Serikali yaipongeza Tusiime kuingia kumi bora kitaifa
SERIKALI imeipongeza shule ya Tusiime kwa kuwa shule pekee kutoka Mkoa wa Dar es salaam iliyoingia kwenye kumi bora kitaifa na kufaulisha wafunzi wote 168 kwa alama A na kuongoza katika mkoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Serikali yaipongeza Tusiime
SERIKALI mkoani Dar es Salaam, imeipongeza shule ya Tusiime iliyopo Tabata kwa namna ilivyosaidia mkoa huo kushika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka huu kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YAIPONGEZA SERIKALI DHIDI YA MAPAMBANO YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-P4MQwULCuMQ/Xpgg8RgQKPI/AAAAAAALnJM/XvZWNjTbQKscRFs2PD4B4OG31GBnAmnTACLcBGAsYHQ/s320/New%2BPicture.png)
Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi Machi mwaka huu Serikali ilitangaza mapambano rasmi dhidi ya maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona ambavyo hivi karibuni imekuwa ni janga kubwa duniani.
Serikali ilichukua uamuzi huo baada ya Tanzania kuanza kupata taarifa za uwepo wa wagonjwa wa maradhi hayo nchini na hivyo kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari mbalimbali za kujikinga na...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Serikali yaipongeza Sekondari ya St Matthew
MKURUGENZI wa shule za sekondari za serikali nchini, Paulina Mkonongo, ameipongeza Shule ya Sekondari ya St Matthew iliyopo Mkuranga, Pwani kwa kufaulisha wanafunzi wa kidato cha nne kwa zaidi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lcZ7d7mEkGM/VYuWFe56O4I/AAAAAAAAtCM/oZv2s1RSico/s72-c/Untitledn.png)
Serikali yaipongeza Kampuni ya Huawei Tanzania
Huawei Tanzania inafanya kazi kwa ukaribu sana ni wizara na kwa hivi sasa ni mojawapo ya Mtoa huduma za vifaa vingi vya ujenzi wa jengo jipya la DATA center.
Data center ni mojawapo ya ujenzi mkubwa unaofanywa na wizara ya sayansi na jingo hili litakua na kazi ya kuhifadhi DATA...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
CWT yaipongeza serikali kusikiliza hoja yao
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza serikali kwa kukubaliana na hoja yao ya kuwa na mwajiri mmoja. Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Rais wa chama hicho, Gratian Mukoba, alisema...
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaipongeza TPHA kukuza sekta ya afya
Mkurugenzi wa Idara ya Tiba wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii, Dk. Margaret Mhando akifungua kongamano hilo la kisayansi.
Na Andrew Chale, Bagamoyo
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepongeza juhudi za makusudi zinazofanywa na Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) katika kushughulikia masuala ya afya kwa jamii huku ikiahidi kushirkiana kwa ukaribu.
Hayo yalisemwa jana mjini hapa na mgeni rasmi Mkurugenzi wa Idara ya Tiba wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii, Dk....
9 years ago
Mtanzania21 Sep
BSS yabaki na washiriki kumi bora
NA HERIETH FAUSTINE
SHINDANO la Bongo Star Search (BSS) limefikia hatua ya kumi bora baada ya washiriki wengine wawili kuyaaga mashindano hayo.
Katika shindano hilo linalodhaminiwa na Salama Condom na kinywaji cha Coca Cola, washiriki wawili walioaga mashindano hayo jana ni Chief Agala kutokea Arusha na Amina Issa wa Mwanza.
Jaji Mkuu wa BSS, Ritha Paulsen, alisema washiriki wote wanaweza kuimba, kucheza na kumiliki jukwaa na kilichobaki kwa sasa zitawekwa namba kwenye magazeti za washiriki...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8KWTGR51cxk/UzPoEUMZhAI/AAAAAAAFWvk/nIhgRvADUg4/s72-c/20140217_113746.jpg)
Serikali yaipongeza Airtel kwa kuchangia maendeleo ya elimu
Kauli hiyo imetolewa wakati Airtel ilipotoa msaada wa vitabu kwa Shule ya sekondari ya Naura mkoani Arusha chini ya mpango wake maalumu wa “shule yetu” ambapo Mkuu wa wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-epx9dSPjA1g/XmXNJybNzAI/AAAAAAALiJg/ndlPofjYAzwtTWkepPUS54IE4MzLpFRuACLcBGAsYHQ/s72-c/a054d2ab-7527-431b-a18b-2c907dfe26b9.jpg)
SERIKALI YAIPONGEZA TTCL KWA GHARAMA NAFUU ZA MAWASILIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-epx9dSPjA1g/XmXNJybNzAI/AAAAAAALiJg/ndlPofjYAzwtTWkepPUS54IE4MzLpFRuACLcBGAsYHQ/s640/a054d2ab-7527-431b-a18b-2c907dfe26b9.jpg)