MAKALA KIJIJI CHA WASANII MKURANGA
Wasanii wa SHIWATA wakigaiwa maeneo ya kujenga katika kijiji cha Mwanzega Mkuranga.
Wasanii wakipata maelekezo kutoka kwa mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib kabla ya kugaiwa nyumba zao katika awamu ya mwisho Agosti 8, mwaka huu,SHIWATA yazialika klabu, taasisi za michezo kujenga stadium, kumbi za burudani kijijini kwao Mkuranga,.Bado kuna ekari 290 bado hajizapata matumizi.Kila mwanachama kupewa robo hekari bure.Jella Mtagwa, Dua Said, Hamisi Kinye ni baadhi yao.
Na Mwandishi WetuMIAKA 15...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI KIJIJI CHA MAGOZA, MKURANGA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hsZlXBiC-iw/VWNCgB8FmsI/AAAAAAAHZvw/m295-3X0mKg/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
CHANGIA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA MLAMLENI, MKURANGA, MKOA WA PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hsZlXBiC-iw/VWNCgB8FmsI/AAAAAAAHZvw/m295-3X0mKg/s640/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
Nyumba hii ya Ibada ama Msikiti huu Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala 5 kwa siku , Msikiti huu upo Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Mlamleni Kitongoji cha Kimbangulile. Wenzetu wameanza kwa Nguvu zao kwa Ujenzi wa Msikiti huu. Na Jitihada nyengine ni kuwa na Matofali yasiyo pungua 300 kwa Ajili ya kuanza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s72-c/4.jpg)
MICHANGO BADO YAHITAJIKA UJENZI WA MSIKITI KIJIJI CHA KIMBANGULILE MKURANGA PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MW-qJLxVR2w/VaZwqbYg6KI/AAAAAAAAfQs/vIP0WHL0Hh0/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AOHP80hrTZ0/VaZw1Sd_-RI/AAAAAAAAfRE/HVBs313oB0M/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-udTwNvoBskk/VaZwtyMGESI/AAAAAAAAfQ0/LDtaR956Vyg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wyqIn18Rwpk/VaZw0slLC8I/AAAAAAAAfQ8/JAvyl1wMz7g/s640/3.jpg)
TUNAMSHUKURU Mwenyezi Mungu kwa Pumzi anayo endelea kutupa.
Ufuatao ni Mrejesho wa Michango yenu ya Ujenzi wa Msikiti wa Masjid Fisabillah ya Mlamleni , Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Kimbangulile.
Ikumbukwe kupitia Blogs na...
10 years ago
Michuzi17 Oct
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-09C2HfNa7MI/Vlrm4FwmOrI/AAAAAAAII_k/HbxChilFEjY/s72-c/8dd172c3-aef3-4cc7-a8d8-4b88f56ba413.jpg)
HATIMAYE MSIKITI WA KIJIJI CHA MLAMLENI WILAYA YA MKURANGA WAJENGWA UPYA KWA MSAADA WA WASAMARIA WEMA WA NDANIO NA NJE YA NCHI
Asalaam Alaykum Warahmatullahi wabarakatu, Alhamdulilah....
Kwa Niaba ya wakazi wa kijiji cha Mlamleni , kitongoji cha kimbangulie , wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani ninatoa shukran za dhati kwanza Ma Admin wote wa blogs mlioshirikiana nasi katika kulitangaza jambo hili la kheri.
Pili tunawashukuru wale wote wadau ambao wameshirikiana nasi kwa hali na mali katika Ujenzi wa Jengo hili la msikiti kutoka Nyasi Mpaka kuwa katika Muonekano mpya kama mnavyo ona katika...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Kinana akagua Shamba la Mikorosho 19270 iliyoharibika katika kijiji cha Magawa, Mkuranga na kuwaahidi kuwasaidia wakulima wa zao hilo kupata fidia
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia moja kati ya miti 19,270 ya korosho iliyoharibika alipokwenda kukagua shamba la hekali 1000 katika Kijiji cha Magawa wakati wa ziara yake wilayani Mkuranga ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Kinana akiongoza kukagua shamba la mikorosho iliyoharibika na kuwafanya wananchi wa Kijiji cha Magawa kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dQDwKBPrnYk/U9N0TbwqRnI/AAAAAAAF6gg/e1Hi1Xvatx4/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SHIWATA yaipongeza Serikali kutambua kijiji chao Mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-dQDwKBPrnYk/U9N0TbwqRnI/AAAAAAAF6gg/e1Hi1Xvatx4/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SERIKALI imepongezwa kwa kutambua juhudi zinazofanywa na wasanii, wanamichezo na waandishi wa habari za kujenga nyumba za makazi katika kijiji cha Mwanzega Mkuranga ambapo Mwenge wa Uhuru ulifika na kuweka jiwe la msingi Julai 22 mwaka huu.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA),Cassim Taalib katika risala aliyosoma mbele ya Kiongozi wa Mwenge kitaifa, Rachael Kassanda alisema Serikali kukitambua kijiji hicho kumeongeza ari ya wasanii kujenga nyumba za...
10 years ago
Michuzi28 Apr
wasanii 50 kuhamia mkuranga Mei MWAKA HUU
![images](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/images18.jpg)
Akizungumza katika mkutano wa wanachama uliofanyika mwishoni mwa wiki Dar es Salaam, Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema maandalizi ya wasanii hao kuhamia kijijini yamekamilika na akiwemo yeye ataongoza msafara huo.
Alisema kati ya wasanii watakaohamia kijijini ni mchezaji wa zamani wa Simba, Dua Said...