Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BSS yabaki na washiriki kumi bora

Madam-RitaNA HERIETH FAUSTINE

SHINDANO la Bongo Star Search (BSS) limefikia hatua ya kumi bora baada ya washiriki wengine wawili kuyaaga mashindano hayo.

Katika shindano hilo linalodhaminiwa na Salama Condom na kinywaji cha Coca Cola, washiriki wawili walioaga mashindano hayo jana ni Chief Agala kutokea Arusha na Amina Issa wa Mwanza.

Jaji Mkuu wa BSS, Ritha Paulsen, alisema washiriki wote wanaweza kuimba, kucheza na kumiliki jukwaa na kilichobaki kwa sasa zitawekwa namba kwenye magazeti za washiriki...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WASHIRIKI BSS WAMHOFIA SALAMA

Baadhi ya washiriki wa BSS wakiwa kwenye foleni.
Kushoto ni  Jaji Rita Paulsen akiwa na Joachim Kimaro ‘Master Jay’. Mmoja kati ya majaji wa BSS Salama Jabri akifuatilia jambo.…

 

9 years ago

Mtanzania

BSS yatoa washiriki wengine watatu

madam-rita-559x520JULIET MORI (TUDARCO)

WASHIRIKI watatu, Lawrence Rena na Favolii Baila wa Dar es Salaam na mmoja kutoka Mwanza, Alice Kashumba, wameaga shindano la Bongo Star Search usiku wa jana.

Alice alisema alijitahidi kuimba kwa kiwango cha juu lakini kwa kuwa hayo ni mashindano amekubaliana na matokeo.

“Kuna mengi nimejifunza kwenye shindano hilo, naamini nimeonyesha uwezo wangu na Watanzania wameona, nashukuru sana kwa hatua hii na ninawatakia heri washiriki waliobaki,” alisema Alice.

Jaji Mkuu wa...

 

9 years ago

Mtanzania

20 bora ya BSS yaingia kambini

Madam-RitaNA MWANDISHI WETU

WASHIRIKI 20 waliochaguliwa kutoka mikoa minne ya shindano la Bongo Star Search (BSS), wameingia kambini kwa ajili ya shindano hilo.

Shindano hilo linaendeshwa na Benchmark Production chini ya udhamini wa Salama Condom na Kampuni ya Coca Cola, linawakutanisha wasanii kutoka mkoa wa Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam.

Jaji Mkuu wa shindano hilo, Ritha Paulsen, alisema wasanii hao watafundishwa kuimba, kutafuta pumzi, kutumia vyombo vya muziki, kujua namna ya kujiweka na...

 

10 years ago

Michuzi

Bongo Star search (BSS) yatoa sita bora jijini Mwanza

Vipindi vya Bongo Star search vimeanza kwenda hewani, na siku ya jana imeruka episode ya kwanza kuonyesha mchujo jinsi ulivyoenda mpaka kubakiwa na Top 6 (pichani) ya washiriki kutoka Mwanza ambayo itajumuika na washindi wa mikoa iliyosalia.
Kipindi kitakuwa kinaruka kila siku ya Jumapili, saa tatu kamili kwenye vituo vya televisheni vya Clouds Tv na Star Tv na marudio yake; Kwa Clouds Tv ni Jumanne saa tano kamili asubuhi pamja na Alhamisi saa nane kamili mchana; Kwa StarTV ni Alhamisi saa...

 

10 years ago

Mwananchi

UDSM kumi bora vyuo vikuu Afrika

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kimeshika nafasi ya kumi miongoni mwa vyuo vikuu 50 bora na vyenye umaarufu Afrika.

 

11 years ago

Mwananchi

Shule kumi bora zilitarajia matokeo haya

Ingekuwa jambo la kushangaza kusikia Shule ya Sekondari ya Chongoleani imeibuka mshindi wa kwanza katika matokeo ya kidato cha nne mwaka huu. Hii ni kwa sababu matatizo yake yanajulikana.

 

10 years ago

Vijimambo

MASHINDANO YA NGUMI YA KUMI BORA YAENDELEA KUSHIKA KASI

Bondia Saleh Said wa Magereza 'kulia' akioneshana umwamba na Sudi Mohamed wa Mavituzi wakati wa mpambano wa kumi bora yanayoendelea kila jumamosi katika ukumbi wa Manyara Park Manzese Dar es salaam Said alishinda mpambano huo Bondia Iddi Juma wa Midizini akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Jumanne Mashombo wa Ndame wakati wa mpambano wa kumi bora uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Manyara Park Mahombo alishinda kwa pointBondia Julius Kisalawe kushoto...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaipongeza Tusiime kuingia kumi bora kitaifa

SERIKALI  imeipongeza shule ya Tusiime kwa kuwa shule pekee kutoka Mkoa wa Dar es salaam iliyoingia kwenye kumi bora kitaifa na kufaulisha wafunzi wote  168 kwa alama A na kuongoza katika mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani