IPHONE S5
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FJpMTdyDTUs/VYlf8uk3izI/AAAAAAAHi0s/rbPsiw5K4Vc/s72-c/unnamed%2B%252880%2529.jpg)
Airtel yazindua ofa ya LUKU
Ofa hii mpya ina lengo la kuboresha upatikanaji wa huduma ya umeme na pia kuwazawadia wateja wa Airtel wanaonunua unit za LUKU kupitia huduma ya Airtel Money
Akiongea kuhusu ofa hiyo, Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackosn Mmbandoalisema” Wateja wetu watazawadia unit LUKU...